Gabon: Jenerali Brice Nguema akataa kulipwa Mshahara wa Urais, apunguza Posho za Wabunge

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,119
1697716461289.png


Kiongozi huyo wa Kijeshi ametangaza rasmi kuwa hatochukua Mshahara huo kwa muda wote atakaokuwa Madarakani isipokuwa ataendelea kupokea Mshahara wa Kamanda wa Jeshi, nafasi ambayo alikuwa akiitumikia kabla ya Mapinduzi yaliyomuondoa Ali Bongo.

Msemaji wa Serikali amesema Jenerali Nguema amechukua uamuzi huo kwa kuzingatia mahitaji ya dharura za Kijamii pamoja na matarajio mengi ya Watu kwa uongozi mpya wa Taifa hilo baada ya kuzorota kwa hali ya Uchumi.

Mbali na Mshahara wa Urais, Jenerali Nguema amepunguza matumizi ya Serikali ikiwemo kukata Posho za Wabunge na Posho za Vikao vya Wafanyakazi wa Serikali, hatua iliyotajwa kurejesha imani ya Wananchi kwa Uongozi mpya wa Gabon.

Kwa mujibu wa Ripoti mbalimbali, utawala wa miaka 14 wa Rais Ali Bongo aliyeondolewa madarakani Agosti 2023, uligubikwa na Ufisadi, Rushwa, Ubovu wa Miundombinu ya Huduma Muhimu na Uminyaji wa Uhuru wa Kujieleza.

=========

Gabon’s military leader Gen Brice Oligui Nguema has given up his salary as president and will only receive a wage as commander of the republican guard.

He became the interim president following the overthrow of President Ali Bongo in August this year.

junta spokesperson in an announcement on Wednesday said Gen Nguema took the decision because he was "aware of the social emergencies and many expectations of the Gabonese people".

“Each day that passes allows the [junta] to become more aware of the general state of deterioration of the country and of public finances in particular,” Col Ulrich Manfoumbi said in a report by the BBC.

Deposed President Bongo’s 14-year rule was marred by allegations of corruption and other financial scandals, with the junta saying the country’s finances were “victim of a real criminal fury”.

Apart from renouncing his salary as president, Gen Nguema also decided to reduce public spending by slashing the allowances for lawmakers, eliminating political funds, and cutting session allowances.

According to reports; the latest move appears to be one that has restored the Gabonese people’s confidence in the country’s leadership.

AFRICA NEWS
 
Tatizo linakuja palepale, nia nzuri bila katiba, sheria na mifumo sahihi ya kuongoza nchi ni Kazi Bure.

Hiki ndio kitu inatafuna nchi nyingi za Africa. Japo waasisi wao walikuwa na nia nzuri ila kutokana na kukosekana katiba Bora wakiondoka wakaingia Mbwa mwitu we go back to square one.
 
View attachment 2786406

Kiongozi huyo wa Kijeshi ametangaza rasmi kuwa hatochukua Mshahara huo kwa muda wote atakaokuwa Madarakani isipokuwa ataendelea kupokea Mshahara wa Kamanda wa Jeshi, nafasi ambayo alikuwa akiitumikia kabla ya Mapinduzi yaliyomuondoa Ali Bongo.

Msemaji wa Serikali amesema Jenerali Nguema amechukua uamuzi huo kwa kuzingatia mahitaji ya dharura za Kijamii pamoja na matarajio mengi ya Watu kwa uongozi mpya wa Taifa hilo baada ya kuzorota kwa hali ya Uchumi.

Mbali na Mshahara wa Urais, Jenerali Nguema amepunguza matumizi ya Serikali ikiwemo kukata Posho za Wabunge na Posho za Vikao vya Wafanyakazi wa Serikali, hatua iliyotajwa kurejesha imani ya Wananchi kwa Uongozi mpya wa Gabon.

Kwa mujibu wa Ripoti mbalimbali, utawala wa miaka 14 wa Rais Ali Bongo aliyeondolewa madarakani Agosti 2023, uligubikwa na Ufisadi, Rushwa, Ubovu wa Miundombinu ya Huduma Muhimu na Uminyaji wa Uhuru wa Kujieleza.

=========

Gabon’s military leader Gen Brice Oligui Nguema has given up his salary as president and will only receive a wage as commander of the republican guard.

He became the interim president following the overthrow of President Ali Bongo in August this year.

junta spokesperson in an announcement on Wednesday said Gen Nguema took the decision because he was "aware of the social emergencies and many expectations of the Gabonese people".

“Each day that passes allows the [junta] to become more aware of the general state of deterioration of the country and of public finances in particular,” Col Ulrich Manfoumbi said in a report by the BBC.

Deposed President Bongo’s 14-year rule was marred by allegations of corruption and other financial scandals, with the junta saying the country’s finances were “victim of a real criminal fury”.

Apart from renouncing his salary as president, Gen Nguema also decided to reduce public spending by slashing the allowances for lawmakers, eliminating political funds, and cutting session allowances.

According to reports; the latest move appears to be one that has restored the Gabonese people’s confidence in the country’s leadership.

AFRICA NEWS

mcheki sura yake kwanza
 
Sura yake inanikumbusha mzee kabudi akiwa waziri wa mambo ya nje.alikuwa na kitu sema alikuwa anashindwa kukiwakilisha.at least huyu anaonekana Ana kitu cha kuifanyia nchi yake na ameanza
 
Reporting ya namna hii huwa haina maana.

Ingeelezwa;
1. Rais analipwa kiasi gani.
2. Kamanda analipwa kiasi gani?
3. Baada ya ukataji wa posho Huo,?
 
Huku wapunguze mishahara ya wabunge, posho zao, misafara isiyo na kichwa wala miguu.. wataokoa fedha kiasi kikubwa tu.
 
Cheo nidhamana Haina budi kukitendea haki unapoona Kuna mahali pesa zinapotea bila point za msingi hongera Sana raisi wa mpito Brice nguema angola na Africa inakuangalia
 
Back
Top Bottom