Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,565
- 47,017
Ni usafairiBrevis ni nini?
Ni usafairiBrevis ni nini?
Mil 8 brevis mpyaaaa?Itoa hapo kwenye list, kama unataka nenda kachukue milion 8 unampata mpyaaaaaa unaanza kuimiliki mwenyewe
Duh! Mil 8? Una uhakikaItoa hapo kwenye list, kama unataka nenda kachukue milion 8 unampata mpyaaaaaa unaanza kuimiliki mwenyewe
Mil 8 brevis mpyaaaa?
Ulishawahi kuagiza gari used kutoka nje?
Bila shaka hio itakua Brevis Made from Buhongwa-Mwanza.
Ameswap na 1GFE itakuwa.... Engine inapendwa hii lakini mie ndio nimeishusha na kuweka 2jzge
Kuna Comments huko mbeleni amesema hana uhakika mkuu.Ameswap na 1GFE itakuwa.... Engine inapendwa hii lakini mie ndio nimeishusha na kuweka 2jzge
Kwanza mfuko wa mtu unachangia uchaguzi wa gari lakini vile vile worldwide, Toyota inajulikana kuwa ni most reliable kuliko wengine, Germans car wanajulikana kufanya kitu rahisi kuwa kigumu, US manufacturers wao ndio wanafyatua tu reliability haipo kwenye akili zao.Mwaka Jana December nilifanya service kubwa ili nifanye Safar ndefu ya kwenda Mwanza nakumbuka fundi alinishauri kitu cha msingi Sana kuwa nijitahidi kila spare parts nitakayofunga iwe original ili angalau nitulie Kwa muda mrefu bila kubadilisha .
Ila Kwa kuwa wabongo tunapenda rahisi nilifunga spare nyingi za bei rahisi na hicho kitu kinanigharimu sasa kwasabb zile spare parts zote zimekufa mara baada ya kurudi DAR.
Hii kasumba ya kuogopa Magari tofauti na Toyota au kuogopa Aina ya Magari Fulani ni maneno ya Tu vijiwen, uoga huu unatufanya kuishia Kwenye Toyota tu
Hii project imeingia gundu na hatujapata ufumbuzi hadi sasa, na sitaki kubahatisha kununua vitu halafu ikwa bado yale yale. Nimejaribu kuwatumia GearTech Perfomance nione ushauri wao nini mana jamaa wanacheza nazo sana.Kuna Comments huko mbeleni amesema hana uhakika mkuu.
Niliona ile Project yako nadhani ilikua kwny IS200,vipi swap imekua successfully?
Mpyaaaa kabisa unapataMil 8 brevis mpyaaaa?
Ulishawahi kuagiza gari used kutoka nje?
Bila shaka hio itakua Brevis Made from Buhongwa-Mwanza.
Katika comments ya kipuuzi ni hii yako, unaweza kujifanya mjuaji kumbe mtupu tu, ndiyo maana mnapigwa kila siku, ngoja nikuonyeshe gari hiyo Brevisndiyo maana nasemaga watu wasitishike na coments za huku jf... passo yenyewe haiagizwi ml 8..
Hapa ndiyo utagundua humu watu huwa wanajivika status ambazo si zao
Unawaza umaarufu/statuz zinasaidia nini mbona mtoto hivyo, gari brevis hii hapa mpyaaaaa owner unaanza kumiliki wewe milion 8ndiyo maana nasemaga watu wasitishike na coments za huku jf... passo yenyewe haiagizwi ml 8..
Hapa ndiyo utagundua humu watu huwa wanajivika status ambazo si zao
Huwa hampo majini mkiwa mnataka vyombo vya usafari ndiyo maana hamjui hata bei,Mil 8 brevis mpyaaaa?
Ulishawahi kuagiza gari used kutoka nje?
Bila shaka hio itakua Brevis Made from Buhongwa-Mwanza.
Duu Magari yote kuanzia cc 2500 kushuka chini yangetakiwa kuuzwa Kwa bei hii ingekuwa poa Sana nadhani kila mmoja angekuwa anabadili ndinga kila baada miaka 2Huwa hampo majini mkiwa mnataka vyombo vya usafari ndiyo maana hamjui hata bei,
gari brevis hii hapa mpyaaaaa owner unaanza kumiliki wewe milion 8
Cc2490 imetembea umbali km 82272, View attachment 1500292
Hahah kwamba ukiweka hio picha ya brevis ndio ita justify kwamba inanunuliwa mil 8?Huwa hampo majini mkiwa mnataka vyombo vya usafari ndiyo maana hamjui hata bei,
gari brevis hii hapa mpyaaaaa owner unaanza kumiliki wewe milion 8
Cc2490 imetembea umbali km 82272, View attachment 1500292
Hahah yangekua yanauzwa bei hio watu wasingekua wananunua mikononi kwa watu mzee baba.Duu Magari yote kuanzia cc 2500 kushuka chini yangetakiwa kuuzwa Kwa bei hii ingekuwa poa Sana nadhani kila mmoja angekuwa anabadili ndinga kila baada miaka 2
Hivi we jamaa utakua mgeni na brevisHahah yangekua yanauzwa bei hio watu wasingekua wananunua mikononi kwa watu mzee baba.
Kweli aisee mimi ni mgeni, huwa naendesha Avon nikijitahidi sana Naendesha Swala/Phoenix sasa wewe mwenye kuifahamu brevis vzr nimeomba uweke calculations zako pale juu, easy as that.Hivi we jamaa utakua mgeni na brevis
Hahah daah afu huwezi amini jamaa amekomaa mpk ameweka na picha ku-justify aisee,hahah.ndiyo maana nasemaga watu wasitishike na coments za huku jf... passo yenyewe haiagizwi ml 8..
Hapa ndiyo utagundua humu watu huwa wanajivika status ambazo si zao
Daa...sasa mbona unakuwa mkali kiasi hicho..?Katika comments ya kipuuzi ni hii yako, unaweza kujifanya mjuaji kumbe mtupu tu, ndiyo maana mnapigwa kila siku, ngoja nikuonyeshe gari hiyo Brevis