Kiukweli jamaa kama kunywa rangi ya kijani,imekulewesha haswaa! Hivi kuna gazeti lililo fichua ufisadi Nchi hii zaidi ya mwanahalisi.Kufungiwa kulitokea baada ya kuona hili gazeti linazidi kuwafumbua watanzania macho.Kwenye ukweli sema kweli na siyo kuleta mihemko ya chama.