Sharti kubwa la Israel kusitisha vita ni Hamas wasioongoze tena Gaza. Mahmoud Abbas na mamlaka yote ya Ramallah wamewaomba Hamas waachie uongozi wa Gaza ili kunusuru maisha ya raia, Hamas wamegoma, wanaendelea kujificha kwenye makundi ya raia. Na Netanyahu ameapa kuwa Israel haitakubali kuwaona magaidi wa Hamas wanaongoza tena Gaza.
Misimamo hii mikali ya pande hizi mbili, itawafanya wapalestina wa kawaida waendelee kuangamia maana magaidi wa Hamas hawataki kuachana na mbinu yao ya kuwatumia raia kama ngao yao wakati wa mashambulizi ya Israel wakijua kuwa wakijitenga na raia, wakaishi kama jeshi, IDF itawaangamizi ndani ya muda mfupi sana.