Shamkware
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 1,740
- 2,243
View attachment 1963408
Gari likiopolewa
Duuh aisee watu vipi walikuwemo wangapi
View attachment 1963408
Gari likiopolewa
Wewe na ndugu zako ni viumbe poa kabisa. Bora nikutane na nyie porini kuliko binadamu mwenzangu.hebu fafanua kwanza Kama sikuelewi vile yaani unatusema humu hatuna madhara Kwa binadamu?
Hutujui wewe!
Siendi huko kufanya sex kwani nina sehemu nzuri tu ila lazima kukemea tabia za kijima kama hizi. Siyo lazima usubiri yakukute ndiyo ukemee.wewe endelea kuwainamisha,ila ukishikwa utagongwa stick sana japo uliishasahau.
fimbo ni kwa wapumbavu peke yake.
Na taa ya kijani ikiwaka ni kosa kubwa mno kuahirisha "kuvuka".Unaweza kuja tafuta huo wasaa na usiupate tena abadan asilaniSasa hapo dem ashaelekea mfukoni Huna hela ya hotel wala gesti hpo itabd lazima ummalize tu
Ova
Pale kati patamu patamu! tamu!.It's like you're speaking from experience eeh! Wewe huwa unanyanduana ukiwa umeweka handbrake?
Kifo kikiwa kinakuita unaweza kufanya kitu ambacho kila mtu atabaki anashangaa.S
Sijui ni uvivu wa kutembea, kwani ukipaki huku nyuma kuna shida gani? Au watu watakuwa hawajaona Kama mmekuja na gari?
Nimeumia sana.
Okoa inaweza kutumika katika mitazamo/maana mbili. Ya kwanza ndio hiyo uliyosema ya kuokoa uhai wa mtu (au mnyama), lakini ya pili ni kuokoa kitu kisipotee. Kwa hiyo unaweza kuokoa maiti isipotee kwenye maji, mafuriko, nk.Hivi unaweza kusema "mmoja ameokolewa... amepelekwa mochwari ameshafariki".?
Kuokoa maana yake si ni kufanya kitu au mtu aendelee kuishi? Sasa unawezaje kuokoa maiti?
You go and try with your babe, am i?🤔lets try this.😜😜
Kilichofanya mtukimbie Nini mbona hapo mwanzo tuliishi poa tu huku porini mlitutenga Kwa kujiona nyie ni wenye utashi na akili mingi sisi tulijua tu Kwa ubinafsi wenu na ujuaji mtaiharibu Dunia!Wewe na ndugu zako ni viumbe poa kabisa. Bora nikutane na nyie porini kuliko binadamu mwenzangu. Kwa taarifa yako huko mjini kuna binadamu wanaoitwa ''viongozi wa serikali''. Ni hatari sana hawa binadamu wenzetu.
A one day stand can be much cool. Can we try?You go and try with your babe, am i?🤔
Maiti inaopolewa.Hivi unaweza kusema "mmoja ameokolewa... amepelekwa mochwari ameshafariki".?
Kuokoa maana yake si ni kufanya kitu au mtu aendelee kuishi? Sasa unawezaje kuokoa maiti?
Ndiyo maana mnasahau! Hand brake ni nzuri. Hata ikiwa loose ni rahisi ku-note na kuirekebishaWengine ni button tu unagusa just a soft touch inaengage au disengage.
Chatu ana ka kei kadogo si utamchana na pipe 😀😀😀Chatu na yeye akija namgegeda
😬😬😬Chatu ana ka kei kadogo si utamchana na pipe 😀😀😀
eeh! hapo utatafutwa upewe kesi ya kugeda hadi kuua chatu, mkuu wangu 😀😀
F.ala wewe 😃eeh! hapo utatafutwa upewe kesi ya kugeda hadi kuua chatu, mkuu wangu 😀😀
😁😁😁 kesi yake hata mawakili wasomi huchomoiF.ala wewe 😃