Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,146
- 48,382
Tangu waliokuwa wanachama wa CHADEMA waanze kutoka Baada ya uchaguzi wa tarehe 21,22/01/2025, sasa limekuwa kama ni igizo lisilo na mwisho.
Kwa Sasa kwa wao kutoka CHADEMA imekuwa siyo habari tena maana watanzania washajua wapo watakaotoka CHADEMA na sehemu kubwa ya watanzania washajua kuwa wanaotoka Kwa 99% ni waliokuwa upande wa Freeman Mbowe zama za uongozi wake na wakati wa uchaguzi.
Ushauri wangu kwao, waachane na hizo drama za kutoka bali wajikusanye waanzishe chama chao au wajiunge na chama kingine wanachoona kinawafaa wasonge mbele!
Muigizaji mzuri ni yule anayejua ni wakati gani wa kutoka jukwaani!
Kwa Sasa kwa wao kutoka CHADEMA imekuwa siyo habari tena maana watanzania washajua wapo watakaotoka CHADEMA na sehemu kubwa ya watanzania washajua kuwa wanaotoka Kwa 99% ni waliokuwa upande wa Freeman Mbowe zama za uongozi wake na wakati wa uchaguzi.
Ushauri wangu kwao, waachane na hizo drama za kutoka bali wajikusanye waanzishe chama chao au wajiunge na chama kingine wanachoona kinawafaa wasonge mbele!
Muigizaji mzuri ni yule anayejua ni wakati gani wa kutoka jukwaani!