kikiboxer
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 3,065
- 8,126
Raum ukikosa nenda kwa IST.Chaguo lipi litakuwa zuri zaid kwa maoni yako kiongozi
Raum ukikosa nenda kwa IST.Chaguo lipi litakuwa zuri zaid kwa maoni yako kiongozi
Asante kwa ushauri ngoja niziwinde sokoniRaum ukikosa nenda kwa IST.
Kwa hiyo budget nakushauri utafute Suzuki Swift ile old model; utapata kali sana almost new - namaanisha haijachoka. Fuel efficiency 1300cc-1320cc) ni gari nzuri na imara sana na ndani ina viti vizuri/confortable; na uanaweza kubakiwa chenchiSalaam wakuu,
Naombeni ushauri ninune gari gani kwa milioni 6. Nahitaji gari yenye fuel efficiency nzuri, space ya kutosha hasa mbele (mimi mrefu) pamoja na upatatikanaji spare.
Nitashukuru pia kama mtapendekeza kwa gharama hiyo napata namba ipi?
NB: Hii ni ya kununua kwa mtu.
Nimeona mkuu.shukran japo naona kama ground clearence yake ndogo vileKwa hiyo budget nakushauri utafute Suzuki Swift ile old model; utapata kali sana almost new - namaanisha haijachoka. Fuel efficiency 1300cc-1320cc) ni gari nzuri na imara sana na ndani ina viti vizuri/confortable; na uanaweza kubakiwa chenchi
Hizi ulizotajiwa; Runx/Allex, IST, Raum, sio rahisi kupata nzuri kwa bei hiyo, hivyo ukipata inaweza isiwe nzima
Na hizi hapa ndio usijaribu: Brevis, Mark X, Mark 2, Cresta, Altezza, Opa etc huwezi kupata nzuri kwa bei hiyo lakini pia zina engine kubwa hivyo SIO fuel efficiency
We jamaa hata horn yake hainunui hyo😁😁😁Chukua escalade
Ni kweli japo old model ipo juu kidogo kuliko new modelNimeona mkuu.shukran japo naona kama ground clearence yake ndogo vile
Shukran kwa ushauri mzuri.Ngoja nianze kukawinda kwa madalaliNi kweli japo old model ipo juu kidogo kuliko new model
Kwa gari ndogo chache sana zina ground clearance kubwa; naweza tu kupendekeza; Suzuki Jimny au Suzuki Jimny Sierra nafikiri itakufaa kwani ni gari nzuri na yenye ground Clearance kubwa na imara ila ni 3doors. Mengi ya magari yenye Ground clearance nzuri ni kuanzia cc 1800 kwenda juu
Uongo.Ni kweli japo old model ipo juu kidogo kuliko new model
Kwa gari ndogo chache sana zina ground clearance kubwa; naweza tu kupendekeza; Suzuki Jimny au Suzuki Jimny Sierra nafikiri itakufaa kwani ni gari nzuri na yenye ground Clearance kubwa na imara ila ni 3doors. Mengi ya magari yenye Ground clearance nzuri ni kuanzia cc 1800 kwenda juu
Ukinunua IST utajiona mjanja umebana matumizi ya mafuta, Ila baada ya wiki mbili akili ikitulia baada ya wenge la kumiliki Gari,
utaanza kuona aibu hicho kiIST watu watadhani Ni Uber traffic nao watakusumbua balaahhh. Shep yenyewe Kama mtoto wa kiti Moto.
Tafuta Mark II speak kibao, Vimba nayo IST Gari ya kinyonge Sana Ipotezee.
Shukran kwa ushauri mzuri.Ngoja nianze kukawinda kwa madalaliNi kweli japo old model ipo juu kidogo kuliko new model
Kwa gari ndogo chache sana zina ground clearance kubwa; naweza tu kupendekeza; Suzuki Jimny au Suzuki Jimny Sierra nafikiri itakufaa kwani ni gari nzuri na yenye ground Clearance kubwa na imara ila ni 3doors. Mengi ya magari yenye Ground clearance nzuri ni kuanzia cc 1800 kwenda juu
Ist inapakwa balaa lakin utafanyaje sasa ndio ya wanyonge hyo😁
Hapo kwenye matraffic kusumbua
Du kwa hyo haiwezekani kupata iliyo kwenye ali nzurikwa bajeti ya 6M utapata ist mbovu, ila utapata alteza nzima utajuta, utapa raum mbovu, utapata brevis na mark x nzima ila utajuta api ni kuchuku vitz new model tens namba C au D ya mwanzon kwa ist utapata bomu,
Ninayo kubwa Ka uwanja wa Mpira Ila fuel consumption si nzuri ndo bado nafanyia kaziSalaam wakuu,
Naombeni ushauri ninune gari gani kwa milioni 6. Nahitaji gari yenye fuel efficiency nzuri, space ya kutosha hasa mbele (mimi mrefu) pamoja na upatatikanaji spare.
Nitashukuru pia kama mtapendekeza kwa gharama hiyo napata namba ipi?
NB: Hii ni ya kununua kwa mtu.
Du kwa hyo haiwezekani kupata iliyo kwenye ali nzuri
Dah! Umeua mkuuUkinunua IST utajiona mjanja umebana matumizi ya mafuta, Ila baada ya wiki mbili akili ikitulia baada ya wenge la kumiliki Gari,
utaanza kuona aibu hicho kiIST watu watadhani Ni Uber traffic nao watakusumbua balaahhh. Shep yenyewe Kama mtoto wa kiti Moto.
Tafuta Mark II speak kibao, Vimba nayo IST Gari ya kinyonge Sana Ipotezee.
Yaani wewe inaonesha kabisa hujui hata unachokisema au pengine niseme, siku ukikua ukafika kidato cha nne utajua ulichemsha kupost hivyo;Ukinunua IST utajiona mjanja umebana matumizi ya mafuta, Ila baada ya wiki mbili akili ikitulia baada ya wenge la kumiliki Gari,
utaanza kuona aibu hicho kiIST watu watadhani Ni Uber traffic nao watakusumbua balaahhh. Shep yenyewe Kama mtoto wa kiti Moto.
Tafuta Mark II Vimba nayo spea kibao. IuST Gari ya kinyonge Sana Ipotezee.
Wapi?Tafuta Nissan x-trail ipo vizuri, na kwa bajeti yako hiyo Used unapata vizuri tu, tena iliyopo kwenye hali nzuri kabisa.