Mbomozo
JF-Expert Member
- Dec 23, 2019
- 361
- 940
Salaam,
Mimi ni kijana wa kiume mwenye Umri wa Miaka 26 na makazi yangu ni Mwanza wilaya ya Nyamaghana. Mwaka huu 2021 nimehitimu Bachelor of science in computer science, Lengo la thread hii ni kuomba nafasi ya internship or volunteering opportunity (paid or unpaid), katika kampuni yoyote yenye department ya ICT vile nina HCIA (Huawei Certified ICT Associate) certificate in (5G, DataCom,Python and AI).
Pia naweza kufanya shughuli hizi,
- LAN switching configuration and troubleshooting.
-Configuration and troubleshooting of routing protocols
-website development
-Application Development
-Arduino Projects Configuration and Coding using C++ programming language
-Even i have experience in working as Tutorial Assistant
-Database maintenance and development using SQL
Kwa ufupi najitrain with experience kuwa full stack developer.
Wasalaam Ndg zangu
Mimi ni kijana wa kiume mwenye Umri wa Miaka 26 na makazi yangu ni Mwanza wilaya ya Nyamaghana. Mwaka huu 2021 nimehitimu Bachelor of science in computer science, Lengo la thread hii ni kuomba nafasi ya internship or volunteering opportunity (paid or unpaid), katika kampuni yoyote yenye department ya ICT vile nina HCIA (Huawei Certified ICT Associate) certificate in (5G, DataCom,Python and AI).
Pia naweza kufanya shughuli hizi,
- LAN switching configuration and troubleshooting.
-Configuration and troubleshooting of routing protocols
-website development
-Application Development
-Arduino Projects Configuration and Coding using C++ programming language
-Even i have experience in working as Tutorial Assistant
-Database maintenance and development using SQL
Kwa ufupi najitrain with experience kuwa full stack developer.
Wasalaam Ndg zangu