Gadaffi aliifanyia Libya mengi mazuri kuliko mabaya

Mto Songwe

JF-Expert Member
Jul 17, 2023
6,348
13,018
Licha ya mapungufu yake ambayo kila mtu anayo lakini Gadaffi alikuwa special one.

Huyu bwana mdogo aliyezaliwa Qasr Abu Hadi 1942 katika umri mdogo kabisa hata miaka 30 hajafikisha ni katika umri wa miaka 27 tu alikuwa na ndoto kubwa kuliko umri wake ya kuibadili Libya na hatimaye 1969 ndoto yake ikatimia kupitia mapinduzi.

Gadaffi aliifanyia Libya mengi mazuri kuliko mabaya hasa katika hali iliyokuwa nayo Libya kabla ya mapinduzi ambayo ilikuwa ikimtesa yeye na wana Libya wenzake toka kuzaliwa kwake.

Imagine kijana wa miaka 27 ana mzigo wa ndoto kubwa ya mabadiliko ya taifa lake ndani ya ubongo wake.

Je, uthubutu huo kama wa Gadaffi na ndoto kama za Gadaffi zipo katika vichwa vya vijana wa umri huo mdogo kama aliokuwa nao kanali Muammar Gadaffi leo ?

GREAT GADAFFI
p01h68ff.jpg
 
Kijana wa miaka 27 wa hivi sasa anamiliki uume na simu ya Tekno tu kama ni wa kiume. Hana anachojua zaidi ya kubeti

Na kama ni wa kike anamiliki uke na wigi feki la kichina. Hana anachojua zaidi ya kudanga.
 
Licha ya mapungufu yake ambayo kila mtu anayo lakini Gadaffi alikuwa special one.

Huyu bwana mdogo aliyezaliwa Qasr Abu Hadi 1942 katika umri mdogo kabisa hata miaka 30 hajafikisha ni katika umri wa miaka 27 tu alikuwa na ndoto kubwa kuliko umri wake ya kuibadili Libya na hatimaye 1969 ndoto yake ikatimia kupitia mapinduzi.

Gadaffi aliifanyia Libya mengi mazuri kuliko mabaya hasa katika hali iliyokuwa nayo Libya kabla ya mapinduzi ambayo ilikuwa ikimtesa yeye na wana Libya wenzake toka kuzaliwa kwake.

Imagine kijana wa miaka 27 ana mzigo wa ndoto kubwa ya mabadiliko ya taifa lake ndani ya ubongo wake.

Je, uthubutu huo kama wa Gadaffi na ndoto kama za Gadaffi zipo katika vichwa vya vijana wa umri huo mdogo kama aliokuwa nao kanali Muammar Gadaffi leo ?

GREAT GADAFFI
View attachment 2990218
Kijana wa Tz wa miaka 27 ana rundo la orodha ya pisi kali kichwani.

Soma posts zao humu
 
Licha ya mapungufu yake ambayo kila mtu anayo lakini Gadaffi alikuwa special one.

Huyu bwana mdogo aliyezaliwa Qasr Abu Hadi 1942 katika umri mdogo kabisa hata miaka 30 hajafikisha ni katika umri wa miaka 27 tu alikuwa na ndoto kubwa kuliko umri wake ya kuibadili Libya na hatimaye 1969 ndoto yake ikatimia kupitia mapinduzi.

Gadaffi aliifanyia Libya mengi mazuri kuliko mabaya hasa katika hali iliyokuwa nayo Libya kabla ya mapinduzi ambayo ilikuwa ikimtesa yeye na wana Libya wenzake toka kuzaliwa kwake.

Imagine kijana wa miaka 27 ana mzigo wa ndoto kubwa ya mabadiliko ya taifa lake ndani ya ubongo wake.

Je, uthubutu huo kama wa Gadaffi na ndoto kama za Gadaffi zipo katika vichwa vya vijana wa umri huo mdogo kama aliokuwa nao kanali Muammar Gadaffi leo ?

GREAT GADAFFI
View attachment 2990218
wapo vujana wengi tu mbona wamefanya mapinduzi kwenye biashara, kilimo, viwanda n.k..............
 
Back
Top Bottom