Gavana wa Kenya amjibu Rais Magufuli kuhusu kukamata mifugo, asema uongozi wake ni aibu kwa Afrika Mashariki

Kuna Mbunge aliwai sema, Baba Jesiikaa anaongea hovyo... Afungwe break! Aliona mbali.. Na kuna wengine walisema inchi inaendeshwa kama imekatika usukani!

Afadhali kukatika usukani Mkuu, kuna mtu alisema nchi inaongozwa kinyume cha maumbile - au tunaongozwa kinyume cha maumbile sijui!
 
Yani humu JF kuna majuha wanaounga mkono kwamba nchi jirani ziigeuze Tanzania shamba la kuchungia mifugo yao???

Hapana, ila wapo majuha wanaodhani si sawa Wamasai wa Kenya kuvunja sheria kuingia na ng'ombe wao Tanzania, ila ni sawa Wamasai wa Tanzania kuvunja sheria na kuingia na ng'ombe wao Kenya ambako Kenya wamesema hawatalipa kisasi
 
Anachukiwa na Africa yote kwa vitendo vyake vya kinyama hadi kwenye mifugo.kataka kumuuwa lissu na sasa kaamia kwenye wanyama.mtu mbaya sana huyu.


Swissme
We jamaa na wasiwasi na uraia wko na elimu yko pia....bndera ya chama flan fata upepo
 
Nenda kaishi Kenya na hiyo Africa moja yako.

Naishi Kenya siku nyingi tu. Sijutii uamuzi wangu.Karibu uone ustaarabu wa Kenya. Naona propaganda za CCM zimekuvuruga.

Tanzania wameshaanza kuona ni sawa kuongozwa kinyume cha maumbile. Na tatizo jingine ni kwamba sisi Watanzania tunawaogopa sana Wakenya kwa kiingereza chao kizuri zaidi, hivyo tuna hasira na chuki nao sana. Kama mnabisha tuombe TBC wafanye mdahalo wa kiingereza, topic iwe Wachungaji wa Kimasai na suala la kuheshimu mipaka, na wageni rasmi wawe Raisi Magufuli na Uhuru, na watazamaji wa Kenya na Tanzania wachangie mada kwa kiingereza.

Jaribu uone kama hamjasikia I wish I kudu be a Masai cow not to use pasipoti to go to Nairobi
 
Mkuu wala usijisumbue kuwapigia gita mbuzi. Kuna watu humu wana akili hata mbuzi ni afadhali. Watu wameng'ang'ana kusema oooh Wakenya wamezidi, ooh wasitulazimishe, ooh katiba yetu sijui, ooh wamezoea! Hawa wachangiaji mbumbumbu wa historia ya jamii ya Masai katika mpaka wetu na Kenya wanasahau kabisa kwamba Wamasai wa Tanzania wanapitisha ng'ombe wengi tu kwenda Kenya, na hata leo hii kuna ng'ombe kibao wa Wamasai wa Tanzania wako Kenya. Karibu kila comment nayoiona kuhusu kuunga mkono kupigwa manada hawa ng'ombe, ni rahisi sana kuona ukilaza wa mtu aliyei-post.

Ngoja siku wasikie Kenya wametaifisha na kupga mnada ng'ombe 5000 waliovuka toka Tanzania labda ndio wataelewa, na utasikia tena - Kenya wanatuchokoza etc etc.

Ni jambo zuri kwamba Gavana amesema hawatalipa kisasi, maana anajua wakiamua wanaweza kutuumiza kuliko tulivyowaumiza wao. Lakini uzuri ni kwamba, si viongozi wote wana akili na kufikiri kama Magufuli.

Ndugu yangu Synthesizer(I prefer to call you ndugu(brother) kama neno ambalo Baba wa Taifa alituachia kuonyesha udugu na mshikamano wa Watanzania ambao JPM kwa maksudi ameamua kuusambaratisha)tuko pamoja.

Naungana na wewe kwa 100pC na ninachokiona hapa ni chuki za Magufuli kwa Waamasai kwa vile tu Edward Ngoyayi Lowassa ni Mmasaai ambaye ni tishio kwa utawala wa JPM...!!!

Sasa huyu JPM akiendelea na chuki zake hizi ajue kabisa anavunja udugu na mshikamano wa Watanzania lakini pia anavunja mshikamano na udugu wa Wana Afrika Mashariki. Katika Imani za Mwanachama wa CCM(TANU) moja inasema wazi kabisa
kwamba,''WAAFRIKA WOTE NI NDUGU ZANGU NA AFRIKA NI MOJA''. Sina hakika kama JPM huwa anasoma Katiba ya Chama achilia mbali Katiba ya nchi ambayo kila kukicha tunashuhudia akiivunja kwa mikono yake miwili....!!

Ni hatari sana kuwa na Rais kabila hii tusipoangalia huko mbele huyu jamaa anaweza akachochea vita kama vya nduli Idd Amin Dada(rip). Tusubiri muda ni msema ukweli....!
 
Tatizo Watanzania wanawaogopa sana Wakenya kwa kiingereza chao kizuri zaidi, hivyo wana hasira nao sana. Kama mnabisha tuombe TBC wafanye mdahalo wa kiingereza, topic iwe Wachungaji wa Kimasai na suala la kuheshimu mipaka, na wageni rasmi wawe Raisi Magufuli na Uhuru, na watazamaji wa Kenya na Tanzania wachangie mada kwa kiingereza.

Jaribu uone kama hamjasikia I wish I kudu be a Masai cow not to use pasipoti to go to Nairobi

Synthesizer nimecheka sina mbavu mpaka mchozi umenitoka. Yaani hayo maneno ya kijani hapo juu umeyapitia sana kama JPM mwenyewe anavo ongea Kiswa-nglish chake......Tehe..tehe..tehe..kwii..kwikwiiiiiiiiiiiiii!!!! Huyo ndo Presida wa Watz keshamaliza miaka 2 yuko Ikulu hajakanyaga Ulaya, Asia wala Marekani...Tatizo? Lugha gongana!!!
Hatari sana lakini salama.
 
Ndugu yangu Synthesizer(I prefer to call you ndugu(brother) kama neno ambalo Baba wa Taifa alituachia kuonyesha udugu na mshikamano wa Watanzania ambao JPM kwa maksudi ameamua kuusambaratisha)tuko pamoja. Naungana na wewe kwa 100pC na ninachokiona hapa ni chuki za Magufuli kwa Waamasai kwa vile tu Edward Ngoyayi Lowassa ni Mmasaai ambaye ni tishio kwa utawala wa JPM...!!!

Sasa huyu JPM akiendelea na chuki zake hizi ajue kabisa anavunja udugu na mshikamano wa Watanzania lakini pia anavunja mshikamano na udugu wa Wana Afrika Mashariki. Katika Imani za Mwanachama wa CCM(TANU) moja inasema wazi kabisa kwamba,''WAAFRIKA WOTE NI NDUGU ZANGU NA AFRIKA NI MOJA''. Sina hakika kama JPM huwa anasoma Katiba ya Chama achilia mbali Katiba ya nchi ambayo kila kukicha tunashuhudia akiivunja kwa mikono yake miwili....!!
Ni hatari sana kuwa na Rais kabila hii tusipoangalia huko mbele huyu jamaa anaweza akachochea vita kama vya nduli Idd Amin Dada(rip). Tusubiri muda ni msema ukweli....!

Mkuu umewaza kitu ambacho nilikifikiria sana niliposikia ng'ombe wa Kenya wamepigwa mnada. Nilijua hawa ni ng'ombe wa Masai, na najua Wamasai ni worrier tribe na nikawaza, hivi hawa Wamasai wakiamua kulipiza kisasi na kuwashambulia hadi kuwaua maofisa wa Tanzania kwa sime na mikuki itakuwaje?

Nikaona kwamba ikiwa Wamasai wa Kenya wakifanya hivyo na kukimbilia tena Kenya, huenda askari wetu - kwa sababu mara nyingi wanafanya mambo bila kutumia akili - wanaweza kuwafuatilia hadi ndani ya mipaka ya Kenya. Sasa katika sheria za kimataifa, askari kungia ndani ya nchi nyingine akiwa na silaha ni uvamizi wa kijeshi. Nikaona askari wa Kenya kwa hasira watawalinda Wamasai wao, au hata kujibu kijeshi dhidi ya askari wa Tanzania walioingia Kenya, kitu ambacho kinaweza kika-esclate tatizo hadi kujibizana kwa risasi kwa majeshi yetu kukatokea.

Unaona jinsi ambavyo kitu kidogo kinaweza kufanya kuwe na tatizo kubwa sana?

Lakini mkiongozwa na watu ambao hawawezi kuona mbali zaidi ya mwisho wa pua zao, basi hawatafikiria mbali kiasi hicho. Wanachoona ni ng'ombe wa Kenya ambao wakipigwa fine tunaweza kupata fedha za kununua Bombardier!
 
yaani Magu hadi miaka 10 iishe tumejuta
And why miaka 10? Why not five? Ikibidi CCM iendeleee, basi hakuna kitu ninachotamani kama CCM angalau kuwa na akili ya kuona Kassim Majaliwa ni super capable and wise leader zaidi sana ya Magufuli na anapaswa awe ndio Raisi wa nchi hii baada ya miaka mitano ya Magufuli.
 
Vita ya uchumi mbaya sana...hadi asiyehusika anataka aingie apigane!!!

Km kipindi cha nyuma walikuwa na desturi ya kufuga mifugo malisho kwa Jirani, basi wakubali mabadiliko haya ya sasa...kwamba kila mmoja alinde mpaka ili mifugo isivuke tena kwa Jirani. Tz watumie sheria zao pale wanapokamata mifugo ya Jirani, pia Jirani atumie sheria yake kwa mifugo aliyoishika toka Tz....kutakuwa hakuna dhambi wala marumbano wala kupangiana nini cha kufanya pale mfugo unaposhikwa!!!

Migogoro ya ufugaji ni mingi, kila nchi ijitathmini ufugaji wa mifugo, usifuge mingi ili uchungie kwa Jirani....control wananchi wako wasifuge kuzidi marisho yanayopatikana wala hakuna kutegemea kwenda kulisha kwa Jirani.

Mkenya acha kabisa tabia ya kutusemea watanzania kwamba kiongozi wetu kafanyaje sijui...zungumzia sheria za mifugo za hukohuko. Au nendeni mezani na waTZ mzungumze hayo maaibu yenu !!!
 
And why miaka 10? Why not five? Ikibidi CCM iendeleee, basi hakuna kitu ninachotamani kama CCM angalau kuwa na akili ya kuona Kassim Majaliwa ni super capable and wise leader zaidi sana ya Magufuli na anapaswa awe ndio Raisi wa nchi hii baada ya miaka mitano ya Magufuli.

Synthsizer, I'm not a CCM hooligan but I concur with you!!
That if Kassim Majaliwa could've been a presida of this country,somehow Tanzanians could have at least a peace of mind....!!
 
tuzingatie ufugaji ulio bora,America wanaongoza kuzalisha nyama lakini hawafugi hoehahe,tushilikiane kwa kuheshimu sheria,
 
Wakenya ni wazungu weusi ukichekacheka nao sana wanakutawala kushinda hata wazungu wenyewe.Walitawala sana Arusha miaka yote mpaka Magufuli kawashtukia sasa hivi wanatawala South Sudan.
 
Back
Top Bottom