TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 4,974
- 15,310
Asante mkuu.ila kuna tetesi kuwa hizi new model zinasumbuaga sana gear boksi.Vipi kwa uzoefu wako?
Mkuu unaonekana umeshafanya utafiti wa kila aina ya gari na matatizo yake. Ukiendelea hivi hautakuja kununua gari maana hamna ambayo haina matatizo 😂😂😂😂
Pia mi nakushauri usisikilize saana maoni ya watu humu. We ingia mtaani, tafuta gari utakayoipenda wewe, ikague vizuri (unaweza kwenda na fundi unaemuamini), bargain bei, nunua. Hapa kila mtu anakushauri gari anayoipenda/miliki yeye, ambayo huenda wewe isikufae. Siku izi kila gari inatengenezeka na ina spea mkuu usiwe muoga sana..