BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,119
Kiongozi huyo wa Kijeshi ametangaza rasmi kuwa hatochukua Mshahara huo kwa muda wote atakaokuwa Madarakani isipokuwa ataendelea kupokea Mshahara wa Kamanda wa Jeshi, nafasi ambayo alikuwa akiitumikia kabla ya Mapinduzi yaliyomuondoa Ali Bongo.
Msemaji wa Serikali amesema Jenerali Nguema amechukua uamuzi huo kwa kuzingatia mahitaji ya dharura za Kijamii pamoja na matarajio mengi ya Watu kwa uongozi mpya wa Taifa hilo baada ya kuzorota kwa hali ya Uchumi.
Mbali na Mshahara wa Urais, Jenerali Nguema amepunguza matumizi ya Serikali ikiwemo kukata Posho za Wabunge na Posho za Vikao vya Wafanyakazi wa Serikali, hatua iliyotajwa kurejesha imani ya Wananchi kwa Uongozi mpya wa Gabon.
Kwa mujibu wa Ripoti mbalimbali, utawala wa miaka 14 wa Rais Ali Bongo aliyeondolewa madarakani Agosti 2023, uligubikwa na Ufisadi, Rushwa, Ubovu wa Miundombinu ya Huduma Muhimu na Uminyaji wa Uhuru wa Kujieleza.
=========
Gabon’s military leader Gen Brice Oligui Nguema has given up his salary as president and will only receive a wage as commander of the republican guard.
He became the interim president following the overthrow of President Ali Bongo in August this year.
junta spokesperson in an announcement on Wednesday said Gen Nguema took the decision because he was "aware of the social emergencies and many expectations of the Gabonese people".
“Each day that passes allows the [junta] to become more aware of the general state of deterioration of the country and of public finances in particular,” Col Ulrich Manfoumbi said in a report by the BBC.
Deposed President Bongo’s 14-year rule was marred by allegations of corruption and other financial scandals, with the junta saying the country’s finances were “victim of a real criminal fury”.
Apart from renouncing his salary as president, Gen Nguema also decided to reduce public spending by slashing the allowances for lawmakers, eliminating political funds, and cutting session allowances.
According to reports; the latest move appears to be one that has restored the Gabonese people’s confidence in the country’s leadership.
AFRICA NEWS