Gaza Humanitarian Ships Leave Cyprus, attacked by Israeli Commandos

Gaza Humanitarian Ships Leave Cyprus, attacked by Israeli Commandos

Wewe Ubungo Ubungo unaonekana mdogo sana kama mtoto wa std v vile.Wewe hujawahi kukosa chakula kwenu.
Ndio kweli wewe utaridhia binadamu mwenzako awe dini na kabila lolote afe njaa kwa kuzuiwa kupata chakula tu bila sababu yoyote na chakula kimejaa kwengine.

Rudia hii historia ya karibuni ya Gaza kuzingirwa isipate chakula na hata maji iwe kwa mgao.Kweli wewe unaridhia.
Mwenye njaa akiweza kumfanya lolote anayemzuia kula hana kosa.Na mwengine anayefanya juhudi kuokoa maisha yake ni wa kupongezwa sana na ana moyo wa kiislamu hata akiwa dini nyengine.

mimi si mtoto wa st.seven...nilishawai kukosa chakula sana na kulala njaa vilevile. kuweka blockade haijaanza na israel tu, hii kitu inatambuliwa kimataifa na sheria ya kimataifa inalijua na kuruhusu...hadi pale waarabu watakapoishi kwa amani na israel, ndo blockade itakapotakiwa kuchukuliwa kama kitu kibaya...lakini kwasababu hali iko tete siku zote, blockade ni lazima....na si kwamba hawaruhusu watu kuingiza chakula gaza, hapana..wanaruhusu ila kwa utaratibu maalumu, wale wasiopenda kwenda kwa utaratibu ndo kama hao wanakaidi amri ya jeshi, matokeo yake wakipigwa wanaanza kulialia, international community itaongea na itanyamaza kama hasara wameshapata, wangejua wangeiendea israel kama inavyotaka hayo yote yasingewakuta. hata ivyo israel wamewahurumia sana, mtu anakushambulia alafu anajifanya yeye mwema..

mimi sirudii historia ya gaza, kwa kifupi hata huko gaza naijuia na ninaifanyia kazi kila siku hapa pamoja na situation yote ya middle east, hayo yte ya mgao wa umeme na maji, ni njia tu za discipline kutokana na matendo yao..huo mgao wa umeme etc usingetokea kama wangeishi kwa amani..kwa kifupi hizo zote so called international activists, ni watu waliojaa chuki dhidi ya israel, na israel walitakiwa kuchukua hatua kali zaidi ya hii kwa hao wafaransa, turkish na wengine kwa kiburi chao kufikiri israel watawaheshimu kwasababu wao ni watu wa ulaya...
 
Well directed to me!...mimi sina chuki wala siongozwi kwa chuki...kuruhusiwa kuingia international waters hakuwazuii kukagua meli vilevile, umesahau hilo. hawajashambulia watu, walikuwa wanajitetea baada ya hao unaowatetea wewe kuanza kuwashambulia makomandoo wa IDF hadi ikabidi wengine wajitose kwenye maji ya bahari waogelee kwasababu waliona wanataka kuwaua...so walikuwa wanajitetea.wewe uko blind kabisa, na unahitaji msaada mkubwa.
I guess those who said you can never change a fool they were damn right.
 
UbungoUbungo,
I think you are educated enough SIR MR SIR,

So let me put the record straight. Hizi point zote hapo chini, am building them from your points mind you.:
1. You say, why did these guys (activists) initiate a fight they knew they were gonna lose.
- My question is; Kule Thailand wale ma red shirts hawakujua kama serikali yao itatumia nguvu ya dola kuangamiza? Mbona waliendela na mgoma?
2.You're supporting piracy; I mean the act of Israel commandos attacking a ship in International waters. They could have waited till the those ships entered their waters.
-Qtn; Mbona you guys are condemning SOMALI pirates kila kukicha..is there a difference btwn wat Isarael did and wat Somalians are doing. Or just because Israel has a gov't and Somalia doesn't. It's called State sponsored Piracy, Terrorism etc..

Remember I have already posted alot of posts on this topic....sema tu unakurupuka kuongea 2...ili uonekane unajua kumbe **** 2... Nway get ur facts staright.
The activists wanted PUBLICITY, which they got thanx to the all 'MIGHTY' JEWISH 'ARROGANCE'..

iN YoUr FaCe
 
international aid body inapoingia kwenye nchi ya watu inatakiwa kwenda kwa utaratibu na kwa kuruhusiwa na nchi husika, kama haitafanya hivyo inatakiwa ikubaliane na lolote. huwezi kuvunja sheria za kimataifa kwa mgongo wa humanitarian aid, utu wema etc. hao kwani walikuwa hawajui kuwa israel imeweka blockade hapo, israel iko sovereign kwenye nchi yake na mtu yeyote anayeingia anatakiwa kuheshimu sovereignty hiyo kitu kinachoheshimiwa na nchi zote duniani. si kweli kwamba dunia nzima wanalaumu wala hili si jambo la ajabu, kulalamikia hii blockade hawajaanza leo, wameanza muda sana tangu walipoanz akulalamika ati mbolea na nondo za chuma haziruhisiwi, mara chakula wakati ule wakati baada ya gaza bombardment kutokea..lakini walipokuja kuangalia upande wa israel walivyokuwa wanafanya, ilionekana israel walikuwa hawazuii bidhaa zote, tatizo ni kwamba wapalestina walikuwa wanaingiza materials ambazo si silaha ili watengeneze silaha ndani ya gaza....USITAKE KUWAHAMASISHA WATU WAKUBALIANE NA HATRED YAKO DHIDI YA ISRAEL, si kila mtu atakusapoti...kwanza jambo lenyewe hili ni la kawaida kwasababu kama kulaaniwa na watu kwa israel, wanaongeaga hivyohivyo ili kuwatuliza tu wapalestina lakini hakuna hatua yeyote itachukuliwa...

kwa taarifa yako, kati ya nchi zilizobobea kwenye masuala ya international humanitarian law/sheria ya vita, israel ni mojawapo, na ndio maana wamefanya hivyo wakijua wanachokifanya, na wanasubiria tu kama kuna mwenye ubavu awapeleke kwenye vyombo vya sheria, kama ni security council, kama ni the hague wanaelewa....kwa taarifa yako, siku hizi viongozi wan nchi wako makini sana kwasababu ukifanya kosa lililo nje ya sheria tu,unapigwa warrant of arrest kwenda hague haraka sana....hivyo ukiona mtu anafanya kitu kwa kujiamini, basi ujue anajua hajauvnja sheria...umesikia bwana mdogo!

Wewe unasapoti Mayahudi wa Ulaya(Eshkenazi-Jews) na movement yao ya Kizayuni (Zionist movement) wakati "wana wa Israeli" hawapo tena ulimwenguni kwakuwa wameshachanganyika kindakindaki na binamu zao waarabu waislamu ambao ni waPalestina. Ile ardhi ni ya waPalestina na si ya waZayuni (Zionists). Hujijui hujitambui, unasafa na kitu kinachoitwa "brainwash" ambapo umebambikwa ideology ngeni lakini umeivaa kama yako.

Kwa taarifa yako Wazayuni (Zionists) lazima wakusanyike woooote pale kwenye ardhi tukufu kwa maana pale ndio kaburini kwao watapozikwa, litambue hilo vizuri. Kila mnavyozidi pumbazika njie mlioachwa solemba kiitikadi kutokana na wao eti wana-gain upper hand, ndio mwisho wao unapokaribia, hilo halina shaka kwakuwa wao ni Madhalimu wa kiitikadi, wameenza haya zama na zama. Kwa taarifa yako kwa wana wa Izraeli kupoteza identity yao kwa kuchanganyika na mtaifa ni kwa benefit ya usalama na imani yao, na huu uZionist wa ku-vision identity ya uTaifa wao, hasa katika ardhi ile ndio mwanzo wa balaa kwao na imani yao, kwa taarifa yako Jews waliosoma vizuri katu hawalitaki hilo na wanalihofu sana kwasababu wanajua fika ndio itakuwa sababu ya kuangamia kwao. Na nyinyi mliozubaa kila mnavyozidisha chuki zenu juu ya uislamu ndivyo matokeo ambayo hayako mbali saaana yatakavyokuja kuwashitua. Hamtokuwa na njia isipokuwa aidha:
1. Kuumia mioyoni kama ncha ya kisu kichomacho nyoyo zenu kwa hayo matokeo mtakayoyaona
2. Kupigwa na mshangao wa ajabu juu makaribisho mtakayokuja kuyapata (mkisilimu) kutoka kwa waislamu licha ya chuki, kashfa na madhila mliyowafanyia waislamu kwa muda mrefu.
3. Kuendelea na kiburi cha KiZayuni na adhabu ya halali iwafikie. Itawafika a adhabu hapa duniani na kesho akhera moto ukiwasubiri kwa kuwa nyinyi mnamkufuru. Mnakufuru kwa kumshusha hadhi yake na kumsingia Mwenyezi Mungu kupata mtoto na mmempandisha mja (kiumbe) wake na Mtume wake Isa (Jesus) kutoka Mtume, mtoto wa mungu hadi baadhi yenu kumuabudu kama Mungu kinyume na mafundisho yake matakatifu. Mmejidhulumu nyie kwa kufuru zenu.

Kumbuka!!! Wapalestina wote sio waGhazza tu, bali wote, walipitisha maamuzi yao ya kidemokrasia katika ballot box hapo Januari 2006. Walichagua chama gani kiwaongoze? Hizi lugha zenu za ku-twist maneno eti kuwa HAMAS sio watawala halali wa Palestina mliyapata wapi nyinyi??? Nani walichaguliwa kidemokrasia katika uchaguzi ule, you ******!!! Mahmoud Abbas (puppet wenu) au Ismail Haniyeh (chaguo la waPalestina na kiongozi wa HAMAS)? Yupi na chama kipi vilichaguliwa. Kwa asilimia ngapi kama sio zaidi ya 71% just on the first round of votes.

Unajua maana ya demokrasia wewe??? Zionists, waMagharibi na nyinyi mliozubaa nyoote hamna hata heshima na aibu na mnayoyasema, kila kukicha demokrasia demaokrasia wakati hata nyinyi wenyewe hamna heshima nayo. Hii sio double standard bali ni unafiki ulio wazi wazi, wanafiki wakubwa nyie. Huu unafiki wenu ndio mtego wenu utakaowaangamiza, inshaAllah.

Kwa taarifa yako hakuna kipingamizi dhidi ya dini na utawala wa haki wa kiislamu. Si kutoka kwa maZayuni wala wamagharibi. Subirini tu inshaAllah Mwenyezi Mungu atakapotuwezesha kujipanga vizuri kiimani ya dini yetu na kuwasafisha hawa ma-puppet wenu miongoni mwetu (akina Mahmoud Abbasi, Hosni Mubarrak, Hamid Karzai n.k, n.k) na kusimamisha nchi zetu kiimani zetu basi nyinyi wenyewe mtakaa sawa. Ama kuhusiana na "subira" na "resilience" hivi vitu sisi ametufundisha Mwenyezi Mungu na believe me hata mkusanyike nyooote na msaidiwe na maibilisi waliolaaniwa basi katu hamtoweza kuizima "NURU YA MWENYEZI MUNGU" na mwishowe haki itatawala na uZayuni utatoweka.
 
Nawatakia Israel amani na ushindi kama vile biblia ilivyosema juu yao. Hakuna mtu wala taifa litakaloweza kuwapiga wala kufanya hila dhidi yao. Naamini madhalimu ni wapalestina na waislamu kwa jumla maana ni wachokozi na wepesi kulialia. Sasa walichokitaka ndicho wamepata. Wenye akili tunajua uchokozi umelipizwa. Sioni huruma kwa mchokozi. Hasa hawa wagaza.

Only people with pea sized brain can make this generalization
 
Watu wengi humu ni mbumbumbu mzungu wa reli! Hawajui si International law wala humanitarian law, licha ya law of the sea. Wengi hawajui hata historia ya WaIsraeli hawa wa sasa. Wanadhania wale Waisraeli wa miaka 2000 ndio hao hao wanaoishi Israeli leo, au wana uhusiano nao. Ukweli ni kuwa Waisraeli wengi waishio Israeli leo ni Wazungu- kutoka Urusi, Poland, Ujerumani, marekani na sehemu nyingine za Ulaya. Wachache wanatoka nchi za mashariki ya Kati ambao, hata Waarabu wanakiri, wana haki ya kuishi Palestina. Hawa wengine ni Wazayuni ambao hata hawahusiki na Wayahudi. Asili yao ni Asia minor (Khazar) wakaingia dini ya Kiyahudi mnamo karne ya 12 na wakatapakaa Ulaya Mashariki na Magharibi. Someni vizuri historia kabla ya kujiingiza katika mambo msiyoyajua. Jee, unajua kuwa Wayahudi hawa ndiyo waliokuwa wanaendesha biashara ya utumwa? Na ndio waliokuwa msitari wa mbele katika racism kule Marekani wakati wa Segregation?? Jee, unajua Wayahudi walikuwa marafiki wakuu wa utawala wa kibaguzi wa Afrika Kusini, na hata waliwapa mabomu ya nuklia?

Mii nashangaa mtu mweusi kuwashabikia Wayahudi. Ujinga mtupu. Mtu mweusi bwana, kwa ujinga alio nao anaweza hata kufanywa mtumwa tena, kama wazungu watataka!

Bila ya kuwashabikia Waarabu, kama wewe ni mpenda haki utajua tu kwamba manung'uniko yao yana msingi. Ungeonaje wewe kama watu wakija kuidai Tanzania kwa sababu eti miaka 2000 iliyopita babu zao waliishi huko? Palestina imeishiwa na makabila mengi na si Mayahudi tu (hata tukikubali kuwa Mayahudi hawa wa sasa ndio wale wa kale)... Jee, inamaanisha makabila yote hayo yanaweza kuidai nchi hiyo? Kuweni wafuata haki na siyo jazba za kidini na chuki tu.

Acha kututengenezea historia yako.
Mimi najua aliyeshiriki ktk biashara ya utumwa ni Mwarabu, hakiyanani hata ukienda pale kwa babu yangu Nzega atakwambia Tip Tip alikuwa anatoka na watumwa huko magharibi toka na zaire tena wakiwa wamebeba mzigo kuelekea BWAGAMOYO.

Hakiyanani, pale BWAGAMOYO kwenye lile jengo la CARVANAR kuna TUNEL linaoenda kutokeza baharini karibu na kwa FATHER BAYO pale alipofia Livingstone. Na walikuwa wanawekwa kwenye tunel hilo ili wasitambue wametokea wapi tayari tena wamejenga matuta tuta mle ili akiwa anatembea ajione kama yuko porini wakiwa wamefungwa vitabaa vyeusi usoni kuelekea Zenji kwa sultani wa kiarabu tayari kwa KUWATIA BEI.

Sasa unaposema biashara ya utumwa kwa wayahudi binafsi sielewi , labda utupe stori kidogo. Ila kidogo ninachokijua ni kwamba hawa walikuwa watumwa MISRI sijui wakati huo wamisri walikuwa waafrika ama waarabu mie sijui, pia walikuja kuwa watumwa chini ya dola ya RUMI yani waitaliano nafikiri kipindi hicho ndo wazungu waliingia huko, miaka ile yani 2000 iliyopita.

Na hata hivyo sheria nyingi za uhamiaji zinampasa mtu kuishi mahala fulani miaka 5 tu tayari anakuwa raia wa pale.
 
Wewe unasapoti Mayahudi wa Ulaya(Eshkenazi-Jews) na movement yao ya Kizayuni (Zionist movement) wakati "wana wa Israeli" hawapo tena ulimwenguni kwakuwa wameshachanganyika kindakindaki na binamu zao waarabu waislamu ambao ni waPalestina. Ile ardhi ni ya waPalestina na si ya waZayuni (Zionists). Hujijui hujitambui, unasafa na kitu kinachoitwa "brainwash" ambapo umebambikwa ideology ngeni lakini umeivaa kama yako.

Kwa taarifa yako Wazayuni (Zionists) lazima wakusanyike woooote pale kwenye ardhi tukufu kwa maana pale ndio kaburini kwao watapozikwa, litambue hilo vizuri. Kila mnavyozidi pumbazika njie mlioachwa solemba kiitikadi kutokana na wao eti wana-gain upper hand, ndio mwisho wao unapokaribia, hilo halina shaka kwakuwa wao ni Madhalimu wa kiitikadi, wameenza haya zama na zama. Kwa taarifa yako kwa wana wa Izraeli kupoteza identity yao kwa kuchanganyika na mtaifa ni kwa benefit ya usalama na imani yao, na huu uZionist wa ku-vision identity ya uTaifa wao, hasa katika ardhi ile ndio mwanzo wa balaa kwao na imani yao, kwa taarifa yako Jews waliosoma vizuri katu hawalitaki hilo na wanalihofu sana kwasababu wanajua fika ndio itakuwa sababu ya kuangamia kwao. Na nyinyi mliozubaa kila mnavyozidisha chuki zenu juu ya uislamu ndivyo matokeo ambayo hayako mbali saaana yatakavyokuja kuwashitua. Hamtokuwa na njia isipokuwa aidha:
1. Kuumia mioyoni kama ncha ya kisu kichomacho nyoyo zenu kwa hayo matokeo mtakayoyaona
2. Kupigwa na mshangao wa ajabu juu makaribisho mtakayokuja kuyapata (mkisilimu) kutoka kwa waislamu licha ya chuki, kashfa na madhila mliyowafanyia waislamu kwa muda mrefu.
3. Kuendelea na kiburi cha KiZayuni na adhabu ya halali iwafikie. Itawafika a adhabu hapa duniani na kesho akhera moto ukiwasubiri kwa kuwa nyinyi mnamkufuru. Mnakufuru kwa kumshusha hadhi yake na kumsingia Mwenyezi Mungu kupata mtoto na mmempandisha mja (kiumbe) wake na Mtume wake Isa (Jesus) kutoka Mtume, mtoto wa mungu hadi baadhi yenu kumuabudu kama Mungu kinyume na mafundisho yake matakatifu. Mmejidhulumu nyie kwa kufuru zenu.

Kumbuka!!! Wapalestina wote sio waGhazza tu, bali wote, walipitisha maamuzi yao ya kidemokrasia katika ballot box hapo Januari 2006. Walichagua chama gani kiwaongoze? Hizi lugha zenu za ku-twist maneno eti kuwa HAMAS sio watawala halali wa Palestina mliyapata wapi nyinyi??? Nani walichaguliwa kidemokrasia katika uchaguzi ule, you ******!!! Mahmoud Abbas (puppet wenu) au Ismail Haniyeh (chaguo la waPalestina na kiongozi wa HAMAS)? Yupi na chama kipi vilichaguliwa. Kwa asilimia ngapi kama sio zaidi ya 71% just on the first round of votes.

Unajua maana ya demokrasia wewe??? Zionists, waMagharibi na nyinyi mliozubaa nyoote hamna hata heshima na aibu na mnayoyasema, kila kukicha demokrasia demaokrasia wakati hata nyinyi wenyewe hamna heshima nayo. Hii sio double standard bali ni unafiki ulio wazi wazi, wanafiki wakubwa nyie. Huu unafiki wenu ndio mtego wenu utakaowaangamiza, inshaAllah.

Kwa taarifa yako hakuna kipingamizi dhidi ya dini na utawala wa haki wa kiislamu. Si kutoka kwa maZayuni wala wamagharibi. Subirini tu inshaAllah Mwenyezi Mungu atakapotuwezesha kujipanga vizuri kiimani ya dini yetu na kuwasafisha hawa ma-puppet wenu miongoni mwetu (akina Mahmoud Abbasi, Hosni Mubarrak, Hamid Karzai n.k, n.k) na kusimamisha nchi zetu kiimani zetu basi nyinyi wenyewe mtakaa sawa. Ama kuhusiana na "subira" na "resilience" hivi vitu sisi ametufundisha Mwenyezi Mungu na believe me hata mkusanyike nyooote na msaidiwe na maibilisi waliolaaniwa basi katu hamtoweza kuizima "NURU YA MWENYEZI MUNGU" na mwishowe haki itatawala na uZayuni utatoweka.


Wewe ndo umetoka nje kabisa, yani umepiga goli kick kutoka kwako na ikawa kona kuelekea langoni kwako

teh teh teh
unachekesha sana wewe nchi yako kama sio Tanzania basi ni Kenya, hao utakaowasimamisha ktk nchi zenu teh teh teh palestina ni nchi yako?
 
UbungoUbungo,
I think you are educated enough SIR MR SIR,

So let me put the record straight. Hizi point zote hapo chini, am building them from your points mind you.:
1. You say, why did these guys (activists) initiate a fight they knew they were gonna lose.
- My question is; Kule Thailand wale ma red shirts hawakujua kama serikali yao itatumia nguvu ya dola kuangamiza? Mbona waliendela na mgoma?
2.You're supporting piracy; I mean the act of Israel commandos attacking a ship in International waters. They could have waited till the those ships entered their waters.
-Qtn; Mbona you guys are condemning SOMALI pirates kila kukicha..is there a difference btwn wat Isarael did and wat Somalians are doing. Or just because Israel has a gov't and Somalia doesn't. It's called State sponsored Piracy, Terrorism etc..

Remember I have already posted alot of posts on this topic....sema tu unakurupuka kuongea 2...ili uonekane unajua kumbe **** 2... Nway get ur facts staright.
The activists wanted PUBLICITY, which they got thanx to the all 'MIGHTY' JEWISH 'ARROGANCE'..

iN YoUr FaCe

aisee we mzimu, usifananishe hii issue na Tai, haujauliza swali kabisa umeuliza hewa kwasababu umeende irrelevant. so sitakujibu kabisa swali lako la kwanza.

pili, haujui kabisa maana ya piracy, nenda pekua vitabu uone maana ya piracy ni nini!...NENDA SOMA UNCLOS sasahivi uelewe definition ya piracy na mapirates under international law...halafu uangalie ni economic gain ipi israel ilikuwa inapata kutoka kwenye uvamizi wa ile meli...ukisoma hiyo document utajijibu mwenyewe.

there is a very big difference between somali piracy and what you name it piracy of the israelis...hiyo ya wayahudi haikuwa piracy kwa mtu anayejua sheria za kimataifa,na hapa usibishe kabisa kwasababu nitakuletea vielelezo.

sijakurupuka, wewe ndio unakurupuka, si kila post unayoweka hapo ina maana, zingine unaandika alafu zinakuwa hazina point yoyote, sasa mtu anaipuuzia kabisa kwasababu inakuwa ni pumba...kama unataka msaada wa kuelewa haya mambo, niambia nitakupa lecture buree.
 
Israel to expel all activists by day's end



AP – Detained activists from the Gaza-bound flotilla gesture as their bus arrives at Ben Gurion airport before …


By AMY TEIBEL, Associated Press Writer

JERUSALEM – Israel on Wednesday was deporting the last of the nearly 700 foreign activists detained in a deadly raid on an aid flotilla bound for Palestinians in the blockaded, Hamas-ruled Gaza.

Israel's attorney general, Yehuda Weinstein, ordered everyone be deported after deciding not to prosecute any of the activists taken into custody during Monday's raid. Officials had earlier said they were considering prosecuting about 50 people believed to be involved in violence, but Weinstein wrote in his order Wednesday that "keeping them here would do moredamage to the country's vital interests than good."

Israel has come under harsh international condemnation after naval commandos stormed the flotilla in international waters, setting off the deadly clashes. Israel says its soldiers opened fire only after being attacked by angry activists, who said they were trying to breach the blockade of Gaza to bring in aid.

Officials at Ben Gurion airport in Tel Aviv say all of the foreign activists have been taken to the airport to be deported. Turkish and Greek protesters were to fly home on special planes sent by their respective governments, while other foreigners were to travel home on commercial flights.

The raid that ended with Israeli soldiers killing nine activists has strained diplomatic ties, sending Israeli relations with Turkey, in particular, to a new low. At least four of the nine killed were Turkish and the ship Israel attacked was Turkish. Israel ordered families of its diplomats out of that country a day after Turkey branded the raid a "massacre."

The assault on the flotilla continued to stir anger in Ankara, where Turkish lawmakers on Wednesday called on the government to review its political, military and economic ties with Israel. In a declaration approved by a show of hands, the lawmakers also said Israel must formally apologize for the raid Monday on the Gaza-bound aid flotilla, pay compensation to the victims and bring those responsible to justice.

"This attack was an open violation of United Nations rules and international law,"Deputy Parliament Speaker Guldal Mumcu said, reading out the declaration.

Israeli officials said the decision not to prosecute any of the activists, despite suspicions that they were sent to attack Israeli forces on the ship, was an attempt to limit damage to Israel's relations with Turkey, an unofficial sponsor of the flotilla. The officials spoke on condition of anonymity because they were discussing sensitive diplomatic issues.

More than 120 activists from a dozen Muslim nations without diplomatic relations with Israel were deported to Jordan before sunrise, corrections department spokesman Yaron Zamir said.

Also Wednesday, Egypt eased its blockade of Gaza after the assault and at the newly opened crossing in the border town of Rafah, about 300 Palestinians entered through Gaza's main gateway to the outside world. A smaller number entered Gaza from Egypt and humanitarian aid also came in including blankets, tents and 13 power generators donated by Russia and Oman.

Gaza has been under an Israeli and Egyptian blockade since Hamas militants seized power in a violent takeover of the seaside strip in 2007. Egypt's opening of the borderwas believed to be temporary, although the government did not say how long it would last.
___
Associated Press Writers Dale Gavlak at Allenby Bridge, Jordan, and Karin Laub in Jerusalem, Selcan Hacaoglu in Ankara, Turkey, contributed to this report.

Israel to expel all activists by day's end - Yahoo! News
 
sasa unakopy na kupaste maukurasa toka kwenye website zingine, unafikiri hatujaona huko ulikotoa? au umezoea copy and paste toka skuli? weka point tuone akili yako kumkichwa ikoje, sio kupaste mambo ambayo kila mtu ameshaangalia...tunasoma kwanza kwenye web hizo alafu ndo tunakuja hapa kujadili kama haujaelewa...unaboa..
 
Upande wa pili wa shilingi..

Kwa hiyo wewe unayeshabikia waarabu ndio mtu wa maana na mwerevu? Sio ndio?

Hivi unajua ni kiasi gani cha ardhi kilichotekwa na waarabu ? Unajua madhila walioyaleta kwene nchi walizoziteka ktk kipindi walipokuwa wababe?

Waache wayahudi na waarabu watwangane wao wenyewe..sie ya kwetu yanatushinda kazi u-bandwagon tuuuuu.
Ndugu yangu usiturudishe nyuma, hapa hakuna cha kushabikia waarabu wala waisrael. KINACHOSHABIKIWA HAPA NI HAKI ZA BINAADAM.

BAADA YA Afrika kusini kupata uhuru wake, kwa leo hii PALESTINA ndio nchi pekee duniani inayoishi chini ya OCUPATION. Hata hilo wewe hulioni. Hivi ni maneno gani yatayokuwezesha kufahamu kuwa katika kipindi cha demokrasia na utandawazi, mwanadamu ana uhuru wa kujichagulia jinsi apendavyo kuishi. Kweli inahitaji kwenda shule ili kufahamu hili?

Hata ukisema hivyo unavyotaka wewe ETI KATIKA KIPINDI AMBAPO WAARABU WALIKUWA WABABE WALITYESA WENZAO. Mjomba nakuonea huruma, kwasababu ukifuata hivyo hakuna nchi duniani leo itakalika. Toka Amerika mpaka Rusia, China mpaka India, Tanzania mpaka Kenya, Saudi Arabia mpaka Itali n.k Soma historia bya Dunia itakusaidia kujibu maswali magumu unayojiuliza.

Natakupa vipande kidogo tu, kuwa Petro wa pili huko Rusia ndio aliyeifanya Rusia kuwa kubwa kiasi hiki, maeneo yote ya Leningrad (ST. Petersburg) Kalenin n.k hayakuwa Rusia huko awali. Hali kama hiyo imeikuta Itali, Ufaransa, Spania n.k. Sasa kwa maelezo yako ni kwamba turudi miaka 600 nyuma na tumuhukumu aliyekuwa mbabe. Kumbuka katika karne ya 10 mpaka 17 ubabe ndio ulikuwa mtindo wa utawala hapa Duniani. Utulivu wa hali unayeiona leo unatokana na hao hao wababe kusema sasa kila mtu aitambue ardhi mwenzio anayeitawala. Na hapa ndipo tulipo.

Hata ukiichora Ramani ya Tanzania mwaka 1800 sio hii iliyokuwa leo. Na ndio maana leo utasikia sana neno Mkubaliano ya Geneva. Hapa ndio akili yako inabidi ianze kufikiri unapojadili kitu chochote kuhusu Mgogoro wa Mashariki ya kati.

Ndugu yangu ammka, amka, amka tujadili mambo bila hisia zetu za chuki.
 
sasa unakopy na kupaste maukurasa toka kwenye website zingine, unafikiri hatujaona huko ulikotoa? au umezoea copy and paste toka skuli? weka point tuone akili yako kumkichwa ikoje, sio kupaste mambo ambayo kila mtu ameshaangalia...tunasoma kwanza kwenye web hizo alafu ndo tunakuja hapa kujadili kama haujaelewa...unaboa..

Wewe unafikiri mimi ni mjinga kama wengine mnaobishana kwa kipumbavu kama wewe unaojiita Mwana wa Mungu unazungumza maneno ya kipuuzi wakati dunia nzima wanalalamika vitendo wanavyofanya israil ni kinyume na haki za Kibinadamu watu wanataka kuwapelekea vyakula wao Waisrail wanazuia watu wasiende kuwasaidia Wapalestina.

Israil wanataka wale wapalestina Millioni na nusu wafe kwa njaa? umeona wapi haki ndio hiyo?unafikiri ninavyo kopi na ku paste nimependezewa na wanavyofanya israil kwa ukatili wa watu wasiokuwa na hatia? Kwa Mfano wewe ( Mwana wa Mungu) nikikufungia kwako ndani wewe na familia yako kisha hakuna Chakula wala hakuna kutoka nje utafurahi wewe unajiita Mwana wa Mungu?

Acha kuzungumza maneno ya Upuuzi Acheni kushindana na mambo ya Udini zungumzeni mambo ya haki hapa Msitie Ushindani wa Dini hapo zungumzeni (Ni kwa jinsi Gani tutawasaidiaje ndugu zetu wa Kipalestina?) hilo ndio swali langu ndio maana napaste na kukopi nataka jibu toka kwenu
 
CART0206.jpg
 
Ndugu yangu usiturudishe nyuma, hapa hakuna cha kushabikia waarabu wala waisrael. KINACHOSHABIKIWA HAPA NI HAKI ZA BINAADAM.

BAADA YA Afrika kusini kupata uhuru wake, kwa leo hii PALESTINA ndio nchi pekee duniani inayoishi chini ya OCUPATION. Hata hilo wewe hulioni. Hivi ni maneno gani yatayokuwezesha kufahamu kuwa katika kipindi cha demokrasia na utandawazi, mwanadamu ana uhuru wa kujichagulia jinsi apendavyo kuishi. Kweli inahitaji kwenda shule ili kufahamu hili?

Hata ukisema hivyo unavyotaka wewe ETI KATIKA KIPINDI AMBAPO WAARABU WALIKUWA WABABE WALITYESA WENZAO. Mjomba nakuonea huruma, kwasababu ukifuata hivyo hakuna nchi duniani leo itakalika. Toka Amerika mpaka Rusia, China mpaka India, Tanzania mpaka Kenya, Saudi Arabia mpaka Itali n.k Soma historia bya Dunia itakusaidia kujibu maswali magumu unayojiuliza.

Natakupa vipande kidogo tu, kuwa Petro wa pili huko Rusia ndio aliyeifanya Rusia kuwa kubwa kiasi hiki, maeneo yote ya Leningrad (ST. Petersburg) Kalenin n.k hayakuwa Rusia huko awali. Hali kama hiyo imeikuta Itali, Ufaransa, Spania n.k. Sasa kwa maelezo yako ni kwamba turudi miaka 600 nyuma na tumuhukumu aliyekuwa mbabe. Kumbuka katika karne ya 10 mpaka 17 ubabe ndio ulikuwa mtindo wa utawala hapa Duniani. Utulivu wa hali unayeiona leo unatokana na hao hao wababe kusema sasa kila mtu aitambue ardhi mwenzio anayeitawala. Na hapa ndipo tulipo.

Hata ukiichora Ramani ya Tanzania mwaka 1800 sio hii iliyokuwa leo. Na ndio maana leo utasikia sana neno Mkubaliano ya Geneva. Hapa ndio akili yako inabidi ianze kufikiri unapojadili kitu chochote kuhusu Mgogoro wa Mashariki ya kati.

Ndugu yangu ammka, amka, amka tujadili mambo bila hisia zetu za chuki.

Post ya hiyo nilio-quote inaongelea specific information, siongelei yaliyoko kwene bichwa lako. Hivi ulipitia darasa kidogo au uliishia tu MADRASA? Watu wanaongelea maharagwe wewe unaleta habari za NGURUWE..douche bag.
 
Post ya hiyo nilio-quote inaongelea specific information, siongelei yaliyoko kwene bichwa lako. Hivi ulipitia darasa kidogo au uliishia tu MADRASA? Watu wanaongelea maharagwe wewe unaleta habari za NGURUWE..douche bag.
Nilizingatia neno lako "UBABE". Na kwa kusema ukweli katika ile hoja yako, hilo neno limetawala HOJA nzima.

Kwa maneno mengine wewe unakubali kuwa wapalestina wafanyiziwa kwa vile nao walifanyizia wenzao. Hapo ndipo niliposimamia mimi, na ilikuwa nia yangu kukutoa wewe huko once and for all.

Vyema, maharage na Nguruwe vyote ni vyakula hivyo sikutoka mbali sana, hata hivyo haihitaji wende shule sana ili uelewe kuwa wapalestina wanakandamizwa au kuwa wako under occupation. Jitahidini kutumia neno shule vizuri.

Jingine, unapoandika hoja yako fikiria sana kwani itasomwa na zaidi ya watu 700, toka wa darasa la 7 mpaka propfesa. Nategemea umenielewa.

Karibu kwenye majadiliano ya MSAADA WA GAZA NA UKANDAMIZAJI WA WAYAHUDI alias WAZAYUNI au KWA wale waumini Ni wana wa MUNGU. Sijui wewe unawaita vipi.
 
Nilizingatia neno lako "UBABE". Na kwa kusema ukweli katika ile hoja yako, hilo neno limetawala HOJA nzima.

Kwa maneno mengine wewe unakubali kuwa wapalestina wafanyiziwa kwa vile nao walifanyizia wenzao. Hapo ndipo niliposimamia mimi, na ilikuwa nia yangu kukutoa wewe huko once and for all.

Vyema, maharage na Nguruwe vyote ni vyakula hivyo sikutoka mbali sana, hata hivyo haihitaji wende shule sana ili uelewe kuwa wapalestina wanakandamizwa au kuwa wako under occupation. Jitahidini kutumia neno shule vizuri.

Jingine, unapoandika hoja yako fikiria sana kwani itasomwa na zaidi ya watu 700, toka wa darasa la 7 mpaka propfesa. Nategemea umenielewa.

Karibu kwenye majadiliano ya MSAADA WA GAZA NA UKANDAMIZAJI WA WAYAHUDI alias WAZAYUNI au KWA wale waumini Ni wana wa MUNGU. Sijui wewe unawaita vipi.

Suala sio ulizangatia nini..SUALA NI KUWA NILIONGELEA NINI? Kama unapojibu post ya mtu lazima ujue anaongelea nini? Usiassociate post zangu na pumba zako. Hio ndio HOJA. Sawasawa?
 
Suala sio ulizangatia nini..SUALA NI KUWA NILIONGELEA NINI? Kama unapojibu post ya mtu lazima ujue anaongelea nini? Usiassociate post zangu na pumba zako. Hio ndio HOJA. Sawasawa?
kama kuna watu wenye mabichwa magumu, kaka wewe umetia fora sana. Yaani bichwa gumu nazi cha mtoto....kaaaazi kwelikweli
 
Back
Top Bottom