Gari iliyomgonga trafiki yakamatwa

Gari iliyomgonga trafiki yakamatwa

Tina

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2007
Posts
572
Reaction score
584
Gari aina ya Landriver Discovery mali ya Mchungaji mmoja wa Kanisa, imekamatwa.

attachment.php


Taarifa zaidi baadae.
 

Attachments

  • GARI-LILILOUA.jpg
    GARI-LILILOUA.jpg
    73.9 KB · Views: 4,722
:A S angel:yaani ilikuwa ni ya mtumishi wa Mungu? Duhh! Ajipeleke polisi haraka
 
Inasemekana mtumishi amejitokeza, madai yake ni kuwa gari alikuwa nayo dereva. Dereva naye anadai alimpa fundi, kwa hiyo fundi ndio alikuwa anatesti. Nina mashaka tu na kauli ya dereva.
 
hawa wote lazima waisaidie polisi, wamesababisha watu sasa wawe tegemezi wakati yule mama ndo alikuwa kichwa cha familia.
 
ukweli siku zote hujitenga na uongo. haya gari haikuwa kwenye msafara.
 
Whoever aliyekuwa akiendesha hiyo gari nae alikuwa kwenye msafara?

Msafara wa Rais ni mrefu mno kiasi kwamba hata ukiunga tela hushtukiwi.

Kuna umuhimu wa ku-modernise jinsi Rais anavyolindwa.

Msafara mrefu unahatarisha usalama wa walioko kwenye msafara kuliko kulinda usalama wao.
 
JF bana wakati mwingine ni umbeya tupu.

Mbona jana tuliaminishwa hapa JF kuwa gari iliyomgonga ilikuwa kwenye msafara wa Rais Kikwete na watu kwa hasira wakarusha makombora ya matusi na dharau.
La muhimu, magari ya kwenye msafara wa Rais kidogo yangekuwa yanakuwa machache ili iwe rahisi kwa traffic polisi kuongoza.

Anyway, haijarishi gari ilikuwa ni ya nani. Kuna familia kwa sasa ina omboleza.
 
whoever aliyekuwa akiiendesha hiyo gari ane alikuwa kwenye msafara?

Msafara wa rais ni mrefu mno kiasi kwamba hata ukiunga tela hushtukiwi.

Msafara mrefu unahatarisha usalama wa walioko kwenye msafara kuliko kulinda usalama wao.
umenena mkuu sijui na mbinguni watasindikizwa hivihivi?????????
 
:rip: bwana ametwa bwana ametwa jina lake lihimidiwe.
 
Gari aina ya Landriver Discovery mali ya Mchungaji mmoja wa Kanisa, imekamatwa.

Taarifa zaidi baadae.

Landriver ? Hii itakuwa ni gari mpya sana kuwa imported tz...landriver discovery hatareeee
 
Whoever aliyekuwa akiendesha hiyo gari nae alikuwa kwenye msafara?

Msafara wa Rais ni mrefu mno kiasi kwamba hata ukiunga tela hushtukiwi.

Kuna umuhimu wa ku-modernise jinsi Rais anavyolindwa.

Msafara mrefu unahatarisha usalama wa walioko kwenye msafara kuliko kulinda usalama wao.

kwani na huyo alikuwa sehm ya msafara?na mara nagapi wa Tz kibao wanaunga pengn hata wewe usha wahi kuunga aanza wewe kutokuunga .Wtz punguzeni kulalamika na lawama nyingne zisizo kuwa na mashiko kwa serkli.mengine yako ndani ya uwezo wetu kuyazuiaya kwa mikono yetu
 
Whoever aliyekuwa akiiendesha hiyo gari ane alikuwa kwenye msafara?

Msafara wa Rais ni mrefu mno kiasi kwamba hata ukiunga tela hushtukiwi.

Kuna umuhimu wa ku-modernise jinsi Rais anavyolindwa.

Msafara mrefu unahatarisha usalama wa walioko kwenye msafara kuliko kulinda usalama wao.

sure ni mrefu sana na sijui mantiki ya urefu wa magari,,,,,
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Izi tabia za kuunga kwenye msafala wa Mkuu zitakuja watokea puani
Haya sasa
 
kwani na huyo alikuwa sehm ya msafara?na mara nagapi wa Tz kibao wanaunga pengn hata wewe usha wahi kuunga aanza wewe kutokuunga .Wtz punguzeni kulalamika na lawama nyingne zisizo kuwa na mashiko kwa serkli.mengine yako ndani ya uwezo wetu kuyazuiaya kwa mikono yetu

Kabla ya kuandika uwe unasoma kwanza kilichoandikwa.

Mimi nimeuliza whoever aliyekuwa akiendesha hiyo gari nae alikuwa kwenye msafara?

Halafu na wewe unaniuliza swali hilo hilo "kwani na huyo alikuwa sehm ya msafara?"

Nikasema msafara wa Rais ni mrefu mno kiasi kwamba hata ukiunga tela hushtukiwi.

Ukasema "mara nagapi wa Tz kibao wanaunga pengn hata wewe usha wahi kuunga aanza wewe kutokuunga"

Nimeshauri kuna umuhimu wa ku-modernise jinsi Rais anavyolindwa lakini wewe unaona ni kulalamika.

Vichwa vingine bana.
 
Back
Top Bottom