thuma
JF-Expert Member
- Nov 2, 2016
- 369
- 496
Magazeti yapo mengi lkn kila gazeti lina heshima yake kutoka na habari zinazochapishwa.
Hata ukienda kwa mawakala wa magezeti watakwambia kuna gazeti wanauza idadi kubwa lkn kuna mengine wanazalisha kopi chache na bado haziishi yaani hayana wateja kabsa.
Mm binafsi nalichukia sana gazeti la Uhuru, hili gazeti usitegemee kupata habari ya kweli, ni gazeti linaloandika lisiyo yataka maana Wahariri hawana Uhuru ...
Je wewe gazeti gani hulipendi toa na sababu.
Hata ukienda kwa mawakala wa magezeti watakwambia kuna gazeti wanauza idadi kubwa lkn kuna mengine wanazalisha kopi chache na bado haziishi yaani hayana wateja kabsa.
Mm binafsi nalichukia sana gazeti la Uhuru, hili gazeti usitegemee kupata habari ya kweli, ni gazeti linaloandika lisiyo yataka maana Wahariri hawana Uhuru ...
Je wewe gazeti gani hulipendi toa na sababu.