Galilaya kwa Sasa ndio mji Gani?

Galilaya kwa Sasa ndio mji Gani?

Monomer

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2023
Posts
494
Reaction score
915
Wana theology,wataalam wa biblia na wale Wana historia napenda kuwasilisha swali kwenu nikitaka kujua mji wa galilaya ambao umetajwa kwenye biblia kwa Sasa uko katika nchi Gani na huo mji kwa sasa unaitwaje?

Miji kama ya nazalete,sodoma na gomora n.k iko katika nchi Gani na kwa Sasa inaitwaje?maswali ni mengi naimani mengine yataibuka kulingana na Comment za wadau.
 
Galilaya,nazareth sijui goligota haya yote ni majina ya kirumi lazima yatakua israel...
Sodoma na gomora ilikua israel pia kwenye peninsula ya al lisam,lakini mungu aliitawanya peninsula hiyo na maji yakalink mto jordan....
Mpaka leo hakuna ushuhuda wa nchi kamili kama ilivyo kwa babel tower...

Ila THE COLLOSIEM ipo rome-italy,njia panda ya vandetta kama unaenda mineapolis bay...
 
Wana theology,wataalam wa biblia na wale Wana historia napenda kuwasilisha swali kwenu nikitaka kujua mji wa galilaya ambao umetajwa kwenye biblia kwa Sasa uko katika nchi Gani na huo mji kwa sasa unaitwaje?

Miji kama ya nazalete,sodoma na gomora n.k iko katika nchi Gani na kwa Sasa inaitwaje?maswali ni mengi naimani mengine yataibuka kulingana na Comment za wadau.
Galilaya ipo kaskazini mwa Israel na kusini MWA Lebanon ya sasa.

Sodoma ni dead sea Eneo baina ya Israel na Jordan,
 
Bado ipo palepale haijaondoka

1774821163493.png
 
Galilaya,nazareth sijui goligota haya yote ni majina ya kirumi lazima yatakua israel...
Sodoma na gomora ilikua israel pia kwenye peninsula ya al lisam,lakini mungu aliitawanya peninsula hiyo na maji yakalink mto jordan....
Mpaka leo hakuna ushuhuda wa nchi kamili kama ilivyo kwa babel tower...

Ila THE COLLOSIEM ipo rome-italy,njia panda ya vandetta kama unaenda mineapolis bay...
Goligota ipo ni mahali ambapo Yesi alisurubiwa wakati wa Mateso.

Ukiwa Mjini Yerusalemu au Old Yerusalemu ukitaka kuingia kwenye Temple Mount pitia Gate la Damascus utakutana na Jengo la zamani linalozinguka Kaburi la Yesu.

Pembeni mwake kuna ukuta mrefu ambazo ndio Goligota.

Ikitoka hapo mtaa wa Damascus kulia kwako kuelekea kusini utakutana na Njia ya kwenda Bethrehemu Mjini wa Saudi, hapo kuna Junction kulia kwake kuna Hotel Kubwa Sana maalufu hapo Jerusalem linaitwa King David House
 
Goligota ipo ni mahali ambapo Yesi alisurubiwa wakati wa Mateso.

Ukiwa Mjini Yerusalemu au Old Yerusalemu ukitaka kuingia kwenye Temple Mount pitia Gate la Damascus utakutana na Jengo la zamani linalozinguka Kaburi la Yesu.

Pembeni mwake kuna ukuta mrefu ambazo ndio Goligota.

Ikitoka hapo mtaa wa Damascus kulia kwako kuelekea kusini utakutana na Njia ya kwenda Bethrehemu Mjini wa Saudi, hapo kuna Junction kulia kwake kuna Hotel Kubwa Sana maalufu hapo Jerusalem linaitwa King David House
Kwahiyo bethrehemu kwa Sasa iko katika nchi ya Saudi Arabia?
 
Kwahiyo bethrehemu kwa Sasa iko katika nchi ya Saudi Arabia?
Nadhani umefata narration ya Damascus, huu ni Mtaa ndani ya Old Jerusalem nilikuwa naelekea Access yake kwenye Temple Mount ya Hekalu la Suleiman au Al Aqsa Masque ilipo
 
Ni Nini hasa kilipelekea miji mingi kubadilishwa majina wakati historia katika biblia ilikua ishaandikwa miaka kadhaa nyuma iliyopita?
Kinachosababisha majina kubadilika ni Tawala.

UTawala unapokuja mpya mara nyingi wanabadili majina na kuleta mapya kulingana na tamaduni zao.
 
Sodoma ndio Dodoma ya sasa, ndio maana bunge la walevi limewekwa kule
 
Sasa kama ushahidi wote huo bado unaonesha hiyo miji kweli ilikuwepo Israel,je hao wanaoipinga Israel kwamba haikuwepo kabla ya 1945 wanapata wapi nguvu?
 
Back
Top Bottom