Gari ni muhimu sana katika mapenzi

Huo unaitwa "UCHAWI WA MZUNGU?"
 
Kama nishajenga?

Sent using Jamii Forums mobile app
Statement yako hapo juu imeonyesha kama vile kipaumbele chako ni gari kuliko nyumba, maana umesema hata uwe na viwanja vingapi au umejenga nyumba lakn madem hawezi kuviona ila gari tu, ! So hapo nikashindwa kukupata maana hata mtu ukiwa na mjengo wa maana mademu watakuja wenyewe tena bila hata kupiga honi!
 
Bwana Pompooo siku mbili tatu sijaona nyuzi zako. Ulipigwa bani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…