Gaza nimeanza kuwahurumia asee!

Gaza nimeanza kuwahurumia asee!

Usiue hautouliwa ukiua na wewe utauawa jamaa wa Hamas kutoka Palestina ambao wapo Gaza mpaka leo waliingia Israel wakaanza kuua wakaendelea kuua wakaua tena wakaua na majigambo mpaka kwenye social media mbwembwe kibao mpaka raia wasiohusika kabisa (Watanzania pia waliuawa), sasa kimewarudi kweli waliosema Karma is a Bitch hawakukosea
nyinyi wa oktoba 7 ndo mbumbumbu zaidi
 
Kwa hio wewe unapoingiliwa kwenye Himaya yako hutakiwi kumfurusha yule aliekuingilia, unataka kusema Iddi Amini 1975 alikua sahihi kuivamia Kagera?
Pale ni kwao kivipi hali yakuwa 1948 wamewakuta Palestinians? nani kamvamia mwenzake?
Hivi unaelewa Joseph Chamberlain alipendekeza eneo hapa East Africa iwe kama jewish homeland?
 
Hamas ni masheitwan ...jamaa hawajali Bora wafe na kuangalia watoto wakifa njaa kuliko wao ku surrender..hio sio akili ya kawaida
Ninachojiuliza wapalestina ambao ndani yao ndimo Hamasa walimo kwanini wasitoe ushirikiano kwa majeshi ya Israel kueleza wanakojificha ili waweze kushughulikiwa na kumalizwa kabisa...
 
Vita haina Macho, hizo ndo coconsequences
Hiyo ni collateral damage isiyo ya kawaida... wanajuta sana raia.. mbaya zaidi nchi za kiarabu wamewaachia wapalestina waicheze hii ngoma wenyewe.
 
Wameshindikana sasa msilie watu wanakufa njaa acheni wafe njaa hivyo hivyo mpaka hicho kizazi chote kiishe kije kizazi kingine
Hiyo mbinu imeshafeli. Hizo ZITAKUWA hasira za askari wa IDF kuuwawa. Wanawafanya wafiwa na wanafuatilia wabunge mkono Hamas kuliko kabla.
 
Ninachojiuliza wapalestina ambao ndani yao ndimo Hamasa walimo kwanini wasitoe ushirikiano kwa majeshi ya Israel kueleza wanakojificha ili waweze kushughulikiwa na kumalizwa kabisa...
Tatizo naona ni chuki waliyopandikiziwa since wakiwa wadogo kizazi hadi kizazi.
 
Sikutegemea kwamba itafika stage kwenye hii vita ,wapalestina wanakufa kwa njaa. Mashirika na jumuiya za kimataifa ziingilie kati tu kumaliza hii vita. Nchi za kiarabu zisikae kimya pazeni sauti. Ombaneni msamaha
View attachment 3419607
Israel inatumia njaa kama silaha ya kivita, huu ni uhalifu mbaya sana kwa ubinadamu.
 
Back
Top Bottom