Gaza Humanitarian Ships Leave Cyprus, attacked by Israeli Commandos

Gaza Humanitarian Ships Leave Cyprus, attacked by Israeli Commandos

very interesting, umeona walipowapiga kwa marungu, visu na kila kitu, wengine wamerushiwa kwenye maji, makomandoo wanarushiwa kwenye maji na hawa watu wa amani...hapa ndo tutatafuta definition ya watu wa amani au watu wanaokuja kwa fujo...
 
very interesting, umeona walipowapiga kwa marungu, visu na kila kitu, wengine wamerushiwa kwenye maji, makomandoo wanarushiwa kwenye maji na hawa watu wa amani...hapa ndo tutatafuta definition ya watu wa amani au watu wanaokuja kwa fujo...
Wee Ubungo Ubungo wacha akili yako ya darasa la tano hiyo.Kwenu wewe inaonekana hujawahi kukosa kula wala kunyimwa maziwa.Mtu mwenye njaa halaumiwi kwa kumshambulia anayemzuia kula.Na anayekubali kufa kumuokoa mtu huyo ni shujaa mkubwa.Fikiria watu wa Gaza wamezingirwa kila upande ili wasipelekewe chakula,madhumuni ni ili waislamu wale wafe.Wamechimba njia za chini kwa chini kufuata mahitaji Misri.zinapigwa mabomu na kuingiziwa gesi ya sumu.http://blogs.aljazeera.net/middleeast/2010/06/04/tunnelling-egypt
Kama kuna ugaidi mkubwa duniani hakuna unaopita huu.Hawa viongozi wa Marekani,Israel na Misri pamoja na wewe Ubungo ndio wa kupelekwa The Hague kama kweli ipo
 
hii ndo wanaita ati sio provocation...polisi tu wenyewe hapa bongo, walipoona wale wazanzibar mwaka ule wa uchaguzi wamemkata polisi kichwa...walitandika risasi watu kama 22, hapahapa kwetu tz...sasa hawa wanarushia mtu kwenye maji, na hiyohiyo selikali iliyofanya maovu zanzibari inageuka na kujifanya kujikosha...una mdomo wewe selikali ya tz....tena mwaka huu hatutaki mauaji mengine zanzibar, yaani hata aibu hamna...wameshasahau damu waliyomwaga kule zenji ati...leo hii midomo iyooo wanalaaani israel...
 
Wee Ubungo Ubungo wacha akili yako ya darasa la tano hiyo.Kwenu wewe inaonekana hujawahi kukosa kula wala kunyimwa maziwa.Mtu mwenye njaa halaumiwa kumshambulia anayemzuia kula.Na anayekubali kufa kumuokoa mtu huyo ni shujaa mkubwa.Fikiria watu wa Gaza wamezingirwa kila upande ili wasipelekewe chakula,madhumuni ni ili waislamu wale wafe.Wamechimba njia za chini kwa chini kufuata mahitaji Misri.zinapigwa mabomu na kuingiziwa gesi ya sumu.http://blogs.aljazeera.net/middle-east/2010/06/04/tunnelling-egypt
Kama kuna ugaidi mkubwa duniani hakuna unaopita huu.Hawa viongozi wa Marekani,Israel na Misri pamoja na wewe Ubungo ndio wa kupelekwa The Hague kama kweli ipo

kwani walioweka blockade ni israel peke yao, mbona hata ndugu zenu wamisri wameweka blockade? unajua unachoongea? una uhakika gaza hawana chakula, mbona israel waliwaambia kuwa meli itaruhusiwa lakini inatakiwa kupitia ashdon port ili itue mizigo pale wao wakakaidi,,,kama walikuwa na uhitaji kweli wa kupeleka chakula kwa watu kwanini walikaidi? si kiburi hicho...ugaidi sio wa israel kama unavyosema, nyie wenye kiburi na jihad ndo magaidi wakubwa...ndo maana hata hapo unamwita mtu anayekufa kuwa shujaa, shujaa wa kiburi...sasa atasaidia vipi wakati amekufa, asingeleta kiburi angeishi na kesho angeendelea kuwasaidia hao watu....sasa amekufa atawasaidia lini?ndo faida ya jihad hiyo..mtakufa mtaisha na israel anajua dawa yenu..
 
kama biashara wanayofanya ni njema, kwanini watumie haya mahandaki? wanatumia haya mahandaki kwasababu ya biashara haram ya kuingiza pesa haram, silaha na vitu vingine...mbona kuna barabara tu na kuna utaratibu mzuri tu ambao israel wameweka na misri wameweka ili kuingiza mizigo gaza? kwanini watumie tunnels? that means wanaingiza illegal goods...na hiz tunnels israel anatakiwa kuzivunja ndo zinanzoleta silaha na rocket ndani ya gaza na kusababisha raia wema wa palestina kufa kwasababu ya hizo silaha za hamazi through hizi tunnels....
 
kwani walioweka blockade ni israel peke yao, mbona hata ndugu zenu wamisri wameweka blockade? unajua unachoongea? una uhakika gaza hawana chakula, mbona israel waliwaambia kuwa meli itaruhusiwa lakini inatakiwa kupitia ashdon port ili itue mizigo pale wao wakakaidi,,,kama walikuwa na uhitaji kweli wa kupeleka chakula kwa watu kwanini walikaidi? si kiburi hicho...ugaidi sio wa israel kama unavyosema, nyie wenye kiburi na jihad ndo magaidi wakubwa...ndo maana hata hapo unamwita mtu anayekufa kuwa shujaa, shujaa wa kiburi...sasa atasaidia vipi wakati amekufa, asingeleta kiburi angeishi na kesho angeendelea kuwasaidia hao watu....sasa amekufa atawasaidia lini?ndo faida ya jihad hiyo..mtakufa mtaisha na israel anajua dawa yenu..
Nyinyi mayahudi ni watu wabaya sana.Yasser Arafat imewahi kutajwa kuwa baada ya kumfungia nyumbani kwake kwa miezi kadhaa mulimuwekea sumu kwenye maji na chakula mulichoruhusu kumpa.Sasa huruma hiyo hatutaki kwamba chakula kwanza kipite mikononi mwenu mukipulizie gesi ya kuua pole pole na kuzuia uzazi ndipo kiliwe na waislamu wa Gaza.Tunataka tuwapelekee chakula safi na salama kama unachopewa wewe na mama yako kabla hujaenda shule kila asubuhi.
Kuhusu serikali ya Misri wale si ndugu zangu mimi,mimi sina ndugu wenye akili ya kikatili na kijinga kama hivi.Ndugu zangu kule ni wale wanaowapatia waislamu wa gaza chakula kwa namna yoyote ile.Wewe wale wenye roho katili ndio nduguzo.
 
Nyinyi mayahudi ni watu wabaya sana.Yasser Arafat imewahi kutajwa kuwa baada ya kumfungia nyumbani kwake kwa miezi kadhaa mulimuwekea sumu kwenye maji na chakula mulichoruhusu kumpa.Sasa huruma hiyo hatutaki kwamba chakula kwanza kipite mikononi mwenu mukipulizie gesi ya kuua pole pole na kuzuia uzazi ndipo kiliwe na waislamu wa Gaza.Tunataka tuwapelekee chakula safi na salama kama unachopewa wewe na mama yako kabla hujaenda shue kila asubuhi.

kuna ushaidi wowote kuthibitisha hilo la arafat? kwani alikuwa analishwa na waisrael?...hauna point bwamdogo kaa kimya. ingekuwa ndio hivyo wapelestina wote wa gaza na ukanda wa magaribi si wangeshakufa?
 
Kweli ratio yako inatisha kutokana na hii chuki juu ya watu hawa kwenye mabano!!! Yaani akiuawa mmoja kumbe wanatakiwa kufa 22?:angry:

lakini si unakumbuka iliyotokea hadi wapemba wakaenda uhamishoni mombasa wengine hadi leo hii wako UK kama wakimbizi...na selikali iyoiyo inatoa lalamiko kwa israel leo..mdomo uwo wanao kweli?
 
kama biashara wanayofanya ni njema, kwanini watumie haya mahandaki? wanatumia haya mahandaki kwasababu ya biashara haram ya kuingiza pesa haram, silaha na vitu vingine...mbona kuna barabara tu na kuna utaratibu mzuri tu ambao israel wameweka na misri wameweka ili kuingiza mizigo gaza? kwanini watumie tunnels? that means wanaingiza illegal goods...na hiz tunnels israel anatakiwa kuzivunja ndo zinanzoleta silaha na rocket ndani ya gaza na kusababisha raia wema wa palestina kufa kwasababu ya hizo silaha za hamazi through hizi tunnels....
Chakula siio ilegal goods.Hata bunduki za rashasha si chochote mbele ya makombora ya kutoka kwenye ndege na vinu vya nyuklia.Hivi ndio haramu vya kuvunjwa na kupigwa marufuku.
 
Masoud, Yasser Arafat alikufa kwa NGOMA. Alikuwa firauni yule akiingiliana na wanaume wenzie huku anajitia mjumbe wa mungu kwa wapalestina.

Wajinga ndio waliwao.
 
kuna ushaidi wowote kuthibitisha hilo la arafat? kwani alikuwa analishwa na waisrael?...hauna point bwamdogo kaa kimya. ingekuwa ndio hivyo wapelestina wote wa gaza na ukanda wa magaribi si wangeshakufa?
Wewe ingia darasani ukasome,huna akili ya maana kujadiliana na wana JF.unadhani nani alikuwa akimpa chakula Arrafat muda wote ule wakati watu wake wote walikuwa hawamfikii?.Sasa natoka kidogo,nikirudi nikukute uko darasani na watoto wenzako.
 
Masoud vp mkubwa, shule ipi unaongelea maana hapa bongo siku hizi kila kitu utasikia shule huna! Mimi siamini kukariri ni njia sahihi ya kusema kila kitu kasome, elimu ipi. Hawa wasomi wako umeona wanavyoishi na wanavyofanya hata wasio na shule wana nafuu, si unajua ktk tanzania ni percentage ngapi waliopata hako kaelimu na ndio hao wanaotambia watu mitaani wamesoma, mimi naamini msomi ni mtu ambaye ana mchango na elimu yake kukomboa jamii.
Bahati nzuri mimi nakwenda zaidi vijijini daily kaone maisha ya watu wetu unaweza kulia. Ishu hapa si dini wala kabila ishu ni unyama kati ya masikini na matajiri full stop.
 
Nadhani hatua hizi ndo zinafaa kwa taifa hili lenye kujifanya babe na kutumia kifaru kumuulia sisimizi!!!!!!!!!!!!
 
Masoud vp mkubwa, shule ipi unaongelea maana hapa bongo siku hizi kila kitu utasikia shule huna! Mimi siamini kukariri ni njia sahihi ya kusema kila kitu kasome, elimu ipi. Hawa wasomi wako umeona wanavyoishi na wanavyofanya hata wasio na shule wana nafuu, si unajua ktk tanzania ni percentage ngapi waliopata hako kaelimu na ndio hao wanaotambia watu mitaani wamesoma, mimi naamini msomi ni mtu ambaye ana mchango na elimu yake kukomboa jamii.
Bahati nzuri mimi nakwenda zaidi vijijini daily kaone maisha ya watu wetu unaweza kulia. Ishu hapa si dini wala kabila ishu ni unyama kati ya masikini na matajiri full stop.
Sawa Pwagu,hata hivyo dini zina mchango na unyama unaotendeka duniani.Kwa mfano mayahudi wanaongoza halafu wakristo.Unajua sababu?
 
Wee Ubungo Ubungo wacha akili yako ya darasa la tano hiyo.Kwenu wewe inaonekana hujawahi kukosa kula wala kunyimwa maziwa.Mtu mwenye njaa halaumiwi kwa kumshambulia anayemzuia kula.Na anayekubali kufa kumuokoa mtu huyo ni shujaa mkubwa.Fikiria watu wa Gaza wamezingirwa kila upande ili wasipelekewe chakula,madhumuni ni ili waislamu wale wafe.Wamechimba njia za chini kwa chini kufuata mahitaji Misri.zinapigwa mabomu na kuingiziwa gesi ya sumu.http://blogs.aljazeera.net/middleeast/2010/06/04/tunnelling-egypt
Kama kuna ugaidi mkubwa duniani hakuna unaopita huu.Hawa viongozi wa Marekani,Israel na Misri pamoja na wewe Ubungo ndio wa kupelekwa The Hague kama kweli ipo

Du! kumbe masudi ni kati ya wale wanaochuja Mbu na kumeza Ngamia? Bro. Amka, Amini kuwa Yesu ni Mungu wako nawe utaokolewa pamoja na Nyumba yako.
 
Wewe ingia darasani ukasome,huna akili ya maana kujadiliana na wana JF.unadhani nani alikuwa akimpa chakula Arrafat muda wote ule wakati watu wake wote walikuwa hawamfikii?.Sasa natoka kidogo,nikirudi nikukute uko darasani na watoto wenzako.

Ama kweli wajinga ndio waliwao, huoni kwamba miungu ya waarabu iitwayo allah imekupofusha? huoni, husikii wala huhisi kwamba wewe muda wowote ukiitwa mbele za haki makao yako ni Jehanum ya Moto? Pole bro.
 
Sawa Pwagu,hata hivyo dini zina mchango na unyama unaotendeka duniani.Kwa mfano mayahudi wanaongoza halafu wakristo.Unajua sababu?

Unachekesha kweli, hujui kuwa Waslamu ndio wanaoongoza kwa uovu duniani? Mwamini Yesu nawe utaokolewa na Nyumba yako.
 
Back
Top Bottom