Kiufupi ni kwamba IDF imeshindwa vita na Hamas...
Kama wanapambana na Hamas wapambane huku raia wakipata misaada.. IDF huko Gaza askari wake kila siku wanapigwa ambush na kuuawa na Hamas...
Tazama askari wa IDF alivyolengwa na sniper wa Hamas, hii ni huu mwezi, hizi sniper wanazitengeneza hapo hapo Gaza..
View: https://www.youtube.com/watch?v=_gTlGhnqJo0
Tazama askari wa IDF alivyolengwa na sniper..
View: https://www.youtube.com/watch?v=t7IlnkNVk9I
Askari wa IDF wanavyomalizwa, hii video week mbili zimepita Khan Yunus..
View: https://www.youtube.com/watch?v=6xn5BNXmrOo
Hii vita IDF imeshindwa...