Gari la Naibu Spika lapata ajali

Gari la Naibu Spika lapata ajali

Duu kweli huyu dr Tulia anawaumiza watu, hata kwenye hili nalo mnachangia kwa chuki!?!
Pole Dr Tulia na wote mliokuwemo kwa gari
 
Taarifa zinasema kuwa gari la Muheshiwa Naibu Spika limepata ajali maeneo ya kiwila. Mpaka sasa hatujapata habari yeyote kuhusu majeruhi au kifo. Kwa habari kamili tutawajuza kadiri tutakavyokua tunapokea taarifa hizi.

Dah..huwa sicomment sana lakin hapa imenibid..

Kwanza ni habari yenyewe kuletwa nusunusu na kuwaacha wanakijiji wakijitolea maono yao binafsi..Mimi ningeshauri pindi unapokea taarifa km hizi na ww ufanye utafiti wako binafsi kupata ukweli haikuchukui ata dk mbili..

Naibu Spika Dk. Tulia Ackson Anusurika Kifo Baada Ya Kupata Ajali | MPEKUZI

Niliposikia izo taarifa binafsi niliingia Google na kudadisi ukweli wa mambo ni upi kabla sijawahadaa wanakijij wengine..

Someni mtajua chanzo ni uzembe wa dereva gari dogo kuovertake sehem hatarishi. Maana tayari lawama zilianza kutipwa siko watz tuwe waangalifu basi ata kidogo tuu..dah

Nawasilisha.
 
Dah..huwa sicomment sana lakin hapa imenibid..

Kwanza ni habari yenyewe kuletwa nusunusu na kuwaacha wanakijiji wakijitolea maono yao binafsi..Mimi ningeshauri pindi unapokea taarifa km hizi na ww ufanye utafiti wako binafsi kupata ukweli haikuchukui ata dk mbili..

Naibu Spika Dk. Tulia Ackson Anusurika Kifo Baada Ya Kupata Ajali | MPEKUZI

Niliposikia izo taarifa binafsi niliingia Google na kudadisi ukweli wa mambo ni upi kabla sijawahadaa wanakijij wengine..

Someni mtajua chanzo ni uzembe wa dereva gari dogo kuovertake sehem hatarishi. Maana tayari lawama zilianza kutipwa siko watz tuwe waangalifu basi ata kidogo tuu..dah

Nawasilisha.
Mkuu kuna watu wana hasira za kuukosa Uraisi kwa hiyo usishangae sana
 
Back
Top Bottom