Future ya CCM baada ya Lowassa kung'oka

Future ya CCM baada ya Lowassa kung'oka

Ha ha pro chadema njoon mmnadi kamanda lowasa
Itabidi tuwatumie wakina Ritz na Genge lao kumndi EL mana walikuwa wanamtetea sana alipokuwa CCM nadhan tunaweza endelea kuwatumia hao hao kumnadi akiwa CDM, Naamini kazi waliyopewa waliifanya kwa ufanisi mkubwa. Labda cha msingi na wao pia tuwakaribishe CDM ili waendeleze kushawish watu juu ya uzuri wa EL.
 
Kilichofanywa na ccm ni kuonesha kuwa chama hicho ni makini kinaangalia maslah ya wengi kuliko mtu. Kwa upande wa chadema hakuna hiki kitu ndio maana mbowe anafanya mambo anavyotaka. Uamuzi wa Mbowe kumruhusu EL kujiunga Chadema ni uamuzi wa Mbowe na sio Wanachadema.

Ila kwa kuwa Chadema inaendeshwa kisultani, Wanachadema wameaminishwa uongo kuwa ukweli. Na hapa ndipo tunakosa kuleta mabadiliko kwa sababu ya uzembe wa viongozi wa upinzani.
Hebu tuwe wakweli japo kiduchu, hivi CCM ina umakini gani??
Najua unaandika huku una sononeko kubwa moyoni... Pole sana.
Magamba hamna chenu tena, muda si mrefu mtawekwa kwenye MAKUMBUSHO YA TAIFA.
 
Kilichofanywa na ccm ni kuonesha kuwa chama hicho ni makini kinaangalia maslah ya wengi kuliko mtu. Kwa upande wa chadema hakuna hiki kitu ndio maana mbowe anafanya mambo anavyotaka. Uamuzi wa Mbowe kumruhusu EL kujiunga Chadema ni uamuzi wa Mbowe na sio Wanachadema.

Ila kwa kuwa Chadema inaendeshwa kisultani, Wanachadema wameaminishwa uongo kuwa ukweli. Na hapa ndipo tunakosa kuleta mabadiliko kwa sababu ya uzembe wa viongozi wa upinzani.
Kama kweli CCM kilinaangalia maslahi ya wengi, EL ndie waltakiwa wampitishe maana yeye ndie aliekuwa anaungwa mkono na wana CCM wengi zaidi na watanzania wengi zaidi ambao hawana vyama.
 
[JFMP3][/JFMP3]Wakati naweka akiba ya maneno lakini pia nawaza kwa sauti je na huko asipoupata huo uraisi itakuwaje???????
 
Wewe ni ccm kaa kimya. Mwache lowasa achanje mbuga katika safari yake ya matumaini
 
Hebu tuwe wakweli japo kiduchu, hivi CCM ina umakini gani??
Najua unaandika huku una sononeko kubwa moyoni... Pole sana.
Magamba hamna chenu tena, muda si mrefu mtawekwa kwenye MAKUMBUSHO YA TAIFA.

umakini wa ccm ni kuhakikisha wanaiba sana rasilimali zetu
 
Lowasa anaitafuta heshima kwa gharama kubwa atapata aibu kwa bei nafuu.
 
kinana mwenyewe yuko team lowasa...sema lini ulishawahi kumsikia kinana akimkoromea au hata kumkosoa rais lowasa wakati akiwa ccm?....

Pia jk mwenyewe alitambulishwa kama kampen manager wa el huko pwani na hajawahi kukanusha...

Hongera jk kwa mpango mkakati wa kuing'oa ccm madarakani na kuwarudishia wananchi tanganyika yetu.


Mkuu kama nakuelewa vizuri unataka kusema JK ndio mastermind ya Ukawa kuchukua nchi. Kama nakuelewaelewa vile!
 
Back
Top Bottom