GoPPiii.
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 1,787
- 3,050
Msaada tafadhari,ninatarajia kwenda jiji la Makonda hivi karibuni kutokea jijini Mbeya. Kama umewahi tumia gari kati ya hizo mbili naomba msaada ni ipi nzuri haswa kwenye time management, speed nzuri, ipi inawahi kufika na ipi ina huduma nzuri.
Natanguliza shukrani.
Natanguliza shukrani.