Moja ya sababu ni maungio ya mifupa ya mfumo wa uti wa mgongo kukandamiza mshipa wa fahamu, ni dalili ya mwanzo ya kiharusiHabarini za jioni Wana JF.
Humu ni sehemu ambayo nimejifunza mengi. Watu wamepata utatuzi wa yale yanayowasibu.
Kama mada inavyosema, nina tatizo la ganzi nyayoni. Hii husababishwa na nini? Nini tiba take?
Natanguliza shukrani kwa msaada wenu.
Moja ya sababu ni maungio ya mifupa ya mfumo wa uti wa mgongo kukandamiza mshipa wa fahamu, ni dalili ya mwanzo ya kiharusi
Ni uchawi. Fanya Dua ombaHabarini za jioni Wana JF.
Humu ni sehemu ambayo nimejifunza mengi. Watu wamepata utatuzi wa yale yanayowasibu.
Kama mada inavyosema, nina tatizo la ganzi nyayoni. Hii husababishwa na nini? Nini tiba take?
Natanguliza shukrani kwa msaada wenu.
Be serious mkuu.Ni uchawi. Fanya Dua omba
Asante mkuu.Jaribu sana ku-monitor pressure na sukari kwa ukaribu sana, pengine inaweza kuwa Moja ya sababu
Siyo mpenzi wa kahawa hata kidogo.Siyo mtaalamu ila kutokana na past experience yangu, unatumia kahawa kwa wingi? Kama ndiyo kahawa isiyochujwa vizuri inapelekea kuziba kwa mishipa na damu isizunguke mwilini vizuri nenda pharmacy mwelezee atakupa dawa
Pole sana kaka, Mungu akusimamie.Asante mkuu.
Shukrani mkuu. Ushauri wote utazingatiwa.Yawezekana uko pre-diabetic. Bila kupoteza muda fanya vipimo vya sukari pamoja na presha. Pima pia kiwango cha lehemu (cholesterol) kwenye damu. Hii combo ni mbaya sana aisee na usiombe ukafika kwenye full blown diabetes na hypertension.
Nenda kwa daktari ukapime hivyo vipengele haraka sana. Kama bado hali inadhibitika basi atakushauri ubadilishe kabisa mfumo wa maisha yako. Kama unakunywa pombe na kuvuta sigara itabidi uache. Kama uko mnene itakubidi upambane sana upunguze uzito. Pia itakulazimu uushughulishe mwili kwa mazoezi hata kama ni kutembea kwa angalau dakika 30 kila siku. Ulaji wa nyama nyekundu, soda na mapochopocho mengine itabidi upunguze. Ni mboga za majani sana pamoja na matunda matunda -hasa yale ambayo hayana sukari nyingi.
Labda kama ni tatizo jingine lakini kama uko pre-diabetic unaweza kabisa kureverse hiyo hali kwa kubadili tu mfumo wa maisha. Usisubiri mpaka uanze kutumia dawa maana ukianza tu mara nyingi ndiyo hakuna kuacha mpaka siku unaondoka hapa duniani.
Vipi kuhusu sita kwa sita? Bado unaweza kupiga show kama kawaida? Mara nyingi pre-diabetes huambatana na vimatatizo vya hapa na pale kwenye hiyo idara.
Fanya comprehensive physical exam ASAP. Mungu Akuponye kamanda 🙏🏿🙏🏿
Utakuwa umepiga mlemle.Yawezekana uko pre-diabetic au diabetic tayari. Bila kupoteza muda fanya vipimo vya sukari pamoja na presha. Pima pia kiwango cha lehemu (cholesterol) kwenye damu. Hii combo ni mbaya sana aisee na usiombe ukafika kwenye full blown diabetes na hypertension.
Nenda kwa daktari ukapime hivyo vipengele haraka sana. Kama bado hali inadhibitika basi atakushauri ubadilishe kabisa mfumo wa maisha yako. Kama unakunywa pombe na kuvuta sigara itabidi uache. Kama uko mnene itakubidi upambane sana upunguze uzito. Pia itakulazimu uushughulishe mwili kwa mazoezi hata kama ni kutembea kwa angalau dakika 30 kila siku. Ulaji wa nyama nyekundu, soda na mapochopocho mengine itabidi upunguze. Ni mboga za majani sana pamoja na matunda matunda -hasa yale ambayo hayana sukari nyingi.
Labda kama ni tatizo jingine lakini kama uko pre-diabetic unaweza kabisa kureverse hiyo hali kwa kubadili tu mfumo wa maisha. Usisubiri mpaka uanze kutumia dawa maana ukianza tu mara nyingi ndiyo hakuna kuacha mpaka siku unaondoka hapa duniani.
Vipi kuhusu sita kwa sita? Bado unaweza kupiga show kama kawaida? Mara nyingi pre-diabetes huambatana na vimatatizo vya hapa na pale kwenye hiyo idara.
Fanya comprehensive physical exam ASAP. Mungu Akuponye kamanda 🙏🏿🙏🏿
Nilitaka nimshauri hivi piaYawezekana uko pre-diabetic au diabetic tayari. Bila kupoteza muda fanya vipimo vya sukari pamoja na presha. Pima pia kiwango cha lehemu (cholesterol) kwenye damu. Hii combo ni mbaya sana aisee na usiombe ukafika kwenye full blown diabetes na hypertension.
Nenda kwa daktari ukapime hivyo vipengele haraka sana. Kama bado hali inadhibitika basi atakushauri ubadilishe kabisa mfumo wa maisha yako. Kama unakunywa pombe na kuvuta sigara itabidi uache. Kama uko mnene itakubidi upambane sana upunguze uzito. Pia itakulazimu uushughulishe mwili kwa mazoezi hata kama ni kutembea kwa angalau dakika 30 kila siku. Ulaji wa nyama nyekundu, soda na mapochopocho mengine itabidi upunguze. Ni mboga za majani sana pamoja na matunda matunda -hasa yale ambayo hayana sukari nyingi.
Labda kama ni tatizo jingine lakini kama uko pre-diabetic unaweza kabisa kureverse hiyo hali kwa kubadili tu mfumo wa maisha. Usisubiri mpaka uanze kutumia dawa maana ukianza tu mara nyingi ndiyo hakuna kuacha mpaka siku unaondoka hapa duniani.
Vipi kuhusu sita kwa sita? Bado unaweza kupiga show kama kawaida? Mara nyingi pre-diabetes huambatana na vimatatizo vya hapa na pale kwenye hiyo idara.
Fanya comprehensive physical exam ASAP. Mungu Akuponye kamanda