mchukiaufisadi
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 546
- 193
Kweli fedha fedheha,
Katika hali ya kusikitisha na kuogofya, uhai wa mtanzania unachezewa kwa pesa za kifisadi za DG wa PPF Bwana Erio William Mkapa.
Ijumaa ya tarehe 26 August, gari la PPF litumiwalo na DG wa PPF lilimgonga mwenda kwa miguu kwa uzembe wa dereva wake. Baada ya kuua, pesa ilitembezwa kuanzia kwa trafiki mdogo, RTO mpaka RPC wa Morogoro walipata pesa nzuri sana (tshs. 10M)
Polisi wa Morogoro wamelizima hili tatizo bila wahusika kupeleka mahakamani ili sheria ifuate mkondo wake. DG ERIO kutokana na kuwa na maskendo mengi ameogopa hili soo lisiingie hadharani ili lisiongeze maskendo.
Polisi wa Morogoro walitumika kuwalainisha ndugu wa marehemu kwa kuwatisha kuwa ndugu yao ndiye mzembe amegonga gari la serikali (SU). Wanakijiji kuona ni SU wakaogopa kuendeleza suala hili na kupokea pesa za Erio.
Erio alikuwa ametoka DODOMA kuzima soo la kufukuza mameneja watatu lilikuwa liibuliwe na Kamati ya Fedha maana ameingilia ukaguzi unaofanywa na CAG kwa agizo la Kamati ya fedha na mashirika ya Umma, Kamati ya ZITTO.
Tunaomba suala hili lifuatiliwe na vyombo vya serikali ili sheria ifuate mkondo wake.
Source: Dereva, alisimulia wenzake pale PPF basement
Katika hali ya kusikitisha na kuogofya, uhai wa mtanzania unachezewa kwa pesa za kifisadi za DG wa PPF Bwana Erio William Mkapa.
Ijumaa ya tarehe 26 August, gari la PPF litumiwalo na DG wa PPF lilimgonga mwenda kwa miguu kwa uzembe wa dereva wake. Baada ya kuua, pesa ilitembezwa kuanzia kwa trafiki mdogo, RTO mpaka RPC wa Morogoro walipata pesa nzuri sana (tshs. 10M)
Polisi wa Morogoro wamelizima hili tatizo bila wahusika kupeleka mahakamani ili sheria ifuate mkondo wake. DG ERIO kutokana na kuwa na maskendo mengi ameogopa hili soo lisiingie hadharani ili lisiongeze maskendo.
Polisi wa Morogoro walitumika kuwalainisha ndugu wa marehemu kwa kuwatisha kuwa ndugu yao ndiye mzembe amegonga gari la serikali (SU). Wanakijiji kuona ni SU wakaogopa kuendeleza suala hili na kupokea pesa za Erio.
Erio alikuwa ametoka DODOMA kuzima soo la kufukuza mameneja watatu lilikuwa liibuliwe na Kamati ya Fedha maana ameingilia ukaguzi unaofanywa na CAG kwa agizo la Kamati ya fedha na mashirika ya Umma, Kamati ya ZITTO.
Tunaomba suala hili lifuatiliwe na vyombo vya serikali ili sheria ifuate mkondo wake.
Source: Dereva, alisimulia wenzake pale PPF basement