Gavana wa Kenya amjibu Rais Magufuli kuhusu kukamata mifugo, asema uongozi wake ni aibu kwa Afrika Mashariki

Gavana wa Kaunti ya Kajiado Joseph Ole Lenku amekosoa kauli ya Rais Magufuli kuwa Tanzania sio shamba la kufugia mifugo.

Ameelezea jamii ya Wamasai upande wa Kenya na Tanzania wamekuwa na uhusiano mwema na kuwa kama kaka na dada na wamekuwa wakisaidiana kwa miaka mingi

Amesema kuna ng'ombe wengi kutokaTanzania wapo Kenya na uongozi wake umekua aibu sana kwa Afrika Mashariki kwa sababu ushirikiano uliokuwepo umeleta manufaa kwa pande zote mbili na kutumia mabavu kukamata mifugo imewaumiza watanzania na ni vyema ajue hilo

Ameongeza kujifanya unakuja na kifua mbele hakuna mahali atapeleka kifua mbele na umasikini wake ila hawatalipiza kwa Wamasai wa Tanzania waliopo Kenya kwa kuwa sio kosa lao



Yaani kwa IQ yako ni ya chini sana.Yaani umeona matamshi ya huyo governor uchwara ni ya maana,eh...!Ovyo sana.Anyway,atakuja kuomba msamaha huyo,tena very soon,wewe subiri.Viongozi wengine wa Kenya wamekuwa too loose,wanatamka mambo ambayo hayafai halafu baadae wanakuja kuomba msamaha na kujutia matendo yao.Magufuli ni aibu kwa Afrika kweli, wakati ni mfano wa kuigwa!Africa ya Kusini wenyewe wamegwaya kwa utendaji wake na wananchi wa Kenya huko huko kwa huyo governor uchwara,Burundi na Uganda wanatamani Magufuli awe Rais wao! Infact wananchi wa Kenya na Uganda wao wameenda mbali zaidi,wametamani Magufuli awe Rais wao kwa angalau wiki moja tu ili awanyooshea mambo.

Mwisho,uzi wako hauna nia njema hata kidogo,una nia ya kumfanya Rais aonekane hafai,you won't succeed,we like him.
 
Back
Top Bottom