Gari nzuri ya kununua kwa Tsh 6,000,000

Asante mkuu.ila kuna tetesi kuwa hizi new model zinasumbuaga sana gear boksi.Vipi kwa uzoefu wako?

Mkuu unaonekana umeshafanya utafiti wa kila aina ya gari na matatizo yake. Ukiendelea hivi hautakuja kununua gari maana hamna ambayo haina matatizo 😂😂😂😂

Pia mi nakushauri usisikilize saana maoni ya watu humu. We ingia mtaani, tafuta gari utakayoipenda wewe, ikague vizuri (unaweza kwenda na fundi unaemuamini), bargain bei, nunua. Hapa kila mtu anakushauri gari anayoipenda/miliki yeye, ambayo huenda wewe isikufae. Siku izi kila gari inatengenezeka na ina spea mkuu usiwe muoga sana..
 
Mkuu unaonekana umeshafanya utafiti wa kila aina ya gari na matatizo yake. Ukiendelea hivi hautakuja kununua gari maana hamna ambayo haina matatizo 😂😂😂😂

Pia mi nakushauri usisikilize saana maoni ya watu humu. We ingia mtaani, tafuta gari utakayoipenda wewe, ikague vizuri (unaweza kwenda na fundi unaemuamini), bargain bei, nunua. Hapa kila mtu anakushauri gari anayoipenda/miliki yeye, ambayo huenda wewe isikufae. Siku izi kila gari inatengenezeka na ina spea mkuu usiwe muoga sana..
Asante mkuu kwa ushauri.nitazingatia Hili pia
 
Ipo ist nzuri bosss, funcargo , au raum
IMG-20210702-WA0058.jpg
 
Go for IST tu! Ni gari zuri, ila ungeweza ongeza at least 7m or 7.5 ungepata IST safi; nenda taratibu tu usiwe na haraka utapata gari zuri! Budget ni nzuri ukitulia!
Pamoja Sana mkuu.Nitazingatia Hili pia.
Japo ku boost budget n changamoto itahitaji miez mi 3 mbele.
 
Magari mengi Sana mtandaoni yanatangazwa na madalali, madalali wengi hawana contacts za wenye magari, watakuzunguusha tu. Kama uko serious hakikisha unahangaika na Yale magari yanayotangazwa na wenye magari au nenda yard wanakouza magari yaliyotumika tz. Forget about shit madalali mikundu wazi. Wengine hata details za gari hawajui.
Shit dalalis.
 
Magari mengi Sana mtandaoni yanatangazwa na madalali, madalali wengi hawana contacts za wenye magari, watakuzunguusha tu. Kama uko serious hakikisha unahangaika na Yale magari yanayotangazwa na wenye magari au nenda yard wanakouza magari yaliyotumika tz. Forget about shit madalali mikundu wazi. Wengine hata details za gari hawajui.
Shit dalalis.
Ndugu mbona matusi hivi
 
Magari mengi Sana mtandaoni yanatangazwa na madalali, madalali wengi hawana contacts za wenye magari, watakuzunguusha tu. Kama uko serious hakikisha unahangaika na Yale magari yanayotangazwa na wenye magari au nenda yard wanakouza magari yaliyotumika tz. Forget about shit madalali mikundu wazi. Wengine hata details za gari hawajui.
Shit dalalis.
Pole sana mkuu
.naona ulibamizwa haswaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom