Garama za kutoa na kutuma pesa mitandaoni ni kubwa sana. Kutoa laki 4 kwenye ATM ni TZS 1,000, M-PESA TZS 7,000.

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,355
17,321
Gharama ya kutoa pesa na kutuma pesa kwenye mitandao iko juu sana. Hii mitandao ndio inatumiwa sana na sisi wanyonge kwenye kutoa na kupokea pesa ila sasa haiko kwenye kutusaidia bali kutukomoa. Je serikali yetu ya wanyonge hailioni hili?

Kutoa pesa kwenye ATM mashine ni TZS 1,000 ila kutoa Mpesa ni TZS 7,000. Atm unatoa milioni unachajiwa elfu 3, mpesa ni karibu 15k, huu ni unyonyaji na sio huduma.
20191103_105839.jpg
 
Sina hamu na SIM BANKING mwanzaoni nilikua nahamisha 1000, 500 kuja Tigopesa aisee sikujua makato kumbe ilikua inalambwa 1500, unahamisha 500 ila makato 1500/= statement nilitumiwa kwenye email nilibaki mdomo wazi na ndo ikawa siku ya mwisho kutumia SIM BANKING.
 
No need to complain mkuu, hapo ni kujiongeza tu.
Gharama ya kutoa pesa na kutuma pesa kwenye mitandao iko juu sana. Hii mitandao ndio inatumiwa sana na sisi wanyonge kwenye kutoa na kupokea pesa ila sasa haiko kwenye kutusaidia bali kutukomoa. Je serikali yetu ya wanyonge hailioni hili?

Kutoa pesa kwenye ATM mashine ni TZS 1,000 ila kutoa Mpesa ni TZS 7,000. Atm unatoa milioni unachajiwa elfu 3, mpesa ni karibu 15k, huu ni unyonyaji na sio huduma.
View attachment 1252626
 
Gharama ya kutoa pesa na kutuma pesa kwenye mitandao iko juu sana. Hii mitandao ndio inatumiwa sana na sisi wanyonge kwenye kutoa na kupokea pesa ila sasa haiko kwenye kutusaidia bali kutukomoa. Je serikali yetu ya wanyonge hailioni hili?

Kutoa pesa kwenye ATM mashine ni TZS 1,000 ila kutoa Mpesa ni TZS 7,000. Atm unatoa milioni unachajiwa elfu 3, mpesa ni karibu 15k, huu ni unyonyaji na sio huduma.
aliekwambia hii mitandao ipo kukusaidia ni nani ? Hii ni biashara na hawa jamaa wapo pale kutengeneza maximum profit kwa ajili yao na shareholders wao.., na watachaji kadri ya watu watakavyotoa.., pia kumbuka unalipia convinience kama benki ni cheap kwanini usiende benki ?, na kama serikali inaona hii haifai si ina shares nyingi airtel na inamiliki TTCL kwanini isipunguze kule ili iongeze ushindani...

People we need to decide kama ni ubepari na free market we want hii ndio its inner workings.., hatuwezi kuwa nusu nusu.., huku tunapenda ubepari huku tunataka government intervention...,
 
Gharama ya kutoa pesa na kutuma pesa kwenye mitandao iko juu sana. Hii mitandao ndio inatumiwa sana na sisi wanyonge kwenye kutoa na kupokea pesa ila sasa haiko kwenye kutusaidia bali kutukomoa. Je serikali yetu ya wanyonge hailioni hili?

Kutoa pesa kwenye ATM mashine ni TZS 1,000 ila kutoa Mpesa ni TZS 7,000. Atm unatoa milioni unachajiwa elfu 3, mpesa ni karibu 15k, huu ni unyonyaji na sio huduma.
View attachment 1252626
sawa tumeona mkuu ,umetoa laki 4
 
Ndio maana kuna wale wanauliza ..................."umetuma na ya kutolea?"

Mitandao ina kata pesa nyingi sana serikali yetu ipo kimya sana kama kila kitu kipo sawa.
 
Mimi nilishakubalivtu sina jinsi,maana njia yenyewe ipo fast ni hapo unatuma hapo inapokea,yaani papo kwa papo,kwaio kinachotufanya tulipie extra money kuliko bank system ni ule mida tunaouokoa maana kumtumia mtu pesa benki na yeye kwenda kuitoa inaweza kugharimu zaidi ya masaa 24 na usumbufu mwingine wa kutosha hapo katikati.

We dont have any simpler choices, we dont habe any faster choices, we dont have any cheaper choices.
 
Mtoa mada nakukumbusha kwamba hao TCRA wanachukua kodi kila mwezi, ambayo n ten percent total commission kwa kila wakala na kwa kila mtandao utakaotumia kufanya miamala. Mfano aitel money umepata 1,000,000/=(commission),, TCRA wanachukua 100,000/=(kodi)
 
SEREKALI INATUPENDA NA KUTUJALI SANA SISI WANANCHI.
n.b;- Matumizi makubwa ya hizi huduma za simu za kifedha hutumiwa zaidi na sisi walalahoi.
 
Sisi tuliliona hili tatizo ofisini.. boss akawa mjanja.. akafungulia staff wote account NMB ambako na yeye ana account.. anatumia internet banking.. kutuma nmb kwa nmb ni tshs 300, regardless the amount.. kwaiyo kama kuna issue yoyote ya emergency anakutumia hela via internet banking inaingia instantly kwenye account yako unatoa kwenye ATM.. kutoa atm ni tshs 1000 kwa transaction moja ya laki nne au below.. simple.... problem solved
 
Back
Top Bottom