Domy
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 4,700
- 1,090
Ilianzia hapa
View attachment 271671 ikaja hapaView attachment 271672 ilifikia had I hatua hiiView attachment 271675. View attachment 271675
Teh teh teh teh teh! Nimecheka sana
Ilianzia hapa
View attachment 271671 ikaja hapaView attachment 271672 ilifikia had I hatua hiiView attachment 271675. View attachment 271675
Goli la mkono mwisho guest na bafuni.
CCM lazima wajutie maamuzi yao ya hovyo na kutembea na wagombea mfukoni.
Anazikwa wapi huyu shetani!!
Anazikwa wapi huyu shetani!!
Itabidi tuwatumie wakina Ritz na Genge lao kumndi EL mana walikuwa wanamtetea sana alipokuwa CCM nadhan tunaweza endelea kuwatumia hao hao kumnadi akiwa CDM, Naamini kazi waliyopewa waliifanya kwa ufanisi mkubwa. Labda cha msingi na wao pia tuwakaribishe CDM ili waendeleze kushawish watu juu ya uzuri wa EL.Ha ha pro chadema njoon mmnadi kamanda lowasa
Teh teh teh teh teh! Nimecheka sana
Usimsahau na la Prince.
Hebu tuwe wakweli japo kiduchu, hivi CCM ina umakini gani??Kilichofanywa na ccm ni kuonesha kuwa chama hicho ni makini kinaangalia maslah ya wengi kuliko mtu. Kwa upande wa chadema hakuna hiki kitu ndio maana mbowe anafanya mambo anavyotaka. Uamuzi wa Mbowe kumruhusu EL kujiunga Chadema ni uamuzi wa Mbowe na sio Wanachadema.
Ila kwa kuwa Chadema inaendeshwa kisultani, Wanachadema wameaminishwa uongo kuwa ukweli. Na hapa ndipo tunakosa kuleta mabadiliko kwa sababu ya uzembe wa viongozi wa upinzani.
Kama kweli CCM kilinaangalia maslahi ya wengi, EL ndie waltakiwa wampitishe maana yeye ndie aliekuwa anaungwa mkono na wana CCM wengi zaidi na watanzania wengi zaidi ambao hawana vyama.Kilichofanywa na ccm ni kuonesha kuwa chama hicho ni makini kinaangalia maslah ya wengi kuliko mtu. Kwa upande wa chadema hakuna hiki kitu ndio maana mbowe anafanya mambo anavyotaka. Uamuzi wa Mbowe kumruhusu EL kujiunga Chadema ni uamuzi wa Mbowe na sio Wanachadema.
Ila kwa kuwa Chadema inaendeshwa kisultani, Wanachadema wameaminishwa uongo kuwa ukweli. Na hapa ndipo tunakosa kuleta mabadiliko kwa sababu ya uzembe wa viongozi wa upinzani.
Hebu tuwe wakweli japo kiduchu, hivi CCM ina umakini gani??
Najua unaandika huku una sononeko kubwa moyoni... Pole sana.
Magamba hamna chenu tena, muda si mrefu mtawekwa kwenye MAKUMBUSHO YA TAIFA.
Lowasa anaitafuta heshima kwa gharama kubwa atapata aibu kwa bei nafuu.
Ha ha pro chadema njoon mmnadi kamanda lowasa
kinana mwenyewe yuko team lowasa...sema lini ulishawahi kumsikia kinana akimkoromea au hata kumkosoa rais lowasa wakati akiwa ccm?....
Pia jk mwenyewe alitambulishwa kama kampen manager wa el huko pwani na hajawahi kukanusha...
Hongera jk kwa mpango mkakati wa kuing'oa ccm madarakani na kuwarudishia wananchi tanganyika yetu.
siku za maCCM zinahesabka# wajiandae kuwa wapinzani