Gari la Lema lashambuliwa na UVCCM - Arusha

Gari la Lema lashambuliwa na UVCCM - Arusha

LEMA nilikutana naye jana pale SAHEEL BBQ, karibu na ST.THOMAS HOSP. tukasalimiana huku mimi nikiwa namchora tu!

Kiukweli alionekana ni Hopeless fellow!

Naona mmeanza kuzinduka baada ya zile bao 4:0! Kichapo cha kesho kitaisindikiza ccm kuzimu
 
DALLAI LAMA , tusubiri matokeo ya serikali za mitaa kwanza!

CHADEMA ikishinda Arusha nakupa laki moja taslimu!

Kwa hizo buku saba za lumumba utakuwa na laki kweli wewe mtumwa wa mafasadi? Ccm hawana pa kutokea arusha! Hata zile 4:0 wakati zinaingia mlikuwa na mayowe kama sasa
 
Last edited by a moderator:
lema kila ianapokaribia uchaguzi lazima afanye kituko kutafuta sympathy ya kura, ameshaona watu wa arusha wanadanganyika kwa mbinu zake, ipo siku atajipiga risasi na kusingizia sisiem ili aonewe huruma, this guy is a disgrace, apuuzwe
 
Kwa hizo buku saba za lumumba utakuwa na laki kweli wewe mtumwa wa mafasadi? Ccm hawana pa kutokea arusha! Hata zile 4:0 wakati zinaingia mlikuwa na mayowe kama sasa
Ya chopa tatu kata tatu mmeyasahau?
 
Sikuwahi kujiuliza ni kwa nini chadema wanachukiwa lakini sasa nawachukia kutoka moyoni mwangu.SKU zenu zinahesabika za kuwasahau katka masikio ya watanzania
 
Lema ni jambazi mkubwa tu. Kama hajaacha,naamini issue hiyo iko kwa style yake ya maisha .

Uchunguzi ufanywe,sio kusema ccm haraka namna hiyo. Huyu bwana sio mwema. Namfahamu kiasi fulani.

Wajinga kama wewe duniani mnapatikana tu Escrowland Republic
 
Tulia mjivuni wa mapesa ya escrow. Wapiga kura tupo Tume tulia kesho ndiyo kesho tutahedhimiana. Tunapiga kura na kuchunga kura .mtaipenda Geneva of afrika
People's. ..........
 
Sikuwahi kujiuliza ni kwa nini chadema wanachukiwa lakini sasa nawachukia kutoka moyoni mwangu.SKU zenu zinahesabika za kuwasahau katka masikio ya watanzania

unatakiwa kumchukia aliyekupa mimba
 
Hata Mabere aliyefungua kesi kupinga escrow isijadiliwe bungeni ni wa ccm!

acha porojo hakuna mabere alikuwa mwanasheria mwenzake wa ccm ambao wanafanya kazi ofisi moja akili za kuambiwa changanya na mumeo
 
lema kila ianapokaribia uchaguzi lazima afanye kituko kutafuta sympathy ya kura, ameshaona watu wa arusha wanadanganyika kwa mbinu zake, ipo siku atajipiga risasi na kusingizia sisiem ili aonewe huruma, this guy is a disgrace, apuuzwe

hatuwezi kukulaumu sana kichwa chako kimejaa matope
 
Back
Top Bottom