Pesa
Mpunga
Mpweche
Halolo...
Hili nalo tatizoUkanyagaji wa mafuta napo ni tatizo,,
Milesi isiyokuwa na tija,,
Mtu yupo town lakini anavovuta wese utafikiri anaitafuta Manyoni,,
Kwa kipato kisichozidi milioni kwa mwezi, gari ipi itamfaa kati ya hizo?Mmmh, eti unanunua gari ya kibabe!!!!
Hata siku moja usiunue gari ili uonekane "mwanaume", hiyo ni akili finyu, angalia mfuko wako halafu nunua gari unayoweza kuimudu kiuendeshaji. Usiige ndovu kunya mavi makubwa
Brevis haziuzwi bei rahisi sababu ya ubovu,wanaziuza bei rahisi sababu wabongo especially madalali wameshaipa jina baya(Jini Mafuta) sababu ya kua na Cc 2500&Cc 3000.
Lkn ni gari makini sana na hainaga ubovu huo mnaoaminishwa.
Tofauti hapo ni nini na nini maana yakeGx 110 ziko zenye 2L na 2.5L
Hapa wengi wako ivo,Hili nalo tatizo
Wameichafua sana jina hii Brevis,Hapa wengi wako ivo,
Leo napata jibu hapa
Kati ya:-
Brevis
Verossa
Gx 110
Xtrail
Kwenye Mafuta, Vipuli na matengenezo. Kwasisi tunaohitaji kununua kwa mtu, (mkononi)
Duh! Haya sasa tuambie Brevis vs Gx110 chaguo lako lipiVerrosa, xtrail duh unaweza pata ugonjwa wa moyo
Ni heri Gx 110 kuliko brevisDuh! Haya sasa tuambie Brevis vs Gx110 chaguo lako lipi
Sasa boss Brevis ni gari? Kwanza nimeshangaa kuiona kwenye list hapoDuh! Haya sasa tuambie Brevis vs Gx110 chaguo lako lipi
Brevis ni nini?Sasa boss Brevis ni gari? Kwanza nimeshangaa kuiona kwenye list hapo
Iko vizuri sana mkuu wala hazina magonjwa magonjwa ukichukua zenye D4(1Jz/2Jz-fse) hakikisha tu huweki mafuta machafu/kwny vituo vya mafuta vya uchochoroni, ukichukua 1Jz/2Jz-Ge) hizo hazichagui mambo ya mafuta kwa sana ni kanyaga twende tu.Vp kuhusu durability
Weka technical issues basi boss ili watu wajue shida ya hayo magari....Verrosa, xtrail duh unaweza pata ugonjwa wa moyo
Duh...kitu kina matairi manne meusi na injini ya petrol....inakuwaje tena kuwa siyo gari..?Sasa boss Brevis ni gari? Kwanza nimeshangaa kuiona kwenye list hapo
ni mafuta tu dadaa, mengine ni rahisi maana toyota spea zake ni rahisiKumbe shida kubwa ni consumption ya mafuta sio?