Gaza nimeanza kuwahurumia asee!

Gaza nimeanza kuwahurumia asee!

Ile ni coward army IDF inapaswa kupambana na Hamas sio hiki wanachofanya kama wao ni wamba wawaangamize Hamas na sio kuua raia wasio na hatia wanaochukua misaada.
Hamas wameshindikana...
Njia pekee ni kuamua kuwatesa raia wasio na hatia ..
 
Pale ni kwao kivipi hali yakuwa 1948 wamewakuta Palestinians? nani kamvamia mwenzake?
Hivi unaelewa Joseph Chamberlain alipendekeza eneo hapa East Africa iwe kama jewish homeland?
Basi alopendekeza waislael wakakae parestn ndo wakulaumiwa mana waislael hawakua na chaguo
 
Chakula kikipelekwa Hamas wanachukua chote maana na wao njaa zinawauma, hapo unataka iweje?
Si kweli...
Unaweza kunambia silaha wanazotumia Hamas wanapata wapi? hali ya kuwa wamezingirwa miaka miwili sasa?
 
Watu wakifa watawaongoza kina nani? Tatizo ni hamas hawataki kusitisha vita, mbona Israel vs Iran wameweza kusitisha?
 
Mmoja ya wanaopaswa kulaumiwa ni wewe mtoa mada shabiki maandazi, unashabikia vita unadhani ni mpira wa miguu ule wakati roho za watu zinatoka. Matako yako.
 
Walioanza kuua wenzake ni Israel... hadi 2023 Oct 7 kabla ya uvamizi Israel ilishaua Palestinians zaidi ya laki moja toka kuingia kwake pale 1948...

Sioni hamas walichokosea ilikuwa ni sawa tu..
Ndugu kwa hapa tulipofikia HAMAS aachie mateka vitaa viishe, jaman Ina umma watito kufa njaaa

HAMAS anaona ugumu Gani kuachia mateka vita iishe??? Roho yaniuma sana hawa watoto wangu Arusha wanavyopenda kula fikiria Kuna watoti Palestine hawajala siku tati na wengine wanakufa

Hapo tumefika pabaya.....kama ni mateka waachiliwe vita iishe.....HAMAS aache kukaza wkt maafa yanemzidia....achia mateka
 
Pale ni kwao kivipi hali yakuwa 1948 wamewakuta Palestinians? nani kamvamia mwenzake?
Hivi unaelewa Joseph Chamberlain alipendekeza eneo hapa East Africa iwe kama jewish homeland?
Hapa tunataka vita isitishwe, watoto wapate vyakula na kucheza mitaan....
Maisha yarudi kama kawaida

Habari za 1948 hatitaki huku watoto wakifa njaa
 
Israel anazingua Nyerere alitambua uhuru wa Palestina pamoja na Mandela nashangaa kuna wakristo wanafurahia huu uhuni wa Israel
 
Ndugu kwa hapa tulipofikia HAMAS aachie mateka vitaa viishe, jaman Ina umma watito kufa njaaa

HAMAS anaona ugumu Gani kuachia mateka vita iishe??? Roho yaniuma sana hawa watoto wangu Arusha wanavyopenda kula fikiria Kuna watoti Palestine hawajala siku tati na wengine wanakufa

Hapo tumefika pabaya.....kama ni mateka waachiliwe vita iishe.....HAMAS aache kukaza wkt maafa yanemzidia....achia mateka
Hamas ipo tayari shida ni Israel... Israel kinachomsumbua ni kutokukubali kwamba kikundi cha wanamgambo Hamas ameshindwa kukimaliza na kufanya mission ya kuwakomboa mateka wake...
 
Kiufupi ni kwamba IDF imeshindwa vita na Hamas...
Kama wanapambana na Hamas wapambane huku raia wakipata misaada.. IDF huko Gaza askari wake kila siku wanapigwa ambush na kuuawa na Hamas...

Tazama askari wa IDF alivyolengwa na sniper wa Hamas, hii ni huu mwezi, hizi sniper wanazitengeneza hapo hapo Gaza..

View: https://www.youtube.com/watch?v=_gTlGhnqJo0

Tazama askari wa IDF alivyolengwa na sniper..

View: https://www.youtube.com/watch?v=t7IlnkNVk9I


Askari wa IDF wanavyomalizwa, hii video week mbili zimepita Khan Yunus..


View: https://www.youtube.com/watch?v=6xn5BNXmrOo



Hii vita IDF imeshindwa...



Lazima uwe mwendawazimu kwa kiwango cha pekee Duniani, ndiyo unaweza kuamini kuwa wewe ambaye watu wako wapatao 60,000 wameuawa, viongozi wako wote wameuawa, ardhi yako yote imekaliwa na maadui zako, halafu useme wewe umeshinda vita, na huyo uliyemshinda umeua watu wake 1,200, tena karibia wote ni wakati ulipowavizia siku ya sherehe.
Lazima uwe kichaa kweli kweli.

Kama IDF wameshindwa vita, na Hamas wameshinda vita, kaa kimya usubirie tangazo rasmi kuwa magaidi wa Hamas wameishinda Israel kwenye uwanja wa vita, sasa wanaikalia nchi yote ya Israel.
 
Back
Top Bottom