Aaahhh! Kumbe ni viti maalum. Sijui alikuwa anaenda kutumbua jibu wPMpiga kura wake ni JPM, Hugo ni Mbunge aliyemteua akawe naibu spika kwa makusudio yake. Hana kura zaidi ya hiyo kuingia bungeni
Wapiga Kura wake!??huyu c yule kati ya wale waliobebwa!!!?Ok kwahiyo alikuwa nyumbani kwao mbeya akiwatembelea wapiga kura wake. Chanzo cha ajali ni nini?
Kiwila ama kiwira ? Aaaaaah ndo maana mmefeli Kiswahili hata mchina kawapita mnabaki kujamba jamba tu!!!
Mkuu huyu hakupigiwa kura hakuchaguliwa kwa strategies,hisani ya uncle Magu.Ok kwahiyo alikuwa nyumbani kwao mbeya akiwatembelea wapiga kura wake. Chanzo cha ajali ni nini?
Teh!Mpiga kura wake ni JPM, Hugo ni Mbunge aliyemteua akawe naibu spika kwa makusudio yake. Hana kura zaidi ya hiyo kuingia bungeni
Mbeya Wilaya ya rungwe ni nyumbani kwao
Sijakuelewa...unaongelea ulaji ..auWe can't afford to have delicacies lost.
Kiwila au kiwira?Ni karibu na kwao huko unyakyusani,wilaya ya Rungwe, mkoa wa Mbeya. Nafafanua tu ilipo kiwila na si habari za ajali
Kwa muonekano wa gari kwenye picha ( kiambatanisho) kama ndio lilimbeba Dr. Tulia, inaonekana Dr. Tulia amepewa nafasi ingine na Mungu. Mungu amemuonya. Sasa atakapokuwa amekalia kile kiti bungeni apunguze unyanyapaa na dharau.Taarifa zinasema kuwa gari la Muheshiwa Naibu Spika limepata ajali maeneo ya kiwila. Mpaka sasa hatujapata habari yeyote kuhusu majeruhi au kifo. Kwa habari kamili tutawajuza kadiri tutakavyokua tunapokea taarifa hizi.
Utaondoka wewe kwanza. You can take that to the bank!