Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 612
Kuna habari kwamba, gari la Zitto Kabwe,limepata ajali baada ya watu wanaodhaniwa kuwa walikua na malengo ya kulipora kugonga nyumba moja huko wilayani Temeke. Gari hilo kwa sasa liko kituo cha polisi, Chang'ombe... Kama kuna mwenye taarifa za ziada atuwekee humu ama kama kuna mtu ambaye ameweka taarifa hizi katika thread ambayo sijaiona naomba anisaidie kuhamisha maana tukio hili linaelezwa kutokea kati ya usiku wa kuamkia leo na leo asubuhi kwa hiyo upo uwezekano wa ama kuwa tayari limeripotiwa ama kuwapo taarifa mpya