Gari, biashara na nyumba bora kipi?

Gari, biashara na nyumba bora kipi?

Jenga nyumba ndogo tu utoke kwenye nyumba ya kupanga,kama ya m 10 inabaki 8 hii m 8 unafanyia biashara
 
du mil 18 kujengea ni ndogo.ndugu labda ujenge nyumba ya matofali ya.kuchoma tena ya.kawaida kabisaa
 
kaweke zote benki usibakishe hata shilingi ktk fixed account kwa miezi sita,lengo la awali ni kujipa muda wa miezi sita wa kutafakari nini cha kufanya huku ukiwa huwezi kutumia hata shilingi,Huu ndio ushauri namba moja mengine mazuri yatafuatia.Nimekushauri hivi kwa vile hujui nini cha kufanya na pesa hiyo kwa sasa
 
Mkuu m18 uliyo nayo anzaa na ujenzi kama ushauri waliokupa wengine tenga 10m for house kwakua unacho kiwanja itakuwa rahisi af 8m angalia biashara. Ila usiwe naharaka utafanikiwa
 
Achana na hao watu hapo juu,nunua Gari Mkuu ndio mpango mzima hapa Mujini,sababu Gari linakupa Opportunity nyingi tuu,kama vile usafiri,kuuza sura,kupata Vipusa,matanuzi,kukodisha na kikubwa zaidi unaweza kulala huko huko kwenye Gari. Na pia usisahu hapa kwetu Tanzania Gari kwa sasa ni Indicator mojawapo ya maendeleo kama alivyotuambia Mkulu kuwa wingi wa magari yanayosababisha foleni ni kilelezo cha maendeleo.
 
kaweke zote benki usibakishe hata shilingi ktk fixed account kwa miezi sita,lengo la awali ni kujipa muda wa miezi sita wa kutafakari nini cha kufanya huku ukiwa huwezi kutumia hata shilingi,Huu ndio ushauri namba moja mengine mazuri yatafuatia.Nimekushauri hivi kwa vile hujui nini cha kufanya na pesa hiyo kwa sasa

poa mkuu.
 
Ok,kwanza nitoe mchanganuo kidogo hapa,kujenga nyumba ni kuzika pesa especially nyumba kama sio ya biashara,sijaelewa gari ulimaanisha la biashara au la kutembelea,kama la kutembelea sikushauri coz litakuingiza gharama ilhali halizalishi though ndio mawazo ya vijana wengi for now,kama ni gari ya biashara basi inahtaji usimamizi wa hali ya juu kwani kiuzoefu biashara ya transportation inaongoza kwa presha,and you have to be smart sana,kuanzisha biashara I think litakua ndio wazo zuri sana,vigezo umepewa na wadau hapo juu,bt kuwa mpole tafiti kwanza then utoke na wazo la biashara nzuri.
 
Ok,kwanza nitoe mchanganuo kidogo hapa,kujenga nyumba ni kuzika pesa especially nyumba kama sio ya biashara,sijaelewa gari ulimaanisha la biashara au la kutembelea,kama la kutembelea sikushauri coz litakuingiza gharama ilhali halizalishi though ndio mawazo ya vijana wengi for now,kama ni gari ya biashara basi inahtaji usimamizi wa hali ya juu kwani kiuzoefu biashara ya transportation inaongoza kwa presha,and you have to be smart sana,kuanzisha biashara I think litakua ndio wazo zuri sana,vigezo umepewa na wadau hapo juu,bt kuwa mpole tafiti kwanza then utoke na wazo la biashara nzuri.

Coments zote nazinote.
 
Fanya biashara angalizo ishikama huna pesa anza na mil 8 tu na mil 2 nunua kiwanja iliyo baki weka benk zaid nitafute
 
Dogo acha ujinga. tafuta jimama lililojazia osha jina nalo kama miezi minne akili itulie ndio uwaze mengine
Siwez kuchepuka kama ushaur wako ndo huo mm nabaki kwenye mstari.
 
Achana na hao watu hapo juu,nunua Gari Mkuu ndio mpango mzima hapa Mujini,sababu Gari linakupa Opportunity nyingi tuu,kama vile usafiri,kuuza sura,kupata Vipusa,matanuzi,kukodisha na kikubwa zaidi unaweza kulala huko huko kwenye Gari. Na pia usisahu hapa kwetu Tanzania Gari kwa sasa ni Indicator mojawapo ya maendeleo kama alivyotuambia Mkulu kuwa wingi wa magari yanayosababisha foleni ni kilelezo cha maendeleo.
haya bana
 
Mkuu 1. Fungua fixed account weka km 10m ? ( (benki hutoa faida kubwa kdg kwa acc hii vs muda)
2. Anzisha biashara ya km 3m
3. Faida utakayopata benki na biashara ingiza kwa ujenzi ( jenga taratibu anza na side house).
4. 5m ya tahadhari
 
Back
Top Bottom