Pole sana Pascal Mayalla lkn, naamini utavuka tu, maana awamu hii imebakiza miezi 13 tu. Baada ya hapo media zote ikiwemo PPR zitaanza kula shavu kama kawaidaNo sio mtegoni bali huu ndio ukweli wenyewe wa hali halisi ya media tunayopitia sasa ya the law of the jungle. Only the strong and the adaptive media ndio wata survive, Jamhuri wako fit ndio maana wamesurvive, wapi MwanaHalisi?.
Survival is everything!. Mimi mwenyewe na kale ka PPR changu, tuko ICU tunapumulia mishine!.
P