Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 15,895
- 36,308
Ila huwa wanaweka kwenye vioo vya nyuma tu! Vya mbele ndio tunamaliziaga wenyewe kibongo bongoTembea uone. gari zenye tinted zipo dunia nzima na kizuri zaidi ni kuwa gari nyingi zinatengenezwa na kuwekwa vioo tinted kabla ya kuuzwa
Inasaidia kupunguza matamanio ya vitu vilivomo ndani kw mfano umeweka simu kwenge kiti kama kioo ni clear kuna baadhi ya wenye tamaa inampa ushawishi wa kuvunja .Asilimia kubwa ya wenye magari utaona vioo vyao ni black yaani huoni ndani yaani tinted. Gari iwe ndogo kubwa au hata lorry la mawe na mchanga nalo limo kundini mwa tinted, taxi nazo hazijasalimika, na wewe taja gari yoyote basi ni tinted.
Na tinted kuna kwa kiasi kama vile 30% ambayo ina uafadhali sio kali sana kuna na 50% pia. Lakini hizo za 30 au 50 hazitumiki ila wote huweka 100% yaani giza totoro. Tinted hazitumiki kwa nia njema bali hutumika kwa njia mbalimbali tena chafu na ovu.
Wewe mwenye gari ya vioo black hebu tupe sababu zenye mashiko na za uhakika kipi kilichokupeleka kuweka gari yako tinted.
Ramadhan Kareem


Basi tuko kwenye Taasisi Moja ila Hatujuani.....Inasaidia kupunguza matamanio ya vitu vilivomo ndani kw mfano umeweka simu kwenge kiti kama kioo ni clear kuna baadhi ya wenye tamaa inampa ushawishi wa kuvunja .
Ila kwa mengine ni sheria maana kuna viongozi wakubwa haitakiwi kuonekana ovyo kutokana na mazingira.
Kwa mfano gari naloendesha mimi hata kioo ni marufuku kuteremsha na ni tinted hadi kile cha mbele kina tited juu kidogo na chini .
Sent using Jamii Forums mobile app
PrivacyAsilimia kubwa ya wenye magari utaona vioo vyao ni black yaani huoni ndani yaani tinted. Gari iwe ndogo kubwa au hata lorry la mawe na mchanga nalo limo kundini mwa tinted, taxi nazo hazijasalimika, na wewe taja gari yoyote basi ni tinted.
Na tinted kuna kwa kiasi kama vile 30% ambayo ina uafadhali sio kali sana kuna na 50% pia. Lakini hizo za 30 au 50 hazitumiki ila wote huweka 100% yaani giza totoro. Tinted hazitumiki kwa nia njema bali hutumika kwa njia mbalimbali tena chafu na ovu.
Wewe mwenye gari ya vioo black hebu tupe sababu zenye mashiko na za uhakika kipi kilichokupeleka kuweka gari yako tinted.
Ramadhan Kareem
huyu ni mzee wa chabo anataka kuchungulia!Ngoja waje wenye hasira zao😅😅..watakuja soon...umaskini ni mbaya sana jamani...
Sababu ni nyingi,wengine hawapendi michorano,wengine kwaajili ya kuficha medemu hasa wake za watu,wengine wanaficha maboksi ya magendo n,k
Nunua lako na we uweke..Wabongo bhana Sasa we inakuuma nn?? Umbea tuu we unataka uchungulie nn humo.. hiyo Ni privacy ya mtu ndo Mana kaweka ili afiche mambo yake
Watoto wakike hawanaga ujanja kwenye uchawi wakijapanNimeshawapa koni wengi sana kwa staili hii
Mnambania mpiga chabo maarufu East and Central Africa .....msiweke tinted jamani....naenda kutoa kwenye baiskeli yangu piaYani mkuu wewe unakereka Kwasababu huwezi kuchungulia ndani ya magari ya watu? Inaonekana unakereka pia Kwann Watu wanaweka Mapazia huwezi kuchungulia ndani mwao.
Nimeweka tinted kwenye Gari ili kuondokana na kero ya jua, pia kuwa na privacy napo hesapu pesa au kuhifadhi mali ndani ya gari mfano simu, laptop etc visiweze kuonekana kwa njeAsilimia kubwa ya wenye magari utaona vioo vyao ni black yaani huoni ndani yaani tinted. Gari iwe ndogo kubwa au hata lorry la mawe na mchanga nalo limo kundini mwa tinted, taxi nazo hazijasalimika, na wewe taja gari yoyote basi ni tinted.
Na tinted kuna kwa kiasi kama vile 30% ambayo ina uafadhali sio kali sana kuna na 50% pia. Lakini hizo za 30 au 50 hazitumiki ila wote huweka 100% yaani giza totoro. Tinted hazitumiki kwa nia njema bali hutumika kwa njia mbalimbali tena chafu na ovu.
Wewe mwenye gari ya vioo black hebu tupe sababu zenye mashiko na za uhakika kipi kilichokupeleka kuweka gari yako tinted.
Ramadhan Kareem