Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 2,580
- 4,262
Watu wengi hasa maeneo ya mjini wamekuwa na mazoea ya kuweka tinted kwenye vioo vya nyuma na hii ni kwa ajili ya usalama ili vibaka wasichungukie kuona umeacha nini kwenye gari wakati umepaki
Ila kumekuwa na watu wanaweka gari vioo vyote vyeusi hata kile kioo cha mbele. Hebu fikiria una ka MPESA kako au Kaduka kapo pembezoni halafu linakuja gari full tinted (vioo vyote vyesi hadi cha mbele) linapaki hapo nje kwa nusu saa, na hujui anachofanya huko ndani ya gari?
Nashauri Polisi waliangalie upya hili suala la kuweka kioo cha mbele tinted labda kuwe na sababu maalum
Ila kumekuwa na watu wanaweka gari vioo vyote vyeusi hata kile kioo cha mbele. Hebu fikiria una ka MPESA kako au Kaduka kapo pembezoni halafu linakuja gari full tinted (vioo vyote vyesi hadi cha mbele) linapaki hapo nje kwa nusu saa, na hujui anachofanya huko ndani ya gari?
Nashauri Polisi waliangalie upya hili suala la kuweka kioo cha mbele tinted labda kuwe na sababu maalum