Bila tafiti si vizuri kulizungumzia jambo kwani waweza zidisha au punguza.Vielelezo hivyo uletewe kwani wewe ni prosecuter?? Asilimia 90 ya mambo yanayokuja jamvini yanakuwa aidha hayajafanyiwa utafiti wa kutosha wala vielelezo. Hivyo basi sioni mantiki ya wewe kutaka vielelezo.