Gari imeibwa Muhimbili leo; Tafadhali toa taarifa

Gari imeibwa Muhimbili leo; Tafadhali toa taarifa

Nina wasiwasi kama unafanya kazi BOT..! Toa ahadi ya macho kuona sio maneno matupu
 
Mtihani huo pole kwake

CCM hao wameshindwa kulinda raia na mali zao kutwa itelenjensia cdm na UKUTA. Kulinda raia sijui wamemuachia nani. Wala mtu wa Lumumba buku mbili huna sababu ya kushangaa.
 
Hivi gari wanaibaje ikiwa funguo hazipo na imelokiwa, samahani.
 
Dada Devota pole sana, ingekuwa enzi zile ungesogea kwa Deputy Govenor huku unalia unataftiwa safari ya kwenda kujifunza Power point German kwa wiki tatu ukirudi una 30m unatafuta zako Harrier kabisa na unarudi tena kuegesha Muhimbili bila ya Pressure. Tunakumiss Mpendwa Jakaya Watumish hawana wa kuwafariji tena siku hizi ni mwendo wa kupekua Vyeti na kuchungulia masalio yao Bank na kuwaita PCCB
 
Hivi gari wanaibaje ikiwa funguo hazipo na imelokiwa, samahani.
Samani za Nyumba zinaibiwaje Sitting room na vyumbani na umeenda kulala usiku ukiwa umefunga milango na Mbwa wako active wanazunguka kwny fence?
 
Kwa kuwa yupo BoT haina shida atapata jingine tu tena kali kuliko hilo!!! Acha niingie jikoni kukanda unga wa chapati za kuuza kesho hapo kibarazani...life limekuwa gumu sana yani watu wanakopa hadi chapati zangu!!!
Hataaa mm nilihisiyuko dawasco

Woii BOT...WANARUDISHA ZILEKODI ZAO
 
Habari ya asubuhi,

Kuna gari aina ya Toyota Noah rangi ya silver no T. 139 CRT imeibiwa asubui pale Muhimbili, naomba msambaze kwenye makundi mbali mbali, aliyeibiwa anaitwa Devotha yupo Benk Kuu (BOT).
Devota,kama unaitaka gari yako nakuomba uwe mpenzi wangu,umenidharau siku nyingi lakini sasa itabidi unipe hata mara moja tu.
 
Pole sana Dada,jamani kuna umuhimu sana wa kusajiri gari hizi zinazoibiwa sana kwa watu wa 'Car tracking System'
 
Repoti imefojiwa kama kile kibari cha kumkamata Tundu lissu, hakuna tarehe,tarifa ya kituo cha police bda ya gari kuibwa ambacho kina mhuri, jina na tarifa fupi toka police,
 
Acha utoto, hakuna ubishi hapa nimemsahihisha mtoa mada ndio maana ikaishia hapo ila wewe na utoto wako ndio unaetaka kuharibu thread. Gari ilioibwa sijaiona nikiiona nitatoa taarifa.
Achana na ubishi huo wa viambishi, unataka kuharibu thread ya mwenzio
GARI IMESHAIBIWA kama umeiona toa taarifa.
full stop
 
Dada Devota pole sana, ingekuwa enzi zile ungesogea kwa Deputy Govenor huku unalia unataftiwa safari ya kwenda kujifunza Power point German kwa wiki tatu ukirudi una 30m unatafuta zako Harrier kabisa na unarudi tena kuegesha Muhimbili bila ya Pressure. Tunakumiss Mpendwa Jakaya Watumish hawana wa kuwafariji tena siku hizi ni mwendo wa kupekua Vyeti na kuchungulia masalio yao Bank na kuwaita PCCB
Mwendo Wa vijimbe tu na si nia ya mtoa post
 
Acha utoto, hakuna ubishi hapa nimemsahihisha mtoa mada ndio maana ikaishia hapo ila wewe na utoto wako ndio unaetaka kuharibu thread. Gari ilioibwa sijaiona nikiiona nitatoa taarifa.
Hiyo gari ingeibwa kama ingekuwa inajitambua, imeibiwa kutoka kwenye hatitambuzi ya mwenye gari.
 
Kwanza anataakiwa awe ana Escudo New Model hyo Naoa naoan ni ya kuendea Shamba lalitoka site
 
CCM hao wameshindwa kulinda raia na mali zao kutwa itelenjensia cdm na UKUTA. Kulinda raia sijui wamemuachia nani. Wala mtu wa Lumumba buku mbili huna sababu ya kushangaa.
Hivi huwa mnatumia Akili Kuropoka!!?

Hata ulaya wizi wa magari upo
 
CCM hao wameshindwa kulinda raia na mali zao kutwa itelenjensia cdm na UKUTA. Kulinda raia sijui wamemuachia nani. Wala mtu wa Lumumba buku mbili huna sababu ya kushangaa.


Hili jamaa sijui n mtu wa wap maana maada haiendan na unachojibu sasa mwizi wa gari ww unaweza mjua had uongelee ccm na cdm fanya kaz usikalie kuwatumikia matajari utakufa maskini. vijana wa ncho hii
 
Back
Top Bottom