Game: Zawadi itatolewa. "UJANJA NI......?"

Game: Zawadi itatolewa. "UJANJA NI......?"

Kuvamia bunge maalum la katiba kuwachapa bakora wabunge wa ccm na 201 vibaraka wa ccm kisha kuwalipa 50000 kama posho,kumtoa sitta na kumuweka Godfrey lema tumalize fasta mchakato
 
Kuvamia bunge maalum la katiba kuwachapa bakora wabunge wa ccm na 201 vibaraka wa ccm kisha kuwalipa 50000 kama posho,kumtoa sitta na kumuweka Godfrey lema tumalize fasta mchakato

Duh...ujanja huu noma!
 
Ujanja ni kula hela ya chama fulani halafu wakati wa uchaguzi unachagua chama kingine!!
 
ujanja nikuwahi ikulu na kuchukua cheque mapema mana nackia nchi imeshauzwa hii
 
ujanja ni kuwa fisadi!!! TENA FISADI PAPA...
mbona utafwaidi hii nchi aisee..
 
Ujanja ni kufanikisha jambo ambalo wenzio wote wamelikatia tama na muda wa kulifanikisha umebaki kama haupo vile, yaani kama kufunga goli la ushindi sekunde kadhaa kabla ya filimbi ya mwisho
 
Back
Top Bottom