Gaboni kimenuka!

Gaboni kimenuka!

hivi kwani wanashindwa kumroga wakamtupia jini maimuna subiani wamalize mchezo katika kundi lote hilo hamna mjukuu wa mzee wa busara hata mmoja
 
Ngoja nikuambie kitu!!! Hii nchi haitakuja kupigana na nchi yo yote ile!! Pili, wala hakutakuwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe milele. HIVYO NDIVYO ILIVYO...haijalishi ni nani ni au atakuwa rais... Hakuna atakayewezea kuleta vita ndani ya hili taifa, hata kwenye ndoto hicho kitu hakiwezi kutokea. Nasema hivi...hakuna vita wala umwagaji damu utakaotokea ndani ya taifa hili kwa njia ya vita!!! HAITATOKEA KAMWE...haka ukiwa ndiwe raisi... Mhutaweza kuleta vita.!!!.
Mbona unaleta mambo ya unabii hapa!!! Lete facts zinazokufanya uamini hayo unayoyaandika.
 
Mbona unaleta mambo ya unabii hapa!!! Lete facts zinazokufanya uamini hayo unayoyaandika.
Huo ni uhalisi siyo unabii!! Naongea kitu ninachokijua na kukifagamu kwa kina kabisa! Ni rahisi vita kutokea marekani na ulaya kuliko hapa. Hiyo ndiyo "facts" wala siyo uongo. Najua ninachoongea wala siyo unabii.
 
Ngoja nikuambie kitu!!! Hii nchi haitakuja kupigana na nchi yo yote ile!! Pili, wala hakutakuwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe milele. HIVYO NDIVYO ILIVYO...haijalishi ni nani ni au atakuwa rais... Hakuna atakayewezea kuleta vita ndani ya hili taifa, hata kwenye ndoto hicho kitu hakiwezi kutokea. Nasema hivi...hakuna vita wala umwagaji damu utakaotokea ndani ya taifa hili kwa njia ya vita!!! HAITATOKEA KAMWE...haka ukiwa ndiwe raisi... Mhutaweza kuleta vita.!!!.
Hata alli bongo ondimba alisema hvyo hvyo
 
Chadema mmeona? Hawa ndiyo Wanaume siyo ninyi mnatishia nyau kumbe hata uwezo wenyewe wa kuhamasisha hamna!
Eti Watanzania wamekaa wanasubiri fisadi lowasa atoe tamko wakinukishe, kumbe fiksi tupu na kura milioni 6 waliiba, watu wa IT wa chadema walihack Tume yetu ya Uchaguzi na kujiongezea kura!

Sasa Gaboni tofauti ya kura 5,594 tu kati ya aliyetangazwa mshindi na aliyeshindwa, lkn fisadi Lowasa anasema kwamba kaibiwa kura wakati tofauti yake na Magufuli ilikuwa ni kura milioni 2 karibia 20% ya kura, kama siyo ugonjwa wa akili ni nini?



gabunArtikelbild001.jpg


gabunArtikelbild.jpg



AFP-Marco-LongariArtikelbild002.jpg


AFP-Marco-LongariArtikelbild.jpg



Raisi Ali Bongo Ondimba anasema yeye ndiyo ameshinda wakati Upinzani wanamgomea!
AP-Frank-Franklin-IIArtikelbild.jpg
Hapo wezi wa kura wamezidiana tu utalaam
 
Hahaha...sawa!!!! Ngoja nisibishane na wewe... Maana hujui hata nilichoongea/nilichoandika kinamaanisha nini.
Sidhani kama kuna muda wa mabishano hapa but usiongee vitu vingi mpaka ukaonekana wa kawaida maana sisi binadamu tumefungwa kujua hata kesho yetu tu,sasa wewe unayajua mpaka ya kesho ya nchi???kuna nchi hata upinzani tu hamna lakini yamewakuta mazito sana miaka hii ya karibuni
 
Gabon election: Bongo v Ping
  • Mr Bongo took office in 2009 after an election marred by violence
  • He succeeding his father Omar Bongo who had come to power in 1967 and was Africa's longest serving leader
  • Veteran diplomat Mr Ping had served as chair of the African Union
  • He had been a close ally of Omar Bongo and had been his foreign minister
  • He had two children with Omar Bongo's daughter, Pascaline
 
ipo siku na sisi uvumilivu utatushinda

CDM KAENI CHONJO MTAKIONA CHA MTEMA KUNI OCTOBER MOSI
October mosi ni siku ya kupanda miti kitaifa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Raha sana kuishi Tanzania
CHADEMA mmeona? Hawa ndiyo Wanaume siyo ninyi mnatishia nyau kumbe hata uwezo wenyewe wa kuhamasisha hamna!

Eti Watanzania wamekaa wanasubiri fisadi lowasa atoe tamko wakinukishe, kumbe fiksi tupu na kura milioni 6 waliiba, watu wa IT wa chadema walihack Tume yetu ya Uchaguzi na kujiongezea kura!

Sasa Gaboni tofauti ya kura 5,594 tu kati ya aliyetangazwa mshindi na aliyeshindwa, lkn fisadi Lowasa anasema kwamba kaibiwa kura wakati tofauti yake na Magufuli ilikuwa ni kura milioni 2 karibia 20% ya kura, kama siyo ugonjwa wa akili ni nini?
gabunArtikelbild001.jpg


gabunArtikelbild.jpg



AFP-Marco-LongariArtikelbild002.jpg


AFP-Marco-LongariArtikelbild.jpg



Raisi Ali Bongo Ondimba anasema yeye ndiyo ameshinda wakati Upinzani wanamgomea!
AP-Frank-Franklin-IIArtikelbild.jpg
 
Ngoja nikuambie kitu!!! Hii nchi haitakuja kupigana na nchi yo yote ile!! Pili, wala hakutakuwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe milele. HIVYO NDIVYO ILIVYO...haijalishi ni nani ni au atakuwa rais... Hakuna atakayewezea kuleta vita ndani ya hili taifa, hata kwenye ndoto hicho kitu hakiwezi kutokea. Nasema hivi...hakuna vita wala umwagaji damu utakaotokea ndani ya taifa hili kwa njia ya vita!!! HAITATOKEA KAMWE...haka ukiwa ndiwe raisi... Mhutaweza kuleta vita.!!!.
Naona unaongea kwa hisia sana ,unajiona Mungu,wakati urojo tu,unadhani kuna mtu anaombea hayo,hayo yanatokea sababu kuna wapuuzi kama wewe
 
CHADEMA mmeona? Hawa ndiyo Wanaume siyo ninyi mnatishia nyau kumbe hata uwezo wenyewe wa kuhamasisha hamna!

Eti Watanzania wamekaa wanasubiri fisadi lowasa atoe tamko wakinukishe, kumbe fiksi tupu na kura milioni 6 waliiba, watu wa IT wa chadema walihack Tume yetu ya Uchaguzi na kujiongezea kura!

Sasa Gaboni tofauti ya kura 5,594 tu kati ya aliyetangazwa mshindi na aliyeshindwa, lkn fisadi Lowasa anasema kwamba kaibiwa kura wakati tofauti yake na Magufuli ilikuwa ni kura milioni 2 karibia 20% ya kura, kama siyo ugonjwa wa akili ni nini?
gabunArtikelbild001.jpg


gabunArtikelbild.jpg



AFP-Marco-LongariArtikelbild002.jpg


AFP-Marco-LongariArtikelbild.jpg



Raisi Ali Bongo Ondimba anasema yeye ndiyo ameshinda wakati Upinzani wanamgomea!
AP-Frank-Franklin-IIArtikelbild.jpg
Kama machafuko ndio UANAUME, njoo uchukue uume wangu...

Mimi nawashukuru CDM kuahirisha Maandamano yao hata kama sababu yao haina mashiko.

Tusipende kuvamia kila tunachokiona kwa jirani
 
Wewe unayetaka vurugu katika nchi yetu MWENYE ENZI MUNGU aanze na nyumbani kwako milele. ..na sisi tunaomba amani iwe kwetu na kizazi chetu na nchi yetu milele. ..EHH RHABUKA nakuomba usikie maombi haya. ..kumbuka watanzania wengi walivyo mwaga damu kipindi cha mwl Julius Kambarage Nyerere. ..kwa ajili ya Africa kuwa huru! Ehh MAULANA MOLA wetu sikia maombi yetu. ..Amen
 
Uko Gabon watu hawaogopi gwanda Kama sisi kipandee hiii hatujatishiwaa tumeskia tuu watu watafagia barabara na shughuli ikaishia hapoo
 
Back
Top Bottom