Gazeti la Jamhuri linatumika kumchafua Dr. Mpoki

hii hospitali watu wamepiga sana hela za wafanyakazi wa kawaida. ni kuanzia kwenye hela za safari, motisha kwa wafanyakazi, call allowances, hela za can, hela za kusoma na nyinginezo.
kuna watu kama birigi walikuwa wanaichukulia hiyo hospitali kama Mali yake. alikuwa anapenda sana kufrastrate wafanyakazi wenzie. huyu ameiba mpaka hela za circumcision mpaka wakamtoa.
waliunda teams za kula hela za hospitali hata alipofika mpoki akakuta wanagombania uongozi.
Kumbe mbeya pia kulikuwa na ule mradi wa kukata kama huku kwetu Shinyanga?
 
HAYA NI MAELEZO YANGU BINAFSI, NA SIJAWAHI WASILIANA NA DR. MPOKI TOKA AWE MKURUGENZI WA HOSPITALI YA RUFAA MBEYA

Nimebahatika kumfahamu Dr. Mpoki tukiwa Muhimbili. Namfahamu ni kati ya watu honest sana. Nimehuzunika kuona gazeti la Jamhuri likitumika kuandika habari zake ambazo kwa nafasi yangu nimebahatika kuujua ukweli wake, huku likiacha big picture. Inawezekana Dr. Mpoki ni jipu, lakini sidhani kama waweza ukaona jipu dogo, kabla hujaona kubwa. Kama kweli hawa Jamhuri wameona ubadhirifu wa Dr. Mpoki bila shaka wliona ubadhirifu mkubwa zaidi Mbeya, lakini kwa kuwa wanajua malengo yao hawawezi wakasema chochote. Hivi hawashtuki mtu aliyekuwa naibu mkurugenzi kwa miaka zaidi ya kumi, akinunua CT scan baada ya hiyo nafasi kuisha; wakati huyohuyo mkurugenzi hakuiwezesha hospitali yake kuwa na CT Scan kwa miaka yote akiwa kiongozi?

Kama kweli gazeti la Jamhuri wana nia ya kuisaidia serikali, wangeanza na wizi wa mamilioni ya pesa za HIV pale Mbeya Referral Hospital kwa zaidi ya miaka kumi, ambayo ilikuwa ikipata kila mwaka zaidi ya 1.5 billion na nyingi zikawa zinaishia kwa wajanja kwa kudanganya uagizaji wa vifaa tiba, semina za uongo na kweli, supervision za uongo, n.k. Dr. Mpoki kafika Mbeya wakati Walter Reed wameshika control ya pesa, na kupunguza zaidi ya nusu ya budget ya kila mwaka.

Ninafahamu Dr. Mpoki ana mgogoro mkubwa sana na Dr. Mselle wa Muhimbili National Hospital, ambaye alikuwa mwajiriwa mwenzake na kila mmoja aliwahi kuwa mkuu wa Idara wa mwenzake. Magomvi yote yalitokana na kugombea ukuu wa idara. Ombeni Sefue aliposimamishwa u KMK Dr. Mselle alifanya sherehe, akidhani Sefue ndiye anayembeba Dr. Mpoki. Inajulikana Mselle amekuwa akifanya figisufigisu za chini kwa chini ili Mpoki aonekane ni mbadhirifu, lakini hushindwa.

Dr. Mpoki alipoteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Hospitali ya Rufaa Mbeya alikuta kuna wizi mkubwa umefanyika wa pesa za HIV toka Walter Reed, (hadi budget yao kwa hospitali ikapunguzwa, na baadhi ya vitu kama kununua dawa wakaanza kuvifanya wao) na kwa bahati mbaya akakutana na team ya former administrators ambao walikuwa wakigombea kwa udi na uvumba mmoja wao kuwa mkurugenzi wa hospitali ya rufaa Mbeya.

Kuna team ya mapambano dhidi ya Dr. Mpoki iliundwa na viongozi walionufaika na miradi ya HIV, timu hii ilikuwa ikifanya kila namna kumtengenezea mabomu Dr. Mpoki hasahasa katika kupitisha malipo ya vifaa tiba, hasa wakitaka kutumia ugeni wake. Hawa walikuwa wanafanya kila jitihada ya kumharibia Dr. Mpoki, ili aondoke hospitali ya rufaa kwa sababu aliwabana sana. Hawa walikuwa baadhi ya wana timu:

1. Humphrey Kiwelu ambaye kwa kipindi kirefu alikuwa naibu Mkurugenzi, na baada ya kuacha hiyo nafasi akanunua mashine binafsi ya CT scan, wakati hospitali ya rufaa Mbeya aliyokuwa akiiongoza haijawahi kuwa na CT Scan toka ianzishwe. Dr. Kiwelu amekula pesa nyingi za HIV toka Walter Reed, kutoa invoice fake na kulipwa pesa kwa vifaa vya radiology vilivyotolewa kwa msaada, n.k.

2. Dr. Msafiri Birigi, huyu pia alihusika katika ulaji wa pesa za HIV na kuna kipindi alikuwa msimamizi wa kutoa magovi mkoa.

3. Nsekela. Huyu ni accountant ambaye nasikia sasa kahamia Dar es Salaam. Anahusika katika wizi wa pesa mbalimbali za hospitali na mara nyingi amekuwa akijifanya ni usalama wa taifa. Yeye ni Dr. Mpoki ni kama paka na panya.

4. Aisha Mtanda, huyu alikuwa katibu wa hospitali, ambaye alishawahi kumfokea Dr. Mpoki. Anahusika kutumia pesa za HIV kwa matumizi mbalimbali. Alitajwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mmoja wa Wakuu wa wilaya wa Mbeya (sasa ni mbunge) na pia Jina la mbunge lilitumika kulipwa pesa kwa ajili ya kitu kisichohusiana na hospitali kwa safari ya kwenda Canada, kwa masuala ya kilimo. Aisha pia alikuwa akichukua pesa za hospitali, akidai ni ada za vyuo anavyosoma full time nje jambo ambalo si kweli.

5. Mama Wanguvu. Huyu ni mmoja ya accountant anayehusika na yote hayo hapo juu.

6. Sadick wa engineering.

7. Patron Isdory ambaye alihusika sana kutengeneza budget za pesa toka Walter Reed na pamoja na kuzipiga zikifika.

8. Dr. Mabula, ambaye walikuwa wakikosana na Dr. Mpoki hasa kutokana na kutotumia muda wake mwingi kuwa kazini, badala yake akishinda kwenye kliniki yake. Pia Dr. Mpoki alikuwa akizikataa qualifications za Dr. Mabula kwamba yeye ni daktari bingwa kwa sababu anadai alisoma China na kwa kipindi kisichofika miaka miwili. Dr. Mabula alihamishwa na wizara kwenda hospitali ya Dodoma lakini ndani ya mwezi mmoja barua iliyosainiwa na Dr. Mbando ikambakisha kwenye kituo chake cha Mbeya.

Dr. Mpoki anatajwa na gazeti la Jamhuri kujiuzia gari, kitu kisichokuwa kweli, kwanza Dr. Mpoki alikuwa ni kati ya watu wengi wakihusisha madaktari walioomba kuuziwa gari hilo na mpaka sasa hawajajibiwa maombi yao na Transport Officer wa MoH. Gari hii ilitolewa na Walter Reed na ina zaidi ya miaka mitano sasa na haina gharama hizo zinazotajwa.

Usalama wa taifa, PCCB na vyombo vya ulinzi vinafahamu haya, ajabu hayashughulikiwi. Tunajua watu wa PCCB Mbeya wamekuwa kwa kipindi kirefu wamekuwa wakihongwa vipesa vidogovidogo na kusumbua watu wasiokuwa na matatizo ambao hawako radhi kuwapoza kwa allegations wasizohusika nazo.

MAONI

Serikali, ikague matumizi ya pesa za HIV toka Walter Reed katika hospitali ya Rufaa Mbeya, na pia nyanda za juu kusini kwa ujumla - Mbeya, Rukwa, Songea, Katavi ambao huu mradi wa Walter Reed unafanya kazi.

Serikali iwachunguze watajwa hapo juu, pamoja na Dr. Mpoki na Dr. Elietery Samky aliyekuwa Mkurugenzi Mstaafu Mbeya ili kujiridhisha. Ni ajabu kuona Dr. Humphrey Kiwelu kununua CT scan soon after kutoka kwenye nafasi yake ya Ukurugenzi na ukakaa kimya huku ukijua allegations nyingi na za muda mrefu juu yake, tena hizi allegations ndizo zilimnyima Ukurugenzi wa hospitali (huwa anajifanya ana ushirikiano wa kumiliki CT scan na mtu toka Australia).
Endeleeni kuumbuana. Vitu vingi vinajitokeza hadharani. Kazi kwako Ummy Mwalimu, allegations ndio hizo. Labda tu zifuatiliwe kama zina mshiko. Na kama unachosema kina ukweli peleka sehemu husika usiponze wenzako humu kujadili watu na vitu visivyo na ushahidi.
 
Yaani hawa jamaa nadhani wanataka watumie vibaya sifa ya kusifiwa na Rais.
Nadhani viongozi wa kiserikali waache kutoa promo kwa vyombo vya habari.
mheshimiwa raisi alishaanza kuwaPROMO Mawingu. Wengine wanataka pia sifa hizo....
 
Watapigana na hawatashinda, jiran yangu Dr Mpoki piga kazi endelea kuonesha weledi wako katika wizara mpya.

GBU
Wizara hii lazima ishikishwe adabu. Kuna watu pale Muhimbili na sasa hiyo ya Mbeya, wanajiona kama wao ni wizara na wizara ni wao. Wizara inahitaji kuwatoa sadaka ili waelewe maana ya serikali. Piga uhamisho wote waende Katavi, Simiyu, Songwe ili wakaimarishe sekta changa. Atakayejidai ana miradi ya dispensari Dar, aandike kuacha kazi. Kiburi yao inategemea serikali tu hawana lolote zaidi ya kukusanya sh. elfu 10 kwenye vioski vya upanga na magomeni.

Sekta ya afya haiwezi kuwa ni mateka wa watu wapuuuzi kama hawa.
 
NINA wasi wasi na mtoa mada, kwa ufupi GAZETI LA JAMHURI HALINA kosa, kwa mjibu wa balance and fear, liko sawa kabsa limepata tetesi nalo limezibitisha tetesi kwa kuwasiliana na Dr mpoki, kuna sehemu anaulizwa maswali kuhusu vocha za safair anajibu kuwa alindika mwenyewe na kumperekea mhasibu amlipe baada ya kupoata kibari cha kujiandikia kwa mkono wake, pili kuusu kujiuzi gari kaulizwa kajibu ndio kanunua, kuhusu kusfiri aliulizwa kasema ndio alisafiri, baada ya mpango owte kuwa umekamilika kabra mtumbua majipu kuingua ikulu,ILI gazeti lipo sawa bira kuyasema haya lilisosema wewe leo husngekuja na UFISADI WA PESA ZA UKIMWI, wewe ni mwizi na JIPU KAMA wengine kama umetumwa umsafishe jitokeze adharani utumbie uhusiano wenu, kama alikuwa anakuonga magari mekundu kama LIYUMBA sema. ondoa porojo kama ulijua ukweli wa wizi wa fedha za HIV UNGEKUJA MAPEMA NA KUSEMA SIO USUBIRI BWANA AKO ATUMBULIWE NDO USEME.

Mkuu mbona umepaniki sana? punguza munkari hoji mambo ya maana, jaba inakupunguzia mantiki, tulia kwa faida ya wana jamvi pia kwa faida ya wengine tusiojua, leta taarifa na si vijimatusi na mambo ya kitoto
 
Wizara hii lazima ishikishwe adabu. Kuna watu pale Muhimbili na sasa hiyo ya Mbeya, wanajiona kama wao ni wizara na wizara ni wao. Wizara inahitaji kuwatoa sadaka ili waelewe maana ya serikali. Piga uhamisho wote waende Katavi, Simiyu, Songwe ili wakaimarishe sekta changa. Atakayejidai ana miradi ya dispensari Dar, aandike kuacha kazi. Kiburi yao inategemea serikali tu hawana lolote zaidi ya kukusanya sh. elfu 10 kwenye vioski vya upanga na magomeni.

Sekta ya afya haiwezi kuwa ni mateka wa watu wapuuuzi kama hawa.
mkuu unahitaji kuboresha kwanza mazingira ya kazi kabla hujahamisha mfanyakazi. na usihamishe mtu kama unamkomoa, ni upumbavu huo. kwani hao walioko katavi sio watu!??
huwezi peleka daktari wa mifupa sehemu ambako hata theatre ni mgogoro. au kuhamishia daktari wa macho mahali usikofikiria hata kuja kununua kifaa.
 
mkuu unahitaji kuboresha kwanza mazingira ya kazi kabla hujahamisha mfanyakazi. na usihamishe mtu kama unamkomoa, ni upumbavu huo. kwani hao walioko katavi sio watu!??
huwezi peleka daktari wa mifupa sehemu ambako hata theatre ni mgogoro. au kuhamishia daktari wa macho mahali usikofikiria hata kuja kununua kifaa.
Kwa hiyo waendelee kuharibu sekta kwa sababu wamesomea mifupa? Wanapoviziana kutafuta kuongoza Muhimbili waliisome Muhimbili? Hawa ni wachafu na wameifanya Muhimbili ni yao! Is that the case? Hata hivyo are we getting the best from their services?
 
Hili lichunguzwe tu. Maana, udhibitisho wa hili tunalisubiria. Mfano, huo ufisadi uliofanyika ni sh ngapi? Na ni kina nani hasa walihusika?
 
Hiyo siyo motive yako,ulitaka kusema kwamba Mkoa wa Mbeya una watu wenye majungu,ndiyo maana nimekuuuliza ni wapi ambapo ni heri? ulipo sasa au ulikotoka kwenu tuangalie hapa kama ni kweli! maana huenda na wengine walifanya kazi huko na wakapata joto ya jiwe. Point yangu ni kwamba usi generalise mambo kwa kutoa conclusion mbaya na ya chuki kama hiyo,huo ni ubaguzi kuonesha kwamba utokako wewe ni watu wema sana ila Mbeya wanafitina sana.Wewe unajiona ni bora zaidi na unatoka sehemu bora zaidi, which is nonsense! Watanzania wote tuko sawa.
Nimekaa sehemu nyingi tuu lakini mbeya kwangu mimi ilikuwa kiboko. Wanakuchekea usoni lakini ukiwapa kisogo tu wanakuumiza. Nasema haya bila chuki kwani nilipata marafiki wazuri tu lakini kwa ujumla maoni yangu ni hayo
 
Nimekaa sehemu nyingi tuu lakini mbeya kwangu mimi ilikuwa kiboko. Wanakuchekea usoni lakini ukiwapa kisogo tu wanakuumiza. Nasema haya bila chuki kwani nilipata marafiki wazuri tu lakini kwa ujumla maoni yangu ni hayo

Nimekaa sehemu nyingi Tanzania,Watanzania wana tabia zinafanana ndiyo maana nadhani unachuki na watu wa Mbeya else sema wewe unatoka mkoa gani ambao wao wanatabia tofauti na nzuri siyo kama watu Mbeya!
 
Hapana..Hajamtetea, ameeleza anachokijua...

Soma mwisho ameomba serikali iwachunguze wote aliowataja ikiwa ni pamoja na Dk. Mpoki, na Dk. Samky ili kubaini ukweli wa aliyoyaandika na yale yaliyoandikwa na gazeti la Jamhuri.

Huwa nafarijika sana nikisoma post za watu wenye akili na busara kama wewe. Keep it up!
 
HAYA NI MAELEZO YANGU BINAFSI, NA SIJAWAHI WASILIANA NA DR. MPOKI TOKA AWE MKURUGENZI WA HOSPITALI YA RUFAA MBEYA

Nimebahatika kumfahamu Dr. Mpoki tukiwa Muhimbili. Namfahamu ni kati ya watu honest sana. Nimehuzunika kuona gazeti la Jamhuri likitumika kuandika habari zake ambazo kwa nafasi yangu nimebahatika kuujua ukweli wake, huku likiacha big picture. Inawezekana Dr. Mpoki ni jipu, lakini sidhani kama waweza ukaona jipu dogo, kabla hujaona kubwa. Kama kweli hawa Jamhuri wameona ubadhirifu wa Dr. Mpoki bila shaka wliona ubadhirifu mkubwa zaidi Mbeya, lakini kwa kuwa wanajua malengo yao hawawezi wakasema chochote. Hivi hawashtuki mtu aliyekuwa naibu mkurugenzi kwa miaka zaidi ya kumi, akinunua CT scan baada ya hiyo nafasi kuisha; wakati huyohuyo mkurugenzi hakuiwezesha hospitali yake kuwa na CT Scan kwa miaka yote akiwa kiongozi?

Kama kweli gazeti la Jamhuri wana nia ya kuisaidia serikali, wangeanza na wizi wa mamilioni ya pesa za HIV pale Mbeya Referral Hospital kwa zaidi ya miaka kumi, ambayo ilikuwa ikipata kila mwaka zaidi ya 1.5 billion na nyingi zikawa zinaishia kwa wajanja kwa kudanganya uagizaji wa vifaa tiba, semina za uongo na kweli, supervision za uongo, n.k. Dr. Mpoki kafika Mbeya wakati Walter Reed wameshika control ya pesa, na kupunguza zaidi ya nusu ya budget ya kila mwaka.

Ninafahamu Dr. Mpoki ana mgogoro mkubwa sana na Dr. Mselle wa Muhimbili National Hospital, ambaye alikuwa mwajiriwa mwenzake na kila mmoja aliwahi kuwa mkuu wa Idara wa mwenzake. Magomvi yote yalitokana na kugombea ukuu wa idara. Ombeni Sefue aliposimamishwa u KMK Dr. Mselle alifanya sherehe, akidhani Sefue ndiye anayembeba Dr. Mpoki. Inajulikana Mselle amekuwa akifanya figisufigisu za chini kwa chini ili Mpoki aonekane ni mbadhirifu, lakini hushindwa.

Dr. Mpoki alipoteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Hospitali ya Rufaa Mbeya alikuta kuna wizi mkubwa umefanyika wa pesa za HIV toka Walter Reed, (hadi budget yao kwa hospitali ikapunguzwa, na baadhi ya vitu kama kununua dawa wakaanza kuvifanya wao) na kwa bahati mbaya akakutana na team ya former administrators ambao walikuwa wakigombea kwa udi na uvumba mmoja wao kuwa mkurugenzi wa hospitali ya rufaa Mbeya.

Kuna team ya mapambano dhidi ya Dr. Mpoki iliundwa na viongozi walionufaika na miradi ya HIV, timu hii ilikuwa ikifanya kila namna kumtengenezea mabomu Dr. Mpoki hasahasa katika kupitisha malipo ya vifaa tiba, hasa wakitaka kutumia ugeni wake. Hawa walikuwa wanafanya kila jitihada ya kumharibia Dr. Mpoki, ili aondoke hospitali ya rufaa kwa sababu aliwabana sana. Hawa walikuwa baadhi ya wana timu:

1. Humphrey Kiwelu ambaye kwa kipindi kirefu alikuwa naibu Mkurugenzi, na baada ya kuacha hiyo nafasi akanunua mashine binafsi ya CT scan, wakati hospitali ya rufaa Mbeya aliyokuwa akiiongoza haijawahi kuwa na CT Scan toka ianzishwe. Dr. Kiwelu amekula pesa nyingi za HIV toka Walter Reed, kutoa invoice fake na kulipwa pesa kwa vifaa vya radiology vilivyotolewa kwa msaada, n.k.

2. Dr. Msafiri Birigi, huyu pia alihusika katika ulaji wa pesa za HIV na kuna kipindi alikuwa msimamizi wa kutoa magovi mkoa.

3. Nsekela. Huyu ni accountant ambaye nasikia sasa kahamia Dar es Salaam. Anahusika katika wizi wa pesa mbalimbali za hospitali na mara nyingi amekuwa akijifanya ni usalama wa taifa. Yeye ni Dr. Mpoki ni kama paka na panya.

4. Aisha Mtanda, huyu alikuwa katibu wa hospitali, ambaye alishawahi kumfokea Dr. Mpoki. Anahusika kutumia pesa za HIV kwa matumizi mbalimbali. Alitajwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mmoja wa Wakuu wa wilaya wa Mbeya (sasa ni mbunge) na pia Jina la mbunge lilitumika kulipwa pesa kwa ajili ya kitu kisichohusiana na hospitali kwa safari ya kwenda Canada, kwa masuala ya kilimo. Aisha pia alikuwa akichukua pesa za hospitali, akidai ni ada za vyuo anavyosoma full time nje jambo ambalo si kweli.

5. Mama Wanguvu. Huyu ni mmoja ya accountant anayehusika na yote hayo hapo juu.

6. Sadick wa engineering.

7. Patron Isdory ambaye alihusika sana kutengeneza budget za pesa toka Walter Reed na pamoja na kuzipiga zikifika.

8. Dr. Mabula, ambaye walikuwa wakikosana na Dr. Mpoki hasa kutokana na kutotumia muda wake mwingi kuwa kazini, badala yake akishinda kwenye kliniki yake. Pia Dr. Mpoki alikuwa akizikataa qualifications za Dr. Mabula kwamba yeye ni daktari bingwa kwa sababu anadai alisoma China na kwa kipindi kisichofika miaka miwili. Dr. Mabula alihamishwa na wizara kwenda hospitali ya Dodoma lakini ndani ya mwezi mmoja barua iliyosainiwa na Dr. Mbando ikambakisha kwenye kituo chake cha Mbeya.

Dr. Mpoki anatajwa na gazeti la Jamhuri kujiuzia gari, kitu kisichokuwa kweli, kwanza Dr. Mpoki alikuwa ni kati ya watu wengi wakihusisha madaktari walioomba kuuziwa gari hilo na mpaka sasa hawajajibiwa maombi yao na Transport Officer wa MoH. Gari hii ilitolewa na Walter Reed na ina zaidi ya miaka mitano sasa na haina gharama hizo zinazotajwa.

Usalama wa taifa, PCCB na vyombo vya ulinzi vinafahamu haya, ajabu hayashughulikiwi. Tunajua watu wa PCCB Mbeya wamekuwa kwa kipindi kirefu wamekuwa wakihongwa vipesa vidogovidogo na kusumbua watu wasiokuwa na matatizo ambao hawako radhi kuwapoza kwa allegations wasizohusika nazo.

MAONI

Serikali, ikague matumizi ya pesa za HIV toka Walter Reed katika hospitali ya Rufaa Mbeya, na pia nyanda za juu kusini kwa ujumla - Mbeya, Rukwa, Songea, Katavi ambao huu mradi wa Walter Reed unafanya kazi.

Serikali iwachunguze watajwa hapo juu, pamoja na Dr. Mpoki na Dr. Elietery Samky aliyekuwa Mkurugenzi Mstaafu Mbeya ili kujiridhisha. Ni ajabu kuona Dr. Humphrey Kiwelu kununua CT scan soon after kutoka kwenye nafasi yake ya Ukurugenzi na ukakaa kimya huku ukijua allegations nyingi na za muda mrefu juu yake, tena hizi allegations ndizo zilimnyima Ukurugenzi wa hospitali (huwa anajifanya ana ushirikiano wa kumiliki CT scan na mtu toka Australia).
Pamoja na maelezo mengi uliyoeleza, lakini inaonesha wazi hoja yako bado hujaweza kuipika vizuri ikaiva kwani hujatuwekea vielelezo(doccuments) ambavyo tunaweza kujiegemeza navyo.
 
Pamoja na maelezo mengi uliyoeleza, lakini inaonesha wazi hoja yako bado hujaweza kuipika vizuri ikaiva kwani hujatuwekea vielelezo(doccuments) ambavyo tunaweza kujiegemeza navyo.
Vielelezo hivyo uletewe kwani wewe ni prosecuter?? Asilimia 90 ya mambo yanayokuja jamvini yanakuwa aidha hayajafanyiwa utafiti wa kutosha wala vielelezo. Hivyo basi sioni mantiki ya wewe kutaka vielelezo.
 
Ukitolea macho kurasa za magazeti na kujiona ndio umefanya research yako kwa kusoma dondoo za magazeti na kuanza kuhukumu watu kuwa wametenda uovu bila kujiridhisha kwa kwenda mbali zaidi, utaishi kusema Mpoki OUT huku ukinywa Coca bila kujielewa.
Mtoa post amesema yale ayajuayo walau amejitahidi kuchambua, sasa kujibu kifupi kana kwamba mtu ashafanya uchunguzi na yeye, ni kuingia chaka na kutoa hukumu pasi usawa.
 
Wewe jamaa unachekesha kweli. Katuhumiwa kujiuzia gari la serikali kwa bei chee, katuhumiwa kusafiri nje ya nchi bila kibali cha JPM. Wewe unatetea kipi hapo. Unaleta story za RUFAA MBEYA zina uhusiano gani na hayo. Kwa utetezi wako Magu hawezi kumaliza ufisadi nchi hii. Muacheni abebe msalaba wake. Hata shetani alikuwa malaika mkuu mbinguni, alifanya mengi mazuri kwa Mungu lakini alipoacha njia alitupwa chini. Dr. Mpoki OUT
wivu wa kike huo
 
Mheshimiwa Rais aendelee kufanya kazi kwa kutumia taasisi yake kama Rais. Nyinyi wengine kaeni pembeni na kelele zenu, mbona tukiendekeza maneno maneno hatufiki popote?
 
Back
Top Bottom