Wadau salama? Hoja yangu iko juu ya mhariri mkuu wa Gazeti la Jamhuri, ndugu Deodatus Balile.
Yapo madai kwamba, wewe ndugu mhariri huwa unaandika habari kulingana na maslahi yako binafsi, isiyo na maslahi huandiki. Madai yapo. Amini madai yapo siyo kwamba unachafuliwa.
Kuna madai kwamba, hoja yoyote inayozungumzia mafuta, ikitolewa kwa mlengo wa kuonesha mamlaka inayosimamia mafuta haitendi kazi vizuri, wewe husimama kinyume na mtoa hoja kwa sababu inadaiwa unaikingia kifua mamlaka hiyo kama hoja itakuwa tatizo kwao.
Yapo madai kwamba, Balile kuitetea mamlaka hiyo hujaanza juzi, wiki iliyopita wala mwaka jana, bali kitambo sana.
Balile, inadaiwa kuwa, uliwahi 'kumsulubu' kwa tuhuma ambazo hazipo aliyekuwa waziri wa Nishati, Medadi Kalemani na inasemekana ndiyo sababu ya kupoteza kubarua chake.
Kuna wakati, aliyekuwa Spika wa Bunge, Job Ndugai aliwahi kuzungumzia tuhuma ya Kamati ya Bunge ya Nishati kwamba walikula mlungula kutoka mamlaka hiyo ya kusimamia mafuta nchini, mtoa tuhuma hizi ni Ally Kessy (alikuwa mbunge wa Nkasi-CCM), Balile ulimshambulia Kessy kuwa ni mzushi.
Lakini mwishowe, viongozi wa ile kamati walijiuzulu.
Inavyosemekana, Balile ulimshambulia Kessy ili 'kuisafisha' ile mamlaka kuwa ilitoa mlungula.
Hii mamlaka inayosimamia mafuta unahusishwa nayo sana ndugu yangu Balile, kwamba una 'tenda' ya kuitetea. Sehemu kubwa ya jamii inaamini hivyo.
Lakini madai mengi juu yako ni kwamba, unatumia Gazeti la Jamhuri kujinufaisha binafsi.
Haya madai yapo kaka, cha msingi ni wewe kujikagua ili kama ni kweli, badilika. Kama ni uongo na uzushi, fanya mambo ambayo yatakuonesha kuwa, siyo kweli maana wewe ni mtu mkubwa sana nchini na upo makini, nakufahamu, nimefanya kazi na wewe.
Yapo madai kwamba, wewe ndugu mhariri huwa unaandika habari kulingana na maslahi yako binafsi, isiyo na maslahi huandiki. Madai yapo. Amini madai yapo siyo kwamba unachafuliwa.
Kuna madai kwamba, hoja yoyote inayozungumzia mafuta, ikitolewa kwa mlengo wa kuonesha mamlaka inayosimamia mafuta haitendi kazi vizuri, wewe husimama kinyume na mtoa hoja kwa sababu inadaiwa unaikingia kifua mamlaka hiyo kama hoja itakuwa tatizo kwao.
Yapo madai kwamba, Balile kuitetea mamlaka hiyo hujaanza juzi, wiki iliyopita wala mwaka jana, bali kitambo sana.
Balile, inadaiwa kuwa, uliwahi 'kumsulubu' kwa tuhuma ambazo hazipo aliyekuwa waziri wa Nishati, Medadi Kalemani na inasemekana ndiyo sababu ya kupoteza kubarua chake.
Kuna wakati, aliyekuwa Spika wa Bunge, Job Ndugai aliwahi kuzungumzia tuhuma ya Kamati ya Bunge ya Nishati kwamba walikula mlungula kutoka mamlaka hiyo ya kusimamia mafuta nchini, mtoa tuhuma hizi ni Ally Kessy (alikuwa mbunge wa Nkasi-CCM), Balile ulimshambulia Kessy kuwa ni mzushi.
Lakini mwishowe, viongozi wa ile kamati walijiuzulu.
Inavyosemekana, Balile ulimshambulia Kessy ili 'kuisafisha' ile mamlaka kuwa ilitoa mlungula.
Hii mamlaka inayosimamia mafuta unahusishwa nayo sana ndugu yangu Balile, kwamba una 'tenda' ya kuitetea. Sehemu kubwa ya jamii inaamini hivyo.
Lakini madai mengi juu yako ni kwamba, unatumia Gazeti la Jamhuri kujinufaisha binafsi.
Haya madai yapo kaka, cha msingi ni wewe kujikagua ili kama ni kweli, badilika. Kama ni uongo na uzushi, fanya mambo ambayo yatakuonesha kuwa, siyo kweli maana wewe ni mtu mkubwa sana nchini na upo makini, nakufahamu, nimefanya kazi na wewe.