GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,648
- 10,843
Ushauri wako tafadhali!
Linahitajika gari la masafa marefu linalomudu safari za mashambani. Route zake ni kama vile:
1. Mwanza - Arusha
2. Arusha - Njombe
3. Njombe - Mtwara
4. Mtwara - KASULU
5. Kasulu - Mwanza
6. N.k.
Kama nilivyoandika, safari nyingi nibza mashambani, kwa hiyo ni muhimu liwe gari la juu. Double cabin pick up inaweza kuwa bora zaidi lakini si lazima liwe double cabin pick up! Hata
Je! Gari lenye hizo sifa linaweza kupatikana kwa bei isyozidi milioni arobaini na tano?
1. Ni salama kununulia kwa mtu?
2. Milioni arobaini na tano zitatosha kuagiza kutoka Japan au Afrika Kusini?
3. Aina gani hasa linalomudu barabara za mashambani?
Asanteni🙏🙏🙏
Linahitajika gari la masafa marefu linalomudu safari za mashambani. Route zake ni kama vile:
1. Mwanza - Arusha
2. Arusha - Njombe
3. Njombe - Mtwara
4. Mtwara - KASULU
5. Kasulu - Mwanza
6. N.k.
Kama nilivyoandika, safari nyingi nibza mashambani, kwa hiyo ni muhimu liwe gari la juu. Double cabin pick up inaweza kuwa bora zaidi lakini si lazima liwe double cabin pick up! Hata
Je! Gari lenye hizo sifa linaweza kupatikana kwa bei isyozidi milioni arobaini na tano?
1. Ni salama kununulia kwa mtu?
2. Milioni arobaini na tano zitatosha kuagiza kutoka Japan au Afrika Kusini?
3. Aina gani hasa linalomudu barabara za mashambani?
Asanteni🙏🙏🙏