Sijui kwanini chini ya Godbless J Lema Arusha imegeuka uwanja wa vita!
Kwasababu ya chuki za wenye dola ambao walipeleka mashambulizi jiji lisikalike....Tafakari na chukua hatua!
Last edited by a moderator:
Sijui kwanini chini ya Godbless J Lema Arusha imegeuka uwanja wa vita!
Sijui kwanini chini ya Godbless J Lema Arusha imegeuka uwanja wa vita!
wewe ndo umetokwa na mbovu kwa hiyo ile uiitoaSijawahi kupewa mimba,,MBNA unapanik mkuu?
Wanaweza kupiga na hata kuua mwili wa Cmndr Lema lakini kamwe hawawezi kuua Ndoto na Itikadi yake! Watahangaika weee lakini hawatashindaaaaaaaa!! Godbless Lema is an Ideology.
mkuu unapoteza muda wako kushindana na huyu mfuHivi Watu wote Arusha ni Wajinga hadi wamchangue Lema kuwa Mbunge???
lema bang na gongo iliyopikwa na dk.slaa inammaliza akili
Lema yule ni jambazi
Ccm italeta vita .
Mkuu watu walikuwa na Imani na LEMA ila baada ya kubaini ulaghai, ufisadi, uhuni wake! kila mtu anamuona wa ajabu!
akinamama wa sokoni pale NMC hawataki hata kumuona, na ndio waliokuwa supporters wake wakuu!
Lema yule ni jambazi
Kwanini usingetumia kichwa kufikiri ili uandike kitu cha kueleweka. Hebu proof read ujikosoe kabla hatujakukosoa mana tutakupopoa mawe