Reginald Miruko
Sekretarieti ya CCM inaendelea na kampeni mikoani kuhusu KUJIVUA GAMBA. Lakini ghafla wimbo wao umebadilika, chorus ya 'mafisadi ndani ya CCM' ikawa 'Mafisadi wa CHADEMA' wanaopimwa kwa kulipwa mshahara mkubwa.
Hivi sasa watuhumiwa wa ufisadi, hasa wale Mapacha Watatu wanachekea chooni, roho kwatuuuu! Mwisho wa siku mambo yatageuka, itakuwa ni biashara ya kuwashughulikia 'mavuvuzela, endapo watashindwa kujivua gamba na kuliacha mabegani kama picha hii www.rsmiruko.blogspot.com inavyoonesha.