Ras-nungwi
Member
- Feb 28, 2008
- 34
- 1
Umeishakasirika?
hapana sijakasirika, hayo ni majadiliano tu ya kusherehekea ijumaa kuu
Umeishakasirika?
hapana sijakasirika, hayo ni majadiliano tu ya kusherehekea ijumaa kuu
hapana sijakasirika, hayo ni majadiliano tu ya kusherehekea ijumaa kuu
Asante baba...takbeer
wakiipata Biblia "original" ...
sio wakiipata, sema akiipata(kwani ni Gaddafi aliyesema)...sasa wingi wa nini?? hivi kwanini unapendaga sana ku-generalize vitu!!?? deal na Gaddafi na its wrong kujumuisha waislamu wengine(ambao ni majority) kama mimi ambao hatuna time na huo upuuzi wa dini gani ni sahihi na ipi sio sahihi!!! againi, sema akiipta hiyo biblia "original".......please!.
Kama haumuungi mkono bas Condemn tujue kuwa haukubaliani naye. labda ukikaa kimya ndio maana kuna mdau hapo juu kauliza mbona hatuoni ndugu zetu waislamu wakichangia hoja hii?
Nakubaliana na Gadafi kwa asilimia 100. He is stating the obvious. We all know its fake. Gadafi continue to use your freedom of speech. You are doing the right thing brother.
'Uislamu ni Uarabu'.
Hivi hizo fedha Ghadafi alizotengenezea 'Msikiti' hapo Uganda kwa nini asiwasaidie 'Waislamu koko' wa Darfur ambao wanauwawa kama nguruwe na 'Waislamu wa kiarabu' kutoka Sudani ya kaskazini?
Ukweli, Uislamu ni kukariri tu.
Mungu Muumba wa Mbingu na nchi asaidie viumbe wake.
Mnh, ama kweli,
...'Utamdhulumu' mtu kila kitu, isipokuwa Imani yake!!!
Speaking at Nakivubo Stadium on Wednesday, where he led thousands of Muslims who celebrated the birth of Prophet Muhammed, Gadaffi asserted that the Bible was not the one revealed to Jesus and the Old Testament was not the one which Moses received from Allah.
In the process of doctoring the Bible, Gadaffi argued, the reference to Mohammed had been deleted. He added that any scripture that failed to mention Mohammed was fake. He, therefore, called for the search for the original Bible.
So that the Current Bibble is FAKE?
By
New Vision-Uganda
Nakubaliana na Gadafi kwa asilimia 100. He is stating the obvious. We all know its fake. Gadafi continue to use your freedom of speech. You are doing the right thing brother.
I believe now we have to search for the original Gadaffi due the one we see is fake one....
its not about you!! muulize huyo mwanakijiji juu ya msimamo wangu kuhusu upuuzi wenu huu wa kidini. kwanza hii ipelekwe kwenye jukwaa la dini ili wakinamtindiowaubongo na shoga zake wapate kuchangia vizuri.
Nakubaliana na Gadafi kwa asilimia 100. He is stating the obvious. We all know its fake. Gadafi continue to use your freedom of speech. You are doing the right thing brother.