"Gas Station + Mosque/Church" is it advised?

Mkaa Mweupe

JF-Expert Member
Jun 29, 2007
654
183
Kuna hali inayoendelea hivi sasa katika baadhi ya vituo vya kujazia mafuta kwenda sambamba na huduma za ki-Imani.

Katika uchunguzi binafsi, imebainika kuwa katika vituo vingi vinavyomilikiwa na Oilcom vimeambatanishwa na Misikiti kama sehemu ya kituo. Hii inajidhihirisha katika orodha hii:
1. Oilcom Ubungo: Msikiti upo kwenye hatua za mwisho.
2. Oilcom Mandela Rd: Msikiti umekamilika na unatumika.
3. Oilcom TAZARA Vetenary: Msikiti upo na unatumika.

Vilevile katika kituo cha Victoria, Ali Hassan Mwinyi Rd., kimeambatanishwa na Kanisa ambapo kwa siku za J'pili hupati huduma mpaka baada ya saa saba mchana.

Hii ni biashara Huria, lakini napenda kutoa angalizo. Tunakoelekea ni katika kubaguana ki-huduma kama tutaendelea kuendekeza uvunjifu wa mipango miji.

Sidhani kama ni sahihi kuambatanisha mambo ya Imani na Biashara. Kwani ni hatari sana endapo pale kituo kitashika moto na watu kwa makumi au mamia wapo pale kusikiliza neno la Mungu. Tuzingatie Usalama Kwanza.

Wapi EWURA, Wizara ya Ardhi, Manispaa, NEMC na Wananchi katika kutokomeza uoza huu ulioanza kwa kasi?

LETS BE SERIOUS japo kwa hili tusingojee mpaka tuambiwe "KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI"
 
Kuna hali inayoendelea hivi sasa katika baadhi ya vituo vya kujazia mafuta kwenda sambamba na huduma za ki-Imani.

Katika uchunguzi binafsi, imebainika kuwa katika vituo vingi vinavyomilikiwa na Oilcom vimeambatanishwa na Misikiti kama sehemu ya kituo. Hii inajidhihirisha katika orodha hii:
1. Oilcom Ubungo: Msikiti upo kwenye hatua za mwisho.
2. Oilcom Mandela Rd: Msikiti umekamilika na unatumika.
3. Oilcom TAZARA Vetenary: Msikiti upo na unatumika.

Vilevile katika kituo cha Victoria, Ali Hassan Mwinyi Rd., kimeambatanishwa na Kanisa ambapo kwa siku za J'pili hupati huduma mpaka baada ya saa saba mchana.

Hii ni biashara Huria, lakini napenda kutoa angalizo. Tunakoelekea ni katika kubaguana ki-huduma kama tutaendelea kuendekeza uvunjifu wa mipango miji.

Sidhani kama ni sahihi kuambatanisha mambo ya Imani na Biashara. Kwani ni hatari sana endapo pale kituo kitashika moto na watu kwa makumi au mamia wapo pale kusikiliza neno la Mungu. Tuzingatie Usalama Kwanza.

Wapi EWURA, Wizara ya Ardhi, Manispaa, NEMC na Wananchi katika kutokomeza uoza huu ulioanza kwa kasi?

LETS BE SERIOUS japo kwa hili tusingojee mpaka tuambiwe "KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI"
kanisa la pale victoria, ni ukumbi tu unakodishwa, si jengo la kanisa. wamekodisha tu ukumbi..si sawa kabisa na parmanent msikiti unaojengwa oilcom....that means, pale victoria, wakati wowote pale victoria jamaa anaweza akasema basi. hii ndo sababu ukienda zanzibar wakati wa ramadhan, saa saba hakuna maduka yanafunguliwa, na hakuna kuuza chakula (hata kama kuna watu ambao hawafungi, ni wakristo na ni wazanzibari).
 
kanisa la pale victoria, ni ukumbi tu unakodishwa, si jengo la kanisa. wamekodisha tu ukumbi..si sawa kabisa na parmanent msikiti unaojengwa oilcom....that means, pale victoria, wakati wowote pale victoria jamaa anaweza akasema basi. hii ndo sababu ukienda zanzibar wakati wa ramadhan, saa saba hakuna maduka yanafunguliwa, na hakuna kuuza chakula (hata kama kuna watu ambao hawafungi, ni wakristo na ni wazanzibari).
sasa kama watu wanakodisha jengo tu kwa nini huduma za kuuza mafuta zisimamishwe mpka watu watoke kanisani?
 
hakuna huduma zinazosimamishwa pale victoria, na hiyo kwanza ni issue moja tu. pale huduma huwa hazisimamishwi kwasababu yule jamaa siyo mlokole..
 
Mi inanikera mno, naona umetaja vichache, ukiwa kwenye njia kuelekea Iringa, kila kituo nyuma yake ni msikiti! Mkwere ndiye anaye chocheaissue hizo.
 
"KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI" Umnenichekesha sana hapo mkuu....
 
Kuna hali inayoendelea hivi sasa katika baadhi ya vituo vya kujazia mafuta kwenda sambamba na huduma za ki-Imani.

Katika uchunguzi binafsi, imebainika kuwa katika vituo vingi vinavyomilikiwa na Oilcom vimeambatanishwa na Misikiti kama sehemu ya kituo. Hii inajidhihirisha katika orodha hii:
1. Oilcom Ubungo: Msikiti upo kwenye hatua za mwisho.
2. Oilcom Mandela Rd: Msikiti umekamilika na unatumika.
3. Oilcom TAZARA Vetenary: Msikiti upo na unatumika.

Vilevile katika kituo cha Victoria, Ali Hassan Mwinyi Rd., kimeambatanishwa na Kanisa ambapo kwa siku za J'pili hupati huduma mpaka baada ya saa saba mchana.

Hii ni biashara Huria, lakini napenda kutoa angalizo. Tunakoelekea ni katika kubaguana ki-huduma kama tutaendelea kuendekeza uvunjifu wa mipango miji.

Sidhani kama ni sahihi kuambatanisha mambo ya Imani na Biashara. Kwani ni hatari sana endapo pale kituo kitashika moto na watu kwa makumi au mamia wapo pale kusikiliza neno la Mungu. Tuzingatie Usalama Kwanza.

Wapi EWURA, Wizara ya Ardhi, Manispaa, NEMC na Wananchi katika kutokomeza uoza huu ulioanza kwa kasi?

LETS BE SERIOUS japo kwa hili tusingojee mpaka tuambiwe "KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI"
Mi sajaelewa..............SUALA NI JENGO LA DINI KUWA KARIBU NA KTUO CHA MAFUTA AU KUNA VITUO VYA MAFUTA NI VYA KIDINI.............???
 
Back
Top Bottom