Future ya computer science au ICT ni kama imekufa

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
2,040
Reaction score
6,788
Kufika 2030 nadhani kutakua na uhitaji hafifu sana wa watu waliosoma computer science.

Kwanini? Integration ya AI imekuja kuharibu vitu vingi, na mbaya zaidi hatuwezi kuikwepa, miaka 10 nyuma watu walimeza code, syntax Kwa ajili ya kutengeneza website au application, sasaivi simple website inatengenezwa na junior tu.

Yaani unaandika prompt chatgpt akutengeneze language nzuri Kwa ajili ya website unayoitaka, then unaicopy, unaenda kuipaste Kwa claude AI, then unatengenezewa code full, unajipatia website yako...

Cha kushangaza interview za UTUMISHI wanang'ang'ana na mambo ya analog ya kuandika code, kama unafatilia mambo ya tenc Kuna mambo ya cloud, azure n.k yote hii ni njia moja wapo ya kuwaonesha watu hawaitajiki kwenye mambo ya tech.

Data analysis, graphics design AI can do better than human issue ni prompt tu,

Umejipangaje mwana tech?
 
Unachozungumza hakipo sawa. Binafsi nipo kwenye project ya AI africa, sijivuni. AI haiji kuondoa ICT wala computer science isipokuwa inakuja kufanya wawe bora zaidi na wenye matokeo bora zaidi
 
Yaani wewe computer science umeipanga kwenye kuandika prompt tu na kutengeneza website?

Its seesm hujui computer science wana zaidi ya hapo.

Kwa taarifa yako tu ni kwamba wao ndio watakuwa wana run the show
 
Integration ya AI imekuja kuharibu vitu vingi, na mbaya zaidi hatuwezi kuikwepa, miaka 10 nyuma watu walimeza code, syntax Kwa ajili ya kutengeneza website au application, sasaivi simple website inatengenezwa na junior tu.
Codes za AI unapoziingiza kwenye mfumo halisi wa computers, computer huchagua codes zile inazozitaka tu na codes zingine huachwa nyuma kwa hio inakubidi uandike vizuri, mfano ukiiambia AI ifanye translation italeta maelezo mengine ambayo wewe huwezi elewa kwa hio lazima ufanye correction ili ieleweke sasa hapo ndipo mtu wa CS anaendelea kubaki palepale na AI itabaki kua km tool tu ya kufanyikisha jambo, sio mtu wa CS ila nimeeleza kwa uelewa ninaofikiria mimi wakija wenyewe wataniweka sawa
 
Yaani wewe computer science umeipanga kwenye kuandika prompt tu na kutengeneza website?

Its seesm hujui computer science wana zaidi ya hapo.

Kwa taarifa yako tu ni kwamba wao ndio watakuwa wana run the show
Ila mkuu amini usiamini mtikisiko tayari umetokea na utaendelea kujitokeza zaidi

Mpaka Sasa mahitaji ya computer tu yamepungua sana na bei ya computer tu imeshuka sana

Ni bora kuwa bize na kilimo na ufugaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…