kesssyelias
JF-Expert Member
- Jul 13, 2017
- 261
- 273
Yote pasua kichwa kasoro110
BREVIS Ni jiniBrevis kama mchawi tu,
Ni kweli mkuuu, nilishakuwa na cresta 1g vvt i 1988cc,nilikuwa napata km 45+ kwa lita 4 hapa mjini, japo mwanzo nilisikia ni jini ila nilivyoimiliki majibu yalikuwa ni tofauti kabisaa tena nilinunua tu kwa mtu namba C.Mkuuu humu utakatishwa tamaa, ukijar service na kuitumia vzr inaweza kukupa mpk 9-10km mjini na 11-13km/l highway. Nna uhakika mzee ana gx100. Litre4 inaenda mpk 45kms
Gx110 zote ni six cylinder sio?Ni kweli mkuuu, nilishakuwa na cresta 1g vvt i 1988cc,nilikuwa napata km 45+ kwa lita 4 hapa mjini, japo mwanzo nilisikia ni jini ila nilivyoimiliki majibu yalikuwa ni tofauti kabisaa tena nilinunua tu kwa mtu namba C. Ukinunua used ambayo ni mpya kwetu na hisi jnaweza kupata 50+km kwa lita 4, nimeongelea gx 100 kwa kuwa injini ni moja na na gx 110 japo sio zote.
Duuuuuh miaka buku ijayo labda naweza kuivuta.Sisi ambao kipato hakizidi M1 hiyo tutaisikia tu kwa wadau! Jitahidi uchukue
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Yes boss.
On paper FSE is economical kuliko GE. Kwa nloweka mie 2jzge specs zinasema 7km/l na FSE ni 11km/lhivi GE ni economical eeh, sio kama FSE?
Ahaaa sawa sawa mkuu!On paper FSE is economical kuliko GE. Kwa nloweka mie 2jzge specs zinasema 7km/l na FSE ni 11km/l
Brevis watu sijui wanaipendea nn
Watanzania sasa wananichosha...
Wakishakuwa na kipato duni, hawakubaliani na hali...badala yake wanayapa magari fulani sifa mbaya...
Hahah kwamba ukiweka hio picha ya brevis ndio ita justify kwamba inanunuliwa mil 8?
Twende kimahesabu:
Brevis ya 2001 TRA watakuchaji Tsh. 4,857,574
Then Shipping lines+Wharfage+ Port charges+Plate number+ Agency fee fanya roughly Tsh. 900,000
Total cost:4,857,574+900,000=Tsh.5,757,574
Hapo bado hatujaweka CIF ya hio brevis,since umesema total cost ni mil 8 then CIF
CIF:8,000,000-5,757,574=Tsh. 2,242,426
Tuipeleke kwny USD:2,242,426÷2318=$967
Then nionyeshe brevis yenye CIF ya $967 uliinunulia wapi wewe mtoto wa mjini.