Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,045
Sema wachina wameadvance sana wanacopy baadae wanatoa vitu hatarimbona hajaacha? mate na P series zinatoka, even nova 9 imezinduliwa wiki hii ulaya
Sema wachina wameadvance sana wanacopy baadae wanatoa vitu hatarimbona hajaacha? mate na P series zinatoka, even nova 9 imezinduliwa wiki hii ulaya
Tatizo kubwa la wachina hawana patents, wakitoka tu hapo China wanakutana na wenye Tech zao ndio maana wengi wanakimbilia Africa ama Nchi za kwao huko.Sema wachina wameadvance sana wanacopy baadae wanatoa vitu hatari
Chief hivi unaongeleaje Tula Mic?Tatizo kubwa la wachina hawana patents, wakitoka tu hapo China wanakutana na wenye Tech zao ndio maana wengi wanakimbilia Africa ama Nchi za kwao huko.
Tatizo kubwa la wachina hawana patents, wakitoka tu hapo China wanakutana na wenye Tech zao ndio maana wengi wanakimbilia Africa ama Nchi za kwao huko.
Bongo hatuna nafuu yoyote waulize wanyarwanda ni zaidi ya kitongaNimesoma hiyo article, kumbe bongo tuna unafuu sana jamaa anasema “One of its cheapest saloon models costs about $20,000 new.”
Ethiopia Magari ni Mapya tu hawaentartain uingizaji wa Magari Used. Ethiopia hata nguo huwezi kuta wanavaa midosho na famba za Kichina. Kwenye suala la controls za ubora wamekwenda mbali sanaaEthiopia vitz tu ama vigari vidogo vidogo vinaweza fika milioni 40, hivyo inabidi wanunue gari za Kichina zinazotengenezwa ndani, ambazo nyingi hazidumu na sio nzuri kama Used za kijapan
Why are cars so expensive in Ethiopia?
Owning a car for many Ethiopians - even those with ready cash to spend in one of the world's fastest-growing economies - remains a pipe dream, writes Emmanuel Igunza.www.bbc.com
Usijidanganye kwamba Gari za Japan ni nafuu. Shida tunanunua Magari used. Nenda kaulize Bei ya Rav 4 latest Model au Toyota Corolla ndio utajua hujuigari nafuu tayari japan aliishatuweza.
tena sio nafuu tu ila zinafaa sana.
Kwamba kukataa mtumba wa maana na kuruhusu vimeo vya kichina ni kucontrol ubora? Sababu hayo magari mapya kumbuka ni ya kichina yasiyo na ubora.Ethiopia Magari ni Mapya tu hawaentartain uingizaji wa Magari Used. Ethiopia hata nguo huwezi kuta wanavaa midosho na famba za Kichina. Kwenye suala la controls za ubora wamekwenda mbali sanaa
Hapana...siyo Magari yote ya Kichina ni Vimeo Mkuu, China ukienda miji ya Mikubwa Taxi tu ni German Cars tupu kina Audi, Vw etc sema ni zile zilizokuwa Assembled Kwao. Kwa Ethiopia nakukatalia Magari yao siyo Vimeo..Waethiopia kwenye kipengele hicho wametushinda mnoo. Siyo Magari tuu wao hata vitu vingine hivi sawa ni vya kichina ila wako strict sana kwenye ubora. Sisi hapa Wachina wametushika MasikioKwamba kukataa mtumba wa maana na kuruhusu vimeo vya kichina ni kucontrol ubora? Sababu hayo magari mapya kumbuka ni ya kichina yasiyo na ubora
Hali iyo ya magar kuuzwa Bei KUBWA Ethiopia inasababishwa na nn mkuu?Ethiopia vitz tu ama vigari vidogo vidogo vinaweza fika milioni 40, hivyo inabidi wanunue gari za Kichina zinazotengenezwa ndani, ambazo nyingi hazidumu na sio nzuri kama Used za kijapan
Why are cars so expensive in Ethiopia?
Owning a car for many Ethiopians - even those with ready cash to spend in one of the world's fastest-growing economies - remains a pipe dream, writes Emmanuel Igunza.www.bbc.com
KodiHali iyo ya magar kuuzwa Bei KUBWA Ethiopia inasababishwa na nn mkuu?
Mkuu si maneno yangu ni ya Waethiopia wenyewe, kama mtu ana save milioni 40 kununua ist wakati za kichina zipo za bei rahisi sidhani kama hizo za kichina zina ubora, zingekuwa na ubora wangezigombania hizo.Hapana...siyo Magari yote ya Kichina ni Vimeo Mkuu, China ukienda miji ya Mikubwa Taxi tu ni German Cars tupu kina Audi, Vw etc sema ni zile zilizokuwa Assembled Kwao. Kwa Ethiopia nakukatalia Magari yao siyo Vimeo..Waethiopia kwenye kipengele hicho wametushinda mnoo. Siyo Magari tuu wao hata vitu vingine hivi sawa ni vya kichina ila wako strict sana kwenye ubora. Sisi hapa Wachina wametushika Masikio
Hiyo 40m ni ISt mpya au Used? rMkuu si maneno yangu ni ya Waethiopia wenyewe, kama mtu ana save milioni 40 kununua ist wakati za kichina zipo za bei rahisi sidhani kama hizo za kichina zina ubora, zingekuwa na ubora wangezigombania hizo.
We mwenyewe angalia magari ya Kichina hapa kwetu mostly yanatumika kwenye biashara tu kina yutong na ndugu zake, na biashara mtu anaangalia toka aliponunua hadi linaharibika itamuingizia kiasi gani.
Ila unaponunua kwa matumizi yako mwenyewe unataka kitu kidumu kadri iwezekanavyo, hakuna mtu anayetaka kununua gari ya kutumia miaka 3 iwe nyang'Anyang'a
Used mkuuHiyo 40m ni ISt mpya au Used? r
Ooh ok. Kodi juu sana hao jamaa kwa Used CarsUsed mkuu