Achaneni na mawazo mgando, Rush ni gari ya kike haiwezi mikikimikiki ya kiumeni kama kwenda pori nk.Toyota Vanguard,Rush hayo manissan sijui Kia utakuja kulalamika kwanini hukushauriwa
kikaniki sio mtoto mdogo, ni mtu mzima na anajielewa, kuchagua hayo ni mtu kutimiza shauku yake.Toyota Vanguard,Rush hayo manissan sijui Kia utakuja kulalamika kwanini hukushauriwa
Uko sahihikikaniki sio mtoto mdogo, ni mtu mzima na anajielewa, kuchagua hayo ni mtu kutimiza shauku yake.
Sio kila anayenunua gari anataka usafiri tu bali wengine wanataka gari za sports au anavutiwa na lilivyo na utamu kuendesha.
Ufike wakati akili zenu zipate akili.
Kung'ang'abia toyota ni sababu za umasikini...wenye pesa hawawazi gari la kudumu milele, wanatumia mwaka mmoja...wanatupa kule
SawaAchaneni na mawazo mgando, Rush ni gari ya kike haiwezi mikikimikiki ya kiumeni kama kwenda pori nk.
Asante sana Kiongozi Sega la asaliHabari za siku mkuu @kikabiki
Nimepitia reviews mtandaoni zinaonyesha Nissan Qashaqai ni bora kuliko kia sportage.
Nissan qashqai ilikuwa ni gari bora kwa 2023 lakini mapungufu makubwa ya Kia sportage ni pamoja na ubovu wa injini..
Ona hapa;
Some Kia Sportage models have been plagued with engine issues, including problems with repeated stalling, misfires, and even engine failure. Some of these issues have been linked to problems with excessive engine oil consumption, which is an issue that affects many four-cylinder
Achaneni na mawazo mgando, Rush ni gari ya kike haiwezi mikikimikiki ya kiumeni kama kwenda pori nk.
Qashqai imekaa ki sport zaidi..labda ndicho kinachomvutiaQashkai/dualis zina tofauti gani na rush?!
Kama unataka gari ya kwenda chakA kaa humuView attachment 2863513
Kama upo serious kwa hio pesa naweza kupa a far more better built car nayo ni mazda cx-5 hii imecombine sport and luxury bila kusahau lina muonekano mzuri sana. iko duty paid tayari ukilipa 32M nakupa file ukasajili tu.Ninataka kununua gari. Kichwani ladha 3 zinanijia. Nissan Qashqai Vs KIA Sportage Vs KIA Sorento. Kwa bei, yote yanafanana. Tsh 32m.
Utaenda na ipi?
Kinachosababisha kungangana na toyota ni umaskin kwel.watu barabaran wana gar mpaka unasema huyu wakat ananunua alikua anawaza nini. Hapa mjin ukitka kuuza gar kama sio toyota utauza bei ya kutupakikaniki sio mtoto mdogo, ni mtu mzima na anajielewa, kuchagua hayo ni mtu kutimiza shauku yake.
Sio kila anayenunua gari anataka usafiri tu bali wengine wanataka gari za sports au anavutiwa na lilivyo na utamu kuendesha.
Ufike wakati akili zenu zipate akili.
Kung'ang'abia toyota ni sababu za umasikini...wenye pesa hawawazi gari la kudumu milele, wanatumia mwaka mmoja...wanatupa kule
Pila picha ni uzuzshiNinataka kununua gari. Kichwani ladha 3 zinanijia. Nissan Qashqai Vs KIA Sportage Vs KIA Sorento. Kwa bei, yote yanafanana. Tsh 32m.
Utaenda na ipi?
WEnye pesa hawajali hata kuuza, likichoka linawekwa pembeni, tatizo ni umasikini unatesa sana...hununui kitu kizuri unawaza gharama za matunzo na likichoka hutauzaKinachosababisha kungangana na toyota ni umaskin kwel.watu barabaran wana gar mpaka unasema huyu wakat ananunua alikua anawaza nini. Hapa mjin ukitka kuuza gar kama sio toyota utauza bei ya kutupa
Limekaa kidada halina tofauti na rush.Qashqai imekaa ki sport zaidi..labda ndicho kinachomvutia
they are all junk cars... ila kila mmoja ana sifa zake.......ila kia zina muonekano mzuri kuliko nissan, ila KIA na mwenzake Hyundai wana changamoto ya quality ya injini so spea pia japo zapatikana kwa ku import.. kwa nissan qashqui ni nzuri pia ila kimuonekano KIA zipo njema...with nissan ukiweza itunza hasa giabox na injini kwa kuweka fluids original basi gari itadumu....usiwe tu mbahili wa ku mantain gari na pia kupata fuhdi proper wa kufanya kazi kwenye gari yako.Ninataka kununua gari. Kichwani ladha 3 zinanijia. Nissan Qashqai Vs KIA Sportage Vs KIA Sorento. Kwa bei, yote yanafanana. Tsh 32m.
Utaenda na ipi?
Utaenda na uwezo wakoNinataka kununua gari. Kichwani ladha 3 zinanijia. Nissan Qashqai Vs KIA Sportage Vs KIA Sorento. Kwa bei, yote yanafanana. Tsh 32m.
Utaenda na ipi?