ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,052
- 6,197
Unauliza majibu?Kwa hiyo unataka kuniambia kuwa LUSEKELO Magufuli alikurupuka?
Unauliza majibu?Kwa hiyo unataka kuniambia kuwa LUSEKELO Magufuli alikurupuka?
pigia mstariiiKwa hiyo unataka kuniambia kuwa LUSEKELO Magufuli alikurupuka?
Siyo mbobezi wa mambo ya bank. Ni mbobezi wa mambo ya uchumi. Hivi nyie vilaza wa ukawa mbona hamuelewi mambo? Kuna tofauti kati ya bachelor ya economics na bachelor ya finance and banking. Sasa ndulu amesoma economics tu na kwenye economics wanasima public finance siyo corpirate finance ambayo ndo ngumu sana kuliko public finance
Bavicha kwa uongo hawajambo
Cha ajabu ni kwamba, ndio unaendelea kujengwa huku ukibomolewa kila kukichaMnara wa babeli huu naona hautafika mwisho
Bavicha kwa uongo hawajambo
Umezoea kulala mlango ukiwa wazi ..hatukushangaiBavicha ni mawakala wa mafisadi
Aisee kuna watu humu they never attended even a single business classDu ndg yangu, yaani wewe hujui kuwa zinapowekwa FD kwenye benki hazifungiwi kwenye makabati Bali zinatumika kuwakopesha wanananchi na viwanda wanaokuja kukopa.
acha uvivu hivyo ni visubtopic kwenye kozi, je sie tuliosoma mambo magumu tutasemaje???Siyo mbobezi wa mambo ya bank. Ni mbobezi wa mambo ya uchumi. Hivi nyie vilaza wa ukawa mbona hamuelewi mambo? Kuna tofauti kati ya bachelor ya economics na bachelor ya finance and banking. Sasa ndulu amesoma economics tu na kwenye economics wanasima public finance siyo corpirate finance ambayo ndo ngumu sana kuliko public finance
Duh hakika tuna Safari ndefu km kuna watu wenye akili mbovu km huyu, nyie ndio hushangilia kila kitu na kupiga makofi hata kwa ambacho hamjakisikia vizuri au kukielewa. Huyu anajua hela ikiwekwa fixed account inakaa tu isubiri kutolewa wala haizungushi ili kupata hizo interestBwana huyu jamaa sijuii anaongea vitu gani maana hela zimewekwa fixed alafu anasema zinaongeza mzunguko jaman jaman muachen rais bhana ajakosea hata kidogo hapo kati ya huyo gavana na raisi gavana ndio anafanya pesa isitufikie huku
Tatizo lumumba mmezoea movie za mkulu sana ...hamtaki kusikia ukweli kutoka kwa wachumiHuyu ndulu anatuyumbisha sana,sikuzote huwa anajibu majibu mepesi bila kuangalia athali za anachojibu
Bwana ndulu Fedha za Mradi zikiwekwa Fixed Account mzunguko wa fedha unahusikia vip maana hapo mimi navyojua hela zikiwa fixed hazitoki baada ya muda kazaa sasa huo muda tutazipata vip hizo fedha zituzungukie?
Mwenzio kaandika reverse ili kumkwepa mwenye ndotophobiambona kama huyu ndio kaingizwa cha kike mazima mazima
Hiyo sentensi ya mwisho najiuliza vipi ni wewe umeandika au???
Zingekuwa hazitoki Kama unavyodhani kuwa ndio maana yake pia ungejiuliza hiyo Interest unayolipwa baada ya Muda huwa inatoka wapi?
Wee utakuwa Classmate wa JPM kwny darasa la Uchumi maana mnafanana
Unautaraji ukweli UPI?Tatizo lumumba mmezoea movie za mkulu sana ...hamtaki kusikia ukweli kutoka kwa wachumi